t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Idea zako ni nzuri tu na unaweza kuja na ushuhuda pia , ila tatizo si kila mtu ana mtaji ulio nao ,kama umeshinda kabisa jenga chumba choo na siting room hizi zipange kama tano bei kupanga laki na nusu jengo la kwaida tu la 40m hivi
Kuweka 40nmil sehemu halafu uisahau sio kila mtu ana uwezo huo