Uwekezaji nyumba za kupanga

Uwekezaji nyumba za kupanga

Kuna Wanaokuja dm wanataka ufafanuzi zaidi sasa sijui ufafanuzi upi naomba labda muulizeumaswali hapa ili wengine wanisaidie kujibu
Matapeli hao, wamehisi una hela, halaf mishe za humu za kufatana inbox nshaziona za kiduwanzi sana..na wenye tabia hizo utasikia niko ulaya ndugu zangu hawana exposure kiviile so tunaweza fanya ushirikiano na ww hapo Tz tufanye mambo.

Kuna limtu miaka hiyo likaja inbox nikalipa idea, likanitembeza mjini kusaka ofisi..

Kisha yanapotea.

Be you!
 
Hiyo 50m mimi naingia Geita au Chunya nakuwa na jiko kabisa..nakusanya dhahabu naenda June hii mvua imekata mashimo yanaishia maji uhakika wa kupata mzigo mwingi ni mkubwa kbs ila siku nanunua dhahabu. End of of month nna faida sio chini ya 15m tukitoa na kodi!

Kweli akili ni nywele!
Pia kuna kuwekewa dhahabu feki[emoji1] au kudakwa na majambazi .

Au kudhulumiana [emoji1]

Kila biashara na utamu wake na uchungu wake

Ni swala la kuchagua wapi ucheze[emoji1787]
 
Wity haya mambo ni akili yako ilivyo sharp...! Usihadaike na 50m...! Sema hyo amount utafanya kazi bila presha ya kukimbia wateja ..lakini kama ushanunua vifaa vyote husika hata 10m unajitupa tu...
Ok dear

Na vifaa vyote vya kuchimbia vinaweza cost kiasi gani?

Am real interested but no idea[emoji1745]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha kuongea rahisi sana.
Yote ni kwa sababu hauna pesa mfukoni.
Zipate hizo pesa sasa hata huyo mleta mada nikimpa milioni 100 hatawaza hiyo biashara na nna uhakika asilimia 90% nikirudi kwake baada ya miezi 6 hadi mwaka hatakuwa na hata sh kumi.
Biashara ni displine.
Ukiona mtu ameweka mtaji wake katika mabasi, malori, uchuuzi sio kwamba ni wajinga ama hawaoni hiyo biashara. Unakomaa na what your best at. Kila biashara ina ups and down inahitaji uzoefu.
Kwenye kupangisha nyumba kuna maintanance, nyumba kuwa tupu wakati unatafuta mpangaji, mpangaji kushindwa kulipa utampa notice ya 90 days, hiyo ni loss.
Ndio maana sishangai tajiri kijana mkubwa tanzania yupi hapa dar biashara yake anachakata mavi na maji taka na ana revenue ya zaidi ya billioni 15 kwa mwaka. Na humtoi kwenye biashara yake ya uchafu hata umconvince vp.
 
Ni Mara 100 achukue hizo 150M ununue bajaji utapata Bajaji kama 18 hivi ndani ya miaka 2 utakuwa umerudisha hela yako na faida kama 40M pia hizo bajaji utakuwa umebaki Nazo kama assets ambazo unaweza uza muda wowote,ambapo hata ukiziuza kwa bei ya hasara ya 3M@ utapa 54M plus 40M utakuwa na faida ya 94 M ndani ya miaka 2.
Unajitafutia presha ufe mapema
 
Ok dear

Na vifaa vyote vya kuchimbia vinaweza cost kiasi gani?

Am real interested but no idea[emoji1745]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hapa sio vya kuchimbia tena....hapa ni jiko...yaan ww unaletewa dhahabu unaipima ubora wake unanunua! Kwahiyo hapa ni jiko na mzani wake...na mtungi ule mkubwa wa gesi,.haipungui 10m-15m! Na vibakuli vya kuchomea dhqhabu..kuna vibakuli.vyake maalumu maana kitu kinachomwa kwenye moto mkali!mara ya mwisho vibakuli bei ilikua 300k...hapo lazima uwe navyo si chini ya 6! Mzan wa kusoma purity ya dhahabu...mara ya mwisho ulikua btn 7-10m!hapa wanadai ya dubai ndo bora than china!
Sasa hii biashara lazima ujue hesabu! Hesabu zikikuchenga tunaambizanaga ....kuna zile kodi(mirahaba) ya serikali 7% usipoipigia hii mm.daily nakuletea mzigo maana ntapata faida nzuri mno daily....! So unawekq mtu walau wa form 6!
Yaan unaweza nunua mzigo wa 1m lakini makato yanafika hata 213,000! Sasa ww ukinipa yote 1m imekula kwako...Usipoikata hii ww utaning'inizwa mbeleni.itakula kwako!
Kakola kuna jiko walimuweka kilaza tulikula hela mno mno!
Hii shoga angu haina kuchafuka😋!hii hata ukibandika kucha haiswii😀!.uko ofisini na "dell" yako na kiyoyozi kikali kwa draw kuna kama 70m zinasubiri kuondoka🥰!tena na ulinzi wa mitutu kbs nje!
Siri ya hii biashara uwe na kauli nzuri...utapata wateja wanapanga folen kwako....! Na uwe loyal...mfano...mteja anakuletea dhahabu katoka nayo sehemu A, kila mchimbaj anajua area hii dhahabu zinasoma kuanzia asilimia 80_93%..ss wewe uje umshushe umwambie inasoma 75 hakika utamfukuza...ofcourse wanaibia hapo ila hakikisha hupishan naye saaana! Dhahabu ikisoma safi mfano 92% unauzia bei ya juu zaidi ya iloyosoma ya chini! Sasa wenye majiko wanachezea yale maji ya kupimia dhahabu...! Mtu anaamua kurudi na mzigo wake...!
Ah nna njaa mie !hope kidogo dogo utapata mwanga!
 
Mkuu

Kwa mahesabu ya harakaharaka hapo ni umewekeza 155000000 kwa income ya 1000000 kwa mwezi sawa na 33000 kwa siku..hapo ni sawa kweli!!!!!!!!!!!!!Hujanishawishi bado.
Tunaoishi chini ya dola moja tutapotea wapi masikini!!!!
 
Kuna jamaa anaitwa Danlok huwa ana formula yake anaita "Wealth triangle".
Yani inastage 3.
1. High income skill 2. Scalable business 3. High income investment.

Hilo swala la nyumba za kupangisha ni stage ya 3.
 
Hapa sio vya kuchimbia tena....hapa ni jiko...yaan ww unaletewa dhahabu unaipima ubora wake unanunua! Kwahiyo hapa ni jiko na mzani wake...na mtungi ule mkubwa wa gesi,.haipungui 10m-15m! Na vibakuli vya kuchomea dhqhabu..kuna vibakuli.vyake maalumu maana kitu kinachomwa kwenye moto mkali!mara ya mwisho vibakuli bei ilikua 300k...hapo lazima uwe navyo si chini ya 6! Mzan wa kusoma purity ya dhahabu...mara ya mwisho ulikua btn 7-10m!hapa wanadai ya dubai ndo bora than china!
Sasa hii biashara lazima ujue hesabu! Hesabu zikikuchenga tunaambizanaga ....kuna zile kodi(mirahaba) ya serikali 7% usipoipigia hii mm.daily nakuletea mzigo maana ntapata faida nzuri mno daily....! So unawekq mtu walau wa form 6!
Yaan unaweza nunua mzigo wa 1m lakini makato yanafika hata 213,000! Sasa ww ukinipa yote 1m imekula kwako...Usipoikata hii ww utaning'inizwa mbeleni.itakula kwako!
Kakola kuna jiko walimuweka kilaza tulikula hela mno mno!
Hii shoga angu haina kuchafuka[emoji39]!hii hata ukibandika kucha haiswii[emoji3]!.uko ofisini na "dell" yako na kiyoyozi kikali kwa draw kuna kama 70m zinasubiri kuondoka[emoji3059]!tena na ulinzi wa mitutu kbs nje!
Siri ya hii biashara uwe na kauli nzuri...utapata wateja wanapanga folen kwako....! Na uwe loyal...mfano...mteja anakuletea dhahabu katoka nayo sehemu A, kila mchimbaj anajua area hii dhahabu zinasoma kuanzia asilimia 80_93%..ss wewe uje umshushe umwambie inasoma 75 hakika utamfukuza...ofcourse wanaibia hapo ila hakikisha hupishan naye saaana! Dhahabu ikisoma safi mfano 92% unauzia bei ya juu zaidi ya iloyosoma ya chini! Sasa wenye majiko wanachezea yale maji ya kupimia dhahabu...! Mtu anaamua kurudi na mzigo wake...!
Ah nna njaa mie !hope kidogo dogo utapata mwanga!
Du
Umenishawishi .... Napenda sana biashara zenye maelezo yaliyonyooka kama haya, japo naogopa sana biashara ya hizo precious stones, haki sijijui kabisa
 
Du
Umenishawishi .... Napenda sana biashara zenye maelezo yaliyonyooka kama haya, japo naogopa sana biashara ya hizo precious stones, haki sijijui kabisa
Usiingie kama una hofu nazo...!...sikiliza nafsi mkuu!
 
Mkuu

Kwa mahesabu ya harakaharaka hapo ni umewekeza 155000000 kwa income ya 1000000 kwa mwezi sawa na 33000 kwa siku..hapo ni sawa kweli!!!!!!!!!!!!!Hujanishawishi bado.

Hata Bajaji anaingiza 40k had 50k kwa siku kwa kuwekeza 7.8m tu.
 
Usiingie kama una hofu nazo...!...sikiliza nafsi mkuu!
Utawaliza wenzio dada angu..hyo biashara inataka uwe umeifanya..ishakutia hasara.ukaamka ukaanza tena..unaijua kinaga ubaga..from there ukiwekeza pesa yoyte lazima ikulipe..ila..hao wanaotaka kuwekeza pesa kwa ushaur wako huo..wametoka zao kidimbwi wanataka ingia site..

Watalia na kusaga meno.

Mi nishafanya hyo kitu ila kwenye gemstones na dhahab kidogo...so naijua vizuuur...michezo ni ming mno kule.

Na ndomana tunashaur kama mtu anataka ingia huko..wala asiingie na hela nying..kdogo tu..ili akipigwa wimbi zile awe hajaumia sana...

Kama ni mtu wa mawe utakuwa umenielewa najua.
 
Utawaliza wenzio dada angu..hyo biashara inataka uwe umeifanya..ishakutia hasara.ukaamka ukaanza tena..unaijua kinaga ubaga..from there ukiwekeza pesa yoyte lazima ikulipe..ila..hao wanaotaka kuwekeza pesa kwa ushaur wako huo..wametoka zao kidimbwi wanataka ingia site..

Watalia na kusaga meno.

Mi nishafanya hyo kitu ila kwenye gemstones na dhahab kidogo...so naijua vizuuur...michezo ni ming mno kule.

Na ndomana tunashaur kama mtu anataka ingia huko..wala asiingie na hela nying..kdogo tu..ili akipigwa wimbi zile awe hajaumia sana...

Kama ni mtu wa mawe utakuwa umenielewa najua.
Kumbe unadhani niko hapa ili kumvuta mtu aje kwa mgongo wangu?.? Unakosea...tena umenikosea mno! Humu kuna zaidi ya watu 10 walitaka niwashike mkono nikawapotezea.na wenyewe wanajua ...ajitokeze mtu hapa aseme kama tulishakubaliana aje machimboni kupitia mimi...daily nasema nenda kwanza migodini ukasome mchezo unavyoenda...! Narudia sijawah na sitawah kumpokea mtu kwa mgongo wangu..never...! Mwenzako nilisoma mchezo 3mths nikajitupa kukimbiza mwalo nk nk!na nilianguka pia...hakuna biashara isiyo na changamoto... Siko hapa kumvuta mtu mzee !
Mimi sio muumini wa kuanza na mamilion..nisome kote....!aise umenishangaza balaa! Atokee mtu humu aseme mm wangari nilishakutana naye kwa ishu za dhahabu, kila mtu ajifie kivyake mkuu..akitaka ushauri anytime ntampa!
Mwenzako naandika haya huku nakunywa tu uji hapa mkuu relax!
 
Hii ni bonge la business lakini mtaji tu ndio mgumu, lakini ukifanikiwa kujenga basi mambo yatakuwa mazuri
 
Back
Top Bottom