Uwekezaji nyumba za kupanga

Uwekezaji nyumba za kupanga

Kuna Wanaokuja dm wanataka ufafanuzi zaidi sasa sijui ufafanuzi upi naomba labda muulizeumaswali hapa ili wengine wanisaidie kujibu
 
biashara kichaa iyo
Mfumo unaotumika Tanzania kwa ajili ya manunuzi ya Property ndio kichaa lkn sio biashara yenyewe.

Laabda nifafanue kidogo DUNIA nzima mfumo wa manunuzi ya Nyumba asilimia kubwa naweza kusema 99% ni Mortgage lkn hapa kwetu ni Cash,kingine price za nyumba sio halisi kutokana na ukweli wa thamani na pangine hata kodi inaweza kuwa sio halisi kutokana na uhalisia ndio maana hapa kwetu Tanzania especially Dar es salaam miaka 5 iliyo pita soko la nyumba limekufa kama mchezo ukiuliuza kulikoni unapewa sababu ambazo hazina maana .
 
Hiyo 50m mimi naingia Geita au Chunya naku na jiko kabisa..nakusanya dhahabu naenda June hii mvua imekata mashimo yanaishia maji uhakika wa kupata mzigo mwingi ni mkubwa kbs ila siku nanunua dhahabu. End of of month nna faida sio chini ya 15m tukitoa na kodi!

Kweli akili ni nywele!
Amesema 150M Mkuu So kwamahesabu fanya iyo 15M × 3 utakula 45M.
 
pole mtoa mada, lazima upate maneno ya kejeli toka kwa watu ambao hawana hata kiwanja...

sasa fanya hivi!

jenga apartments, achana na nyumba kubwa za familia, jenga chumba,sebule,choo na jiko with balcony iwe na executive finishing then weka hadi samani humo ndani za kisasa,,,,,fanya kukodishia kwa mtindo wa kisasa wa appartments,...utaniambia baadae, NB sebule chini an chumba chuu ie kigorofa
Akiwa na umri gani ajenge hivyo na akiwa na chanzo gani cha kipato
 
Mimi nipo geita kwenye dhahabu hakuna wepesi huo asikuongepee mtu dhahabu sio lele mamá unakufa uku unatembeayoy
Wapi kasema ni rahisi jikite na mzizi Biashara yoyote ina Calculation zake haimaanishi kuwa rahisi wewe ulivyosema unaweka 50M, hapa 30...kwani rahisi kama ulivyoandika
 
Mimi nipo geita kwenye dhahabu hakuna wepesi huo asikuongepee mtu dhahabu sio lele mamá unakufa uku unatembea
Hakuna kitu rahisi mkuu!...shida yenu mnaendaga kichwa kichwa...hapo tu..migodini kama una kaelimu kadogo tu hela inakufuata! Endelea kuzitumbua .ukipata leo 500k unataka umalize zote .webzako wanawekeza ww umebaki kuimba nyimbo kuwa kugumu🤨
 
Yani niwekeze 155m kwa kupata 33300 kwa siku!!!!!!hela ambayo muuza matikiti na pweza stand wanaingiza kwa siku.mxiiiiiuuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila kwangu nyumba ni security nzuri
Mambo ya kutegemea biashara,biashara zenyewe zinapanda na kushuka kila siku

Ova
Hakuna aliyepinga kuwa Security Suala Timing umejenga ukiwa na
*Umri gani
*Uchumi gani

Mimi leo nikipata urisi wa 30M na umri wangu wa 20's nijenge nyumba ili kupata 200K kwa mwezi sifanyi huu upumbavu hiyo pesa itafanya FASTLANE BUSINESS mpaka kwenye LATE 30's hizo nyumba nitakuwanazo 10 mjini wewe ukiwa na 1 tu.
 
Hesabu zako uko sawa. Ila mwingine ndio anapiga hesabu awekeze 150m halafu apate 1.1m kwa mwezi anaona sio sawa. Just imagine mwaka mzima unasubiri 13.2m wakati umeweka 150m.
Anaona hiyo pesa anayoingiza nyingi bila kujua alizoweka ni nyingi ×1000 zaidi
 
Hii biashara ni muhimu kuangalia soko la walengwa.
1. Nyumba karibu na chuo Kikuu, weka chumba chenye kitanda, meza y kusomea, jiko na choo laki moja kwa mwezi.

2. Watumishi wa umma, vyumba viwili-vitatu vya kilala. Sebule choo na bafu.

3. integemeaq na eneo la kiwanja. Lakini kupangisha mashirika kwaajili ya maboss wao wanapenda nyumba nzima yenye master bedroom.
Hapa ndo sahihi na umefafanua vyema.
 
Hakuna aliyepinga kuwa Security Suala Timing umejenga ukiwa na
*Umri gani
*Uchumi gani

Mimi leo nikipata urisi wa 30M na umri wangu wa 20's nijenge nyumba ili kupata 200K kwa mwezi sifanyi huu upumbavu hiyo pesa itafanya FASTLANE BUSINESS mpaka kwenye LATE 30's hizo nyumba nitakuwanazo 10 mjini wewe ukiwa na 1 tu.
Teh teh fastlane business

Ova
 
Utasingizia wapangaji bure finishing zenyewe nyumba za kupanga vitu vya kichina. Hata utunze vipi miezi kadhaa vinang'oka vyenyewe. Ni wachache sana wanatumia high quality material nyumba za kupanga, tena wanadanganywa hii nyumba ya kupanga usiweke vitu vya gharama.
Hakika ukweli kabisaaah.
 
Na mpangaji wa kulipa kodi za 300 to 500 k, kama ni mswahili, jua hatokaa sana , kelele za wanafamilia ,ndugu , na jamii kuwa anafuja pesa n.k , ikipita mwaka lazima ahamie kwenye kibanda chake cha chumba mbili mbezi malamba huko , na akiondoka lazima uingie gharama kukarabati , maana wanaondokaga hadi na swtich socket za ukutani.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila malamba jaman kule kulivyo hapan kwa kweli, lakini kuna majumba mazuri na yao fresh aseeh, khaaaah
 
Back
Top Bottom