STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Mzinzi ameumbwa na Mungu, na Mchamungu pia ameumbwa na Mungu, so Hapo unadhani Mungu amekosea? Au alishindwa kumfanya mzinzi awe mcha mungu???Hapo sasa unakuwa unamjaribu Mungu, Mungu hafanyi kazi yake kwa kufundishwa au kuambiwa jukumu lake....
Nakila linalotokea huwa lina sababu yakutokea
But finnaly mzinzi anakwenda kuchomwa...
Dah