Uwekezaji wa Dp World waanza kuiletea faida Taifa letu. Tril 1.5 zaokolewa. Tulikuwa tunapata hasara kubwa. 2025 Wapinzani msithubuku kuweka wagombea

Hivi nyie mnaopinga na hili mna akili kweli ?
Yaani hamuamini serikali yenu kiasi hicho ? Mpk habar nzuri kwa taifa mnazichukia au nyie sio wabongo?
Kuichukia serikali na kupinga kila juhudi za rais anazofanya haifanyi muonekane wazalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…