Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Habari ya Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo ni illogical.

Inakuhitaji uwe mwendawazimu tu kukubaliana na mambo hayo.

Imani za kidini ni shambulio la akili.
 
Wapo humu kwa sababu wana personal conflict na imani zao mkuu.
 
hao wazungu wa NASA ni waongo waongo tuh sio kila kitu unameza utameza matango pori.
 
Sorry,

Mungu wako?

Ulivyoandika tu inaonesha unamungu wako mmoja tu,

Sasa umejuaje kuwa Mungu wako ni mmoja na si wengi kama cyo mawazo yako bado kushikwa na mapokeo ya dini hizi za Kiabraham (zinazoamini katika mungu mmoja[monotheism] ) ambazo unazikataa hapa?
 
hao wazungu wa NASA ni waongo waongo tuh sio kila kitu unameza utameza matango pori.
Kwanza NASA si ya wazungu.

Pili, ukisema hawa ni waongo, onesha waongo katika hili, ukweli ni huu, uthibitisho ni huu.

Usipofanya hivyo, na wewe unaweza kuwa muongo katika kusema hao ni waongo.
 
Mungu Ni Omnipotent,yeye ndo mwanzo na mwisho,yeye hajaumbwa wala hajasababishwa kuwepo na chochote.
Vyote vimefanywa na yeye.
Kubali kataaa,Ulimwengu umeumbwa na Mungu.
Unaweza thibitisha huyo Mungu kuwa yupo kwa hakika na si imani tu ya kwamba yupo kaumba vitu vyote?

Mimi nikikwambia kuwa huu ulimwengu ni mwanzo na mwisho, haujaumbwa wala kusababishwa na chochote...
utanipinga vipi?
 
Sana tu. Mkuu sisi waislam tuna amini Qur'an ni zaidi hata ya hiyo sayansi kaa ujifunze kwanza mambo mengi katika maandiko yetu ya Qur'an yapo kisayansi
Umeshasema mna amini...

Unaelewa maana sahihi ya neno kuamini?

Unaelewa maana sahihi ya Saysnsi?

Ukielewa maana ya term hzo mbili utajiona kuwa wewe unamatatzo tu ya psychology.

Unapaswa kuwa tyar kwa psychotherapy.
 
Mkuu inatosha sasa maana mpaka nakuonea huruma Allah akusamehe hujuwi ulitendalo ishia hapo usizidi kukufuru.

Kama unaoana Qur'an sio maneno ya Allah direct bad tunga na wew Qur'an yako tuone, japo sura moja ukishindwa japo aya moja. Acha kukufuru
Huyo Allah ni mjinga sana.
 
Sana tu. Mkuu sisi waislam tuna amini Qur'an ni zaidi hata ya hiyo sayansi kaa ujifunze kwanza mambo mengi katika maandiko yetu ya Qur'an yapo kisayansi
Maandiko yenu ni zaidi ya SAYANSI

Halafu
Maandiko yenu yapo KISAYANSI

Wtf!!
 
Hivi mwanadamu ambaye Ni mavumbi tuuu anapata wapi ujasiri wa kusema hakuna Mungu.
Hata kama Ni ujuaji au kiburi tusifike huko.
God exists and will exist forever.
Amen
Kwanza kabisa mwanadamu siyo mavumbi,

Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo na sio hadithi za uongo zilizotungwa na watu wajinga wajinga tu wasioelewa ulimwengu vzuri?

You need a psychotherapy rn
 
Mkuu huyo MUNGU wangu ndio mkuu kabisa.

Hilo sitaki kulipinga kwa upande wangu.

Nilichokataa ni utumwa wa dini sababu dini zimeleta chuki kabisa.

Ukiwa na misimamo unaambiwa unakufuru asee..

Acha imani iwe ndani ya moyo wangu hiyo inatosha sana.
 
Kwahyi wewe unatazama jicho lako mbinguni?

Mbinguni ni wapi na sisi tupatizame tuangalie kama kuna mpasuko ama ufa?
 
Higher intelligence ndio nini? kuna ulazima gani wa kutumia maneno ya kizungu
 
Barikiwa sana
 
Kuwa na akili wewe kwani hiyo aya ili shuka kwa kingereza,
Mbona hujielewi weka aya kama ilivyo shuka kutoka kwa Allah
Duniani kuna watu wa lugha mbalimbali kuna waswahili, wafaransa, wafilipino, wahindi, wajerumani, waingereza, Wareno, wanyarwanda, warundi, wasudani,wakenya, waganda n.k

Kama Allah huyo aliumba watu wa lugha mbalimbali, Kwa nini huyo Allah ashushe Quran kwa lugha moja tu ya kiarabu?

Kwani huyo Allah alikuwa hajui kwamba aliumba watu wa lugha mbalimbali?

Au huyo Allah ana ongea kiarabu tu? Ilhali anajua kuna watu wa lugha mbalimbali.

Hivi huyo Allah ana jielewa kweli?
 
Mkuu huyo MUNGU wangu ndio mkuu kabisa.

Hilo sitaki kulipinga kwa upande wangu.

Nilichokataa ni utumwa wa dini sababu dini zimeleta chuki kabisa.

Ukiwa na misimamo unaambiwa unakufuru asee..

Acha imani iwe ndani ya moyo wangu hiyo inatosha sana.
Hujajibu ile core ya swali langu mkuu,

Unajuaje kama kuna Mungu mkuu na msaidizi?

Vipi kama Miungu wako 20 na wote ni wakuu na ndio walioumba ulimwengu huu?

Huoni kama utakuwa wrong kuamini Mungu mmoja tu?

By the way najua huwezi thibitisha kuwa Mungu wako huyo yupo,
Kwasababu hayupo.

Kama unabisha sema.

Imani haina kanuni, unaweza kuamini chochote tu, hata ndoo ukiamua.


Lengo langu kukuhoji maswali yale, ilikuwa ni kujaribu kukuonesha kuwa hata mawazo yako bado yamekamatwa na mazoea/ maisha uliyowahi kuyaishi katika dini yako uliyokuwepo.
Imani yako ya Mungu mmoja tyari imekuwa imeshikwa na Dini hizi hizi unazozikataa leo!!
 
Kwahyi wewe unatazama jicho lako mbinguni?

Mbinguni ni wapi na sisi tupatizame tuangalie kama kuna mpasuko ama ufa?
Aisee! Kwani ukitoka njee kwako ukatizama juu angani si ndo mbingu huko kwenye nyota.
 
Higher intelligence ndio nini? kuna ulazima gani wa kutumia maneno ya kizungu
Kizungu si lugha, na hakuna ulazima wa kusoma ninachoandika kama hupendi ninavyoandika.

Unaweza kuniweka katika ignore list usione kabisa ninachoandika ili siku nyingine usikutane na maandiko yangu ambayo nakuhakikishia yataendelea kuchanganya Kiingereza na Kiswahili hapa JF.

Hapo vipi?
 
Wewe ndo hujielewi unauliza vitu vya kijinga
Mfano mdogo Tanzania kuna makabila mangapi kwanini kila jamii isiongee lugha yake site twazungumza kiswahili litafakari hilo kwanza utapata jibu
Halafu mungu hapangiwi binaadam ni سمعنا وأعطعنا "Tumesikia na Tunatii"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…