TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
-
- #21
Asante sana mkuu. Kwa 200k ingekua parefu sana. Nilivyoset hapo ndo nimeanza, si unajua kodi huwa haishuki siku zote, inapanda tu juu. Kwa survey niliyofanya ya hayo maeneo, 150k ni kiwango cha juu kabisa (matawi ya juu). Ila with time, labda wakati na review kodi mwaka unaofuata labda inaweza fika huko!TheCrocodile hongera sana mkuu kwa hii hatua. Umejipata. Wewe sasa umeingia daraja la Kati la uchumi wa Tanzania.
Vipi ungepiga kodi 200k kwa mwezi usingepata wapangaji?
Safi sana mkuu. Way to go!Tayari niko kwenye game.
Shukrani sana mkuu!Safi sana kijana
Yes yes mkuu, hayo ndo mategemeo ya kwenye makaratasi!Within 5 yrs, utakuwa umeshasahau. Mtaji wako utakuwa umesharudi
Yes, kwa kadri ya mahesabu ya kwenye excel uko sahihi. Ngoja nione game linavyoenda on ground. Nitawapa mrejesho InshaAllah, tuombe uhai tuu!Well done mkuu.....
Hapo maanayake ndani ya miaka mitano na nusu utakua umesha rudisha gharama za ujenzi, then unaanza kula faida polepole
Shukrani mkuu!Hongera sana mkuu
Thank you!Good!
Karibu sana mkuu. Naona hii kitu ni nzuri kama ukiwa na hela zako unataka kuzichimbia, na unataka return ya muda mrefu kido
300 chumba self + sebule tu mkuu?Dodoma kwa vyumba hivi unachukua kodi laki tatu bila wasiwasi
Karibu mkuu!
Hapana mkuu. Hapo ni chumba self contained na sebule TU.Kwahiyo hapo umejenga chumba sebule choo jiko Kwa ndani
Yes mkuu, hii nzuri sana inabana costs na nafasi.View attachment 3241953
Next project zipange hivi mkuu.
Kwahiyo Kwa makadirio kimoja kimekula Bei ganiHapana mkuu. Hapo ni chumba self contained na sebule TU.
Iwapo kutakua hamna maintenance kama mpangaji kaondoka inarudi. But hapo kuna operation cost zitakuja baada ya miaka miwili.Well done mkuu.....
Hapo maanayake ndani ya miaka mitano na nusu utakua umesha rudisha gharama za ujenzi, then unaanza kula faida polepole
Hongera fanya sherehe ya uzinduzi Wana JF tuje tuserebuke na kuombea!Wakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
Kwa Dodoma kama maneno ya Ilazo, Kisasa ungelamba hiyo200k!Asante sana mkuu. Kwa 200k ingekua parefu sana. Nilivyoset hapo ndo nimeanza, si unajua kodi huwa haishuki siku zote, inapanda tu juu. Kwa survey niliyofanya ya hayo maeneo, 150k ni kiwango cha juu kabisa (matawi ya juu). Ila with time, labda wakati na review kodi mwaka unaofuata labda inaweza fika huko!