Sir John Roberts JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 12,835 Reaction score 23,584 Aug 21, 2024 #61 maiko sultan said: Hizo ni assumptions tu Click to expand... Assumption kivipi kwamba meli Bado zinachelewa kupakia na kupakua mzigo? Maana wajinga wengi muda si mali.
maiko sultan said: Hizo ni assumptions tu Click to expand... Assumption kivipi kwamba meli Bado zinachelewa kupakia na kupakua mzigo? Maana wajinga wengi muda si mali.
Sir John Roberts JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 12,835 Reaction score 23,584 Aug 21, 2024 #62 imhotep said: Mwambie Mama yako ni LISSU vs SAMIA 2025. Click to expand... Lissu yupi huyu huyu au mwingine?
imhotep said: Mwambie Mama yako ni LISSU vs SAMIA 2025. Click to expand... Lissu yupi huyu huyu au mwingine?
zous JF-Expert Member Joined Sep 25, 2017 Posts 3,152 Reaction score 5,854 Aug 21, 2024 #63 Hivi nyie mnaopinga na hili mna akili kweli ? Yaani hamuamini serikali yenu kiasi hicho ? Mpk habar nzuri kwa taifa mnazichukia au nyie sio wabongo? Kuichukia serikali na kupinga kila juhudi za rais anazofanya haifanyi muonekane wazalendo
Hivi nyie mnaopinga na hili mna akili kweli ? Yaani hamuamini serikali yenu kiasi hicho ? Mpk habar nzuri kwa taifa mnazichukia au nyie sio wabongo? Kuichukia serikali na kupinga kila juhudi za rais anazofanya haifanyi muonekane wazalendo
C Chief Platinum Member Joined Jun 5, 2006 Posts 3,588 Reaction score 3,194 Aug 21, 2024 #64 Sir John Roberts said: Lissu yupi huyu huyu au mwingine? Click to expand... Huyu huyu
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Aug 21, 2024 #65 Sir John Roberts said: Lissu yupi huyu huyu au mwingine? Click to expand... Huyu huyu mliompiga risasi.
Sir John Roberts said: Lissu yupi huyu huyu au mwingine? Click to expand... Huyu huyu mliompiga risasi.
Sir John Roberts JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 12,835 Reaction score 23,584 Aug 21, 2024 #66 imhotep said: Huyu huyu mliompiga risasi. Click to expand... Lissu kapigwa risasi na wenzake vita ya kugombea urais unadhani nani hajui.
imhotep said: Huyu huyu mliompiga risasi. Click to expand... Lissu kapigwa risasi na wenzake vita ya kugombea urais unadhani nani hajui.
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Aug 21, 2024 #67 Sir John Roberts said: Lissu kapigwa risasi na wenzake vita ya kugombea urais unadhani nani hajui. Click to expand... Rubbish!, Huna Hoja...
Sir John Roberts said: Lissu kapigwa risasi na wenzake vita ya kugombea urais unadhani nani hajui. Click to expand... Rubbish!, Huna Hoja...