Uwekezaji nyumba za kupanga

Uwekezaji nyumba za kupanga

Asante mkuu..mi niko zangu St peters hapa narud home..kuna ubarid flan dar unahamasisha kula nyama za kuchoma zamotoo au mdudu na salad flan na ka lazy beer flan...ngoja nipite njia ya chin huku shopers maeneo ya kat hapo siwez kosa kona ya kitimoto.
😀😀😀 enjoy na kitimoto chako mkuu
 
Eti kuna FOODIE mmoja alisema tafuta hela ukifika kama 300M weka Fixed kinachobakia wewe kula kula kula vitamu mpaka unazeeka na kufa.
Haipo hiyo...ww tafuta hela kwa hali na mali..
Then jitreat uwezavyo haapa naingia sauna..niko level nipate massage
 
Misoto ya laizer na huku kwetu kuna utofauti...mm naweza nunua mifuko ya mawe najua kbs hapa napata kias gan ..!

Mm nimelalia hilo godoro almost 2yrs had nikapona mgongo!..
Hakuna mishe isio na risk....nataman kukaa huku forever sema kunachosha

Karibu Kinywaji mkuu
Mim nikirud huko..labda nije na mifumo ya biashara zingne..labda services..migahawa..labda niuze vilipuzi,,niwakodishe pump za maji zile.ma generator etc etc..najua hela yake ni ndogo ndogo ila ni sustainable na haina hofu.na pia naweza achia watu wafanye mi nkaendelea na mishe zingne...
 
Haipo hiyo...ww tafuta hela kwa hali na mali..
Then jitreat uwezavyo haapa naingia sauna..niko level nipate massage
Alafu massage nilitaka kuandika sasahivi nikakausha aisee kweli wewe unajua nini Burudani nawashangaa wanaenda Club kujirusha Buruani za kweli zipo Cool.
 
Mim nikirud huko..labda nije na mifumo ya biashara zingne..labda services..migahawa..labda niuze vilipuzi,,niwakodishe pump za maji zile.ma generator etc etc..najua hela yake ni ndogo ndogo ila ni sustainable na haina hofu.na pia naweza achia watu wafanye mi nkaendelea na mishe zingne...
You ll not make Handsome Papers
 
Mim nikirud huko..labda nije na mifumo ya biashara zingne..labda services..migahawa..labda niuze vilipuzi,,niwakodishe pump za maji zile.ma generator etc etc..najua hela yake ni ndogo ndogo ila ni sustainable na haina hofu.na pia naweza achia watu wafanye mi nkaendelea na mishe zingne...
Vilipuzi hela yake nzuri sana mkuu....
 
Kumbe unadhani niko hapa ili kumvuta mtu aje kwa mgongo wangu?.? Unakosea...tena umenikosea mno! Humu kuna zaidi ya watu 10 walitaka niwashike mkono nikawapotezea.na wenyewe wanajua ...ajitokeze mtu hapa aseme kama tulishakubaliana aje machimboni kupitia mimi...daily nasema nenda kwanza migodini ukasome mchezo unavyoenda...! Narudia sijawah na sitawah kumpokea mtu kwa mgongo wangu..never...! Mwenzako nilisoma mchezo 3mths nikajitupa kukimbiza mwalo nk nk!na nilianguka pia...hakuna biashara isiyo na changamoto... Siko hapa kumvuta mtu mzee !
Mimi sio muumini wa kuanza na mamilion..nisome kote....!aise umenishangaza balaa! Atokee mtu humu aseme mm wangari nilishakutana naye kwa ishu za dhahabu, kila mtu ajifie kivyake mkuu..akitaka ushauri anytime ntampa!
Mwenzako naandika haya huku nakunywa tu uji hapa mkuu relax!

Kumbe hii formula tunautumia wengi, tunaandika then mtu afuatilie mwenyewe mambo ya kuitana au kuonana hakuna umeonyeshwa njia wewe endelea na safari mwenyewe mambo oohh tupange tuonane never never
 
Kumbe hii formula tunautumia wengi, tunaandika then mtu afuatilie mwenyewe mambo ya kuitana au kuonana hakuna umeonyeshwa njia wewe endelea na safari mwenyewe mambo oohh tupange tuonane never never
Thats me!ni mmoja tu nilionana naye...ni best friend had kesho!
Humu best 80 ni madalali(wapo wapo tu)...na wengine ni wapiga porojo tu kama mimi! ..😷
 
You ll not make Handsome Papers
Aah. Hzo ni sustainable ndugu yangu..hzo zingne hazitak ukosee hata a minute...inakula kwako...na zinahitaj uzijue kwerikweri in magus voice....si umeona breakdown aliyoifanya wangar pale juu..mambo meng inabid uwe makin nayo hasaaa...

Najua nikiweka ofis ina hayo matakataka..ma pump.magenerator.vilipuz.crushers kadhaa.na mahitaj mengne ya kule.pombe.sigara etc etc..na unahakikisha unaenda kwenye migod active ile watu kibao..tunaitaga milio..yaan sehem yenye mlio.yaan imelipuka watu wanafanya yao..huko mahitaj ni meng sanaa
 
Hakuna kitu rahisi mkuu!...shida yenu mnaendaga kichwa kichwa...hapo tu..migodini kama una kaelimu kadogo tu hela inakufuata! Endelea kuzitumbua .ukipata leo 500k unataka umalize zote .webzako wanawekeza ww umebaki kuimba nyimbo kuwa kugumu[emoji2955]
Mkuu, ila jamaa anachokiongea kina uhalisia fulani, mwaka 2019 nilienda Kakola yale machimbo ya namba 6 karibu na Bulyankhulu Gold Mine...nikakodi mwalo nikawa nanunua mawe kwa "manyani" na maduarani, napiga chabo na tathmin napeleka makarashani (namba 9) nakamua dhahabu, mara nachomwa(hasara) mara napata.(hapa lengo langu nikuze lundo niende plant)..kuna mama mmoja nilikuwa nampelekea dhahabu Geita , yule maza akatokea kuniamini kutokana kwamba nilikuwa namuuzia dhahabu yenye purity nzuri(93%-98%) tofauti na dhahabu ya (Nyankanga, Katoma hill na maeneo mengineyo ya Geita), yule maza akanipa million 4 nimkusanyie dhahabu, mimi hapo nilikuwa na mill zangu kadhaa so nikawa na nguvu za kutosha, kufika kakola kumbe mzungu kawapiga ban wachimbaji wadogo, watu wakafurushwa...ikabidi niende Segese-Ntambarale, kufika kule nikafanya kama Kakola, nanunua mawe nachenjua dhahabu, biashara ikawa ngumu kutokana kwamba kule chabo zake zilikuwa za kusua, nikabadilisha style(kumbuka yule mama alikuwa ananidai gram zake), nikawa nanunua "mbulaja", sasa dhahabu ikawa ya kusubir sana na cost of living ziko palepale, siku baada ya siku mtaji ukawa unapungua, nilikuwa na kalundo nikakauza bado ngoma ikawa ngumu, siku ya siku nimenunua mawe ili "niokoe" NILICHUMILA(hasara inayoweza kula robo tatu ya mtaji au mtaji wote)

Nikajifunza kitu toka siku ile

Yule anaenunua processed gold risk yake ni ndogo ukilinganisha na yule anayenunua mawe maduarani,

Biashara ya dhahabu kufirisika na kutajirika overnight ni kitu cha kawaida, na sio biashara ya kuiendea kichwa kichwa,

Alafu kuna mwamba alishawahi kuniambia "Kazi na Dawa" hii kauli siyo ya kuibeza kwenye biashara yoyote . ..

Kwa sasa nipo Geita "napiganisha"
 
Kiuchumi jengo la biashara kwa makadirio duniani kote utaanza kuiona faida baada ya miaka saba, tunasema miaka 7 ndio muda utakua umerudisha walau gharama zako uanze kula faida sasa, na hapo mazingira ya biashara yawe mazuri, kwa Tanzania real estate bado haina uhakika na ilikua na uhakika kwa miji kadhaa tu mfano Dar kwa sababu ya biashara, Arusha ilikua biashara sababu ya utalii, shughuli za UN hasa mahakama ya kimataifa ile walivoondoka UN na utalii kushuka nyumba Arusha imebakia maonesho, Mtwara real estate ililipa kipindi cha gesi baada ya shughuli kuisha mtwara biashara ya nyumba ni giza totoro, labda kiasi mwanza napo mwanza na mbeya watu wengi huishi makwao hata kama ni miji ya biashara issue za apartment haipo kivile.
 
kodi shamba nusu heka,andaa vizuri panda matikiti miche 200,
kila mche wastani utazaa matikiti matano na kila tikiti utauza kwa sh 2000.


200x5x2000= utafurahi

ingia field utalia vilio vyote
 
Ndio maana tunasema kama huo mtaji ndio unaoutegemea jitahidi sana fanya biashara maana real estate utajuta, maana kuirudisha hiyo pesa uliyozika utakoma na kama unajenga nyumba ya kuishi its fine, lakini kila mtu na kuchagua maana kupanga ni kuchagua lakini nimeona watu wanatoa ideas kibao za kuikuza hiyo pesa ndio uanze kujivuruga sasa kujenga tofauti na hapo uanweza wewe mama mwenye nyumba au baba mwenye nyumba unaanza kutafuta wapangaji mtaani mambo yakibadilika, fikiria waliowekeza ubungo kwa muda kama huu sasa wana hali gani maana kila kitu tukiangalie na changamoto zake, na kibiashara ni kosa kubwa kuwaza faida tu bila kufikiri kuna wakati wa hasara tu,
 
Mkuu, ila jamaa anachokiongea kina uhalisia fulani, mwaka 2019 nilienda Kakola yale machimbo ya namba 6 karibu na Bulyankhulu Gold Mine...nikakodi mwalo nikawa nanunua mawe kwa "manyani" na maduarani, napiga chabo na tathmin napeleka makarashani (namba 9) nakamua dhahabu, mara nachomwa(hasara) mara napata.(hapa lengo langu nikuze lundo niende plant)..kuna mama mmoja nilikuwa nampelekea dhahabu Geita , yule maza akatokea kuniamini kutokana kwamba nilikuwa namuuzia dhahabu yenye purity nzuri(93%-98%) tofauti na dhahabu ya (Nyankanga, Katoma hill na maeneo mengineyo ya Geita), yule maza akanipa million 4 nimkusanyie dhahabu, mimi hapo nilikuwa na mill zangu kadhaa so nikawa na nguvu za kutosha, kufika kakola kumbe mzungu kawapiga ban wachimbaji wadogo, watu wakafurushwa...ikabidi niende Segese-Ntambarale, kufika kule nikafanya kama Kakola, nanunua mawe nachenjua dhahabu, biashara ikawa ngumu kutokana kwamba kule chabo zake zilikuwa za kusua, nikabadilisha style(kumbuka yule mama alikuwa ananidai gram zake), nikawa nanunua "mbulaja", sasa dhahabu ikawa ya kusubir sana na cost of living ziko palepale, siku baada ya siku mtaji ukawa unapungua, nilikuwa na kalundo nikakauza bado ngoma ikawa ngumu, siku ya siku nimenunua mawe ili "niokoe" NILICHUMILA(hasara inayoweza kula robo tatu ya mtaji au mtaji wote)

Nikajifunza kitu toka siku ile

Yule anaenunua processed gold risk yake ni ndogo ukilinganisha na yule anayenunua mawe maduarani,

Biashara ya dhahabu kufirisika na kutajirika overnight ni kitu cha kawaida, na sio biashara ya kuiendea kichwa kichwa,

Alafu kuna mwamba alishawahi kuniambia "Kazi na Dawa" hii kauli siyo ya kuibeza kwenye biashara yoyote . ..

Kwa sasa nipo Geita "napiganisha"
😀😀😀😀 nacheka kwanza!
 
kodi shamba nusu heka,andaa vizuri panda matikiti miche 200,
kila mche wastani utazaa matikiti matano na kila tikiti utauza kwa sh 2000.


200x5x2000= utafurahi

ingia field utalia vilio vyote

Theory na practical ni vitu viwili tofauti, na kikubwa maisha ya utafutaji usikate tamaa lakini jitahidi kujifunza kila siku, ndio maana unaanza na mtaji mkubwa lakini biashara inakufa na mwingine anaanza na mtaji mdogo biashara inakua na anafanikiwa kwenye biashara ileile wewe uliyopata hasara, na bila kuanguka hauwezi kujifunza kitu, ukianguka ukakata tamaa umekwenda hivo lakini pia kua na uzoefu na biashara zaidi ya moja,
 
Back
Top Bottom