Uwepo wa maisha nje ya sayari ya Dunia, Utathibitisha hakuna Mungu

Uwepo wa maisha nje ya sayari ya Dunia, Utathibitisha hakuna Mungu

Duh Mungu humu jamvini mbona sikuhizi anaongelewa sana na yeye alisema msilitaje bure jina lake
 
Hivyo viumbe vingingine huko sayari nyingine vingekuwa interigent kuliko sisi binadamu vingegundua dunia na uwepo wetu kabla sisi hatujawagundua

Mkuu, Inawezekana wao walishatugundua Ila kwakuwa hatuko intelligent enough hatujui Kama tunaishi nao humu humu duniani.
 
Hizo nukuu hazina maana, kwani zimekuwa designed na vatican kupitia kile kiitwacho......"holy book"
 
Africa kuna mambo kwa America na kwingineko watu wanaopinga uwepo wa Mungu wengi wao ni wasomi wakubwa wana IQ kubwa sana wamevumbua machine na technology za ajabu.

Ila Tanzania wanaopinga uwepo wa Mungu ni wavuta bangi na vilaaza walalahoi wasiojitambua.
Hili sasa povu mkuu [emoji3]
 
Hivi mnao sema Mungu amesema, Mungu alisha wahi kuongea wapi!!?
 
Kitabu gani cha dini kilichosema binadamu ni viumbe pekee?
Sima Qur'an 76:1
"Hakika ulimpitia Binadam wakati mrefu katika dahari,hakuwa kitu kinachotajwa.(Binadamu ndio kiumbe wa Mwisho kuumbwa).
Qur'an 76:1 inasema hivi
Hakika kilimpitia binadamu kipindi katika zama ambaco kwamba hakua kitu kinaco tajwa

76:2 nayoa inasema

Hakika sisi tumemuuma MTU kutokana na mbegu ya uhai iliochanganyika. Tumfanyie mtihani kwa hivyo tukamfanye mwenye kusikia na mwenye kona


Kwa tafsiri ya aya ya huu inaonesha hakuna viumbe wengine walioumbwa baada ya mwanadamu na hao wanaosema wamegundua kuna sayari ndogo nyingine waliogundua inawatu in wahongo kama yule waziri muhongo
Na wanamatatizo ya kiakili kwa kupingana na amri ya Mungu na maneno yake
Kwani sina shaka na kitabu hiki cha Qur'ani no kitabu kilicokamilika na kitabu ambacho hakipunguzwi wala kuongezwa aya zake tofauti na vitabu vingine ndani ya biblia ambavyo hupungiza aya na kuziongeza watakavya wa
 
Kitabu gani cha dini kilichosema binadamu ni viumbe pekee?
Sima Qur'an 76:1
"Hakika ulimpitia Binadam wakati mrefu katika dahari,hakuwa kitu kinachotajwa.(Binadamu ndio kiumbe wa Mwisho kuumbwa).
Umeeleweka Mkuu.
 
Wanasayansi wa anga kila uchao wanafanya tafiti kujua kama kuna maisha ya viumbe hai nje ya sayari ya dunia.

Vitabu vitakatifu vinatuambia kua binadamu ni viumbe pekee spesho katika macho ya mwenye enzi Mungu.Hivo basi kama ikagundulika sayari nyingine ina intelligent life basi itakua sisi binadamu sio spesho kama visemavyo vitabu.

Kama binadamu sio spesho basi vitabu vinasema uongo na hata huyo Mungu hayupo.
Soma Zab: 53 yote.
Usiwe mjinga na kujilisha upepo!!
Uwepo wa Mungu ni asilimia mia moja!!
Gi ve your life to Jesus and be blessed by the Lord!!
 
Sawa wafanye tu lakini mungu ataendelea kuwepo hua ametupa muda wa kujirudi na pale utakaposema hamna mungu basi atazungumza na wewe kwa vitendo hakika utajuta
 
Wanasayansi wa anga kila uchao wanafanya tafiti kujua kama kuna maisha ya viumbe hai nje ya sayari ya dunia.

Vitabu vitakatifu vinatuambia kua binadamu ni viumbe pekee spesho katika macho ya mwenye enzi Mungu.Hivo basi kama ikagundulika sayari nyingine ina intelligent life basi itakua sisi binadamu sio spesho kama visemavyo vitabu.

Kama binadamu sio spesho basi vitabu vinasema uongo na hata huyo Mungu hayupo.
viumbe wengine wapo kwenye sayari nyingine kwenye makundi mengine ya mifumo ya jua. ila binadamu yupo hapa duniani tu kwa muda maalum. (kama unaamini dini)
 
Dhiki kuiondoa inabidi ufanye kazi, Sala ina faida kubwa tu kwenye ulizi wako binafsi na mambo mengine mengi, ila usitegemee ubweteke sala zikuletee ugali..

Hata Biblia imeandika asiefanya kazi na asile
Mungu hana upendeleo, kama aliwashushia MANA jangwani enzi za Mussa na haruni, Sasa Anashindaje kumshushia Japo kipande cha andazi Maskini mcha mungu anayekaribia kufa na njaa ??? kwani Mungu ana upendeleo??
cC. Kiranga
 
Mungu hana upendeleo, kama aliwashushia MANA jangwani enzi za Mussa na haruni, Sasa Anashindaje kumshushia Japo kipande cha andazi Maskini mcha mungu anayekaribia kufa na njaa ??? kwani Mungu ana upendeleo??
cC. Kiranga
Hapo sasa unakuwa unamjaribu Mungu, Mungu hafanyi kazi yake kwa kufundishwa au kuambiwa jukumu lake....

Nakila linalotokea huwa lina sababu yakutokea
 
Back
Top Bottom