Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Quran-2:256: There is no Compulsion in religion…. ( hakuna kulazimishana)





Quran-9:29: Fight those who do not profess the true faith (Islam) till they pay the polltax (jiziya) with the hand of humility.
Quran-9:5: Then, when the sacred months have passed, slay the idolaters wherever ye find them and take them captive, and besiege them and prepare for them each ambush….
Quran-47:4: When you meet the unbelievers in the Jihad strike off their heads….
Quran-2:191: And slay (kill) them wherever ye catch them, and turn them out from where they have turned you out such is the reward of those who suppress faith.
Quran-8: 65: O Apostle! Rouse the believers to the fight…(against) unbelievers.

Ondoa contradiction.
Nimecheka sana, ndio maana nikasema hivi, shida hamsomi. Aya ziko wazi mno kiasi ambacho mpaka mtu unajiuliza akili zenu zipo wapi ?

Kwanza nakupa faida hii kabla ya kuondoa huo unao ona ni utata. Ukitaka kujua maana ya fulani katika Qur'an, angalia aya ya kabla yake inaongelea nini, na aya ya baada yake inaongelea. Kisha fanya ujue sababu ya kushuka aya husika kadhalika Mtume aliielezea vipi aya hiyo na maswahaba zake waliielewa vipi aya husika.

Imam Shawkaniy anasema ukiona kwenye Qur'an Kuna mgongano basi ilaumu akili na elimu yako kwa kushindwa kujua maana ya hiyo.

Naam hakuna kulazimishana katika dini. Hii aya ya 256 katika sura ya pili inasomeka hivi kwa ukamilifu :

256. Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. (al-Baqarah : 256)

Ya kwamba hakuna kulazimishana au kumlazimisha mtu kuingia katika Uislamu sababu kila kitu wazi na uongofu umeshapambamuliwa.

Ama aya ya 29 katika sura ya 9, inasomeka hivi :

29. Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii. (at-Tawbah : 29)

Aya hii kadhalika Iko wazi, inaamrisha kupigana na wasio amini, sababu Hawa ni watu waovu na ni maadui wa Allah, aya hii imeshuka tayari Uislamu umeshika hatamu, na sheria inasema ili mtu asiyekuwa Muislamu abaki kwenye ardhi ya Waislamu ni aidha awe Muislamu kwa hiari yake au atoe (Jizya) kwa maana alipe Kodi.

Bado hakuna mgongano katika aya hizo zaidi ya ujinga wenu na kutokusoma. Vijana someni mambo haya mapesi sana.

Narudi kuendelea hapa nilipoishia.
 
Aya hii kadhalika Iko wazi, inaamrisha kupigana na wasio amini, sababu Hawa ni watu waovu na ni maadui wa Allah, aya hii imeshuka tayari Uislamu umeshika hatamu, na sheria inasema ili mtu asiyekuwa Muislamu abaki kwenye ardhi ya Waislamu ni aidha awe Muislamu kwa hiari yake au atoe (Jizya) kwa maana alipe Kodi.
Nikikuambia mahaba yamekuzidi na allah ni sawa na kinda la ndege linalosubiri kulishwa unapinga!

Kwanini upigane wewe wakati yeye mwenye nguvu yupo? Kwanini aamrishe mpigane na wasio muamini?

halafu anasema hakuna kulazimishana hiyo dhana ya kupigana inatoka wapi?

Muislamu kubaki kwenye ardhi ya muislamu aidha awe muislamu? Kwanini anilazimishe na alishasema hakuna kulazimishana.

Kiwango chako cha upumbavu hakuna mtu anayeweza kukuelekeza.
Allah ana tofauti na mwanamke asiye na nguvu anaongelea ndani kwake akiwa amefunga mlango, yaani piganeni na bado anajinadi ana nguvu.

Quran na biblia ni vitabu vyenye stori za kuchekesha mno.
 
Hongera wewe usiyeishi kwa fikra za waarabu waliotunga stori zao wakakuletea wewe mtu mweusi.

Huna hata ulichogundua unaita wenzako ni wavivu wa kufikiri, Mimi nimekuambia tu punguza mahaba kwa kitu kisichokuwepo.

allah Ana tofauti na kinda la ndege linasubiri kisai aamke aje kumtetea, na still bado unajiita una akili!
Naona akili huna au una shida katika akili, haiwezekani kila muda unarudia kosa lile lile, unaweza kuthibitisha ya kuwa hizo ni stori za kutungwa na Waarabu ? (Hapa najua utapoteza muda na jibu huna).

Sio lazima kila mtu agundue jambo na sio kipimo cha akili. Wangapi wanao itwa wagunduzi yamekuja kuonekana waliyo yagundua ni uongo ? Hivi wewe kwa akili yako unakubali ya kuwa Kuna "Gravitational force" yaani Ile kiuhalisia na Ile "Gravitational Constant" katika "Universal law of Gravitation" ni kweli ?

Au Black Hole ina exist ? Au kuhusu Quantum Physics ni kweli ? Sasa kugundua si nukta ya msingi msingi ni kupatia sababu haya mambo yapo na yalikuwepo na watu wanafunuliwa tu kuyajua.

Hii aya ya mwisho umeandika dhihaka tu na ujinga hakuna haja ya kujibu utoto huu.
 
Nikikuambia mahaba yamekuzidi na allah ni sawa na kinda la ndege linalosubiri kulishwa unapinga!

Kwanini upigane wewe wakati yeye mwenye nguvu yupo? Kwanini aamrishe mpigane na wasio muamini?

halafu anasema hakuna kulazimishana hiyo dhana ya kupigana inatoka wapi?

Muislamu kubaki kwenye ardhi ya muislamu aidha awe muislamu? Kwanini anilazimishe na alishasema hakuna kulazimishana.

Kiwango chako cha upumbavu hakuna mtu anayeweza kukuelekeza.
Allah ana tofauti na mwanamke asiye na nguvu anaongelea ndani kwake akiwa amefunga mlango, yaani piganeni na bado anajinadi ana nguvu.

Quran na biblia ni vitabu vyenye stori za kuchekesha mno.
Allah ni muweza na nguvu na anataribu zake, vipi Muumba apigane na alochokiumba ? Hii akili ya wapi kijana ?

Allah aliweka taratibu na akautoa muongozo na kwa wale waovu wanatakiwa kupigwa vita ila kwa maagizo yake, na angetaka watu wote waamini wangeamini na angetaka kuwaangamiza watu wote wanao mkana kwake hili ni jambo rahisi sana.

Elewa aya hapo hakuna kulazimishwa ndio maana ambao hawakutaka kubaki kwenye nchi ya Kiislamu walihama, ila wale walio taka kuishi katika nchi za kiislamu kwa maslahi yao, walipewa masharti hayo, aidha aingie kwenye Uislamu kwa hiari yake au alipe Kodi, kuwepo kwa chaguzi mbili maana yake hakuna kulazimishwa hapo, ukiona huwezi nenda sehemu nyingine.
 
Naona akili huna au una shida katika akili, haiwezekani kila muda unarudia kosa lile lile, unaweza kuthibitisha ya kuwa hizo ni stori za kutungwa na Waarabu ? (Hapa najua utapoteza muda na jibu huna).
Dogo kisai,
Naona akili hauna yaani unaweza kuthibitisha jamii yoyote kutoka hapa tanzania yenye mfanano na mila za kiarabu kuanzia mavazi, kuswali n.k?

Mpaka sasa allah ameshindwa kujitetea na anayemtetea hana akili kama alivyo yeye.

Ondoa mikanganyiko.
 
Allah aliweka taratibu na akautoa muongozo na kwa wale waovu wanatakiwa kupigwa vita ila kwa maagizo yake, na angetaka watu wote waamini wangeamini na angetaka kuwaangamiza watu wote wanao mkana kwake hili ni jambo rahisi sana.
Huna uthibitsho zaidi ya maneno!

Unaweza ukathibitisha na angetaka kuamini tungeamini na wala sio mawazo yako?

Yaani bado unaendelea kumficha kwa kisingizio angetaka kuamini, unaleta vitu vya kufikirika.

kuna mwenzako alisema Quran imeshushwa. Si wakristo wala waislamu huyo mungu hajawahi kupigana ila inatolewa maagizo pambaneni, shtuka mdogo wangu, kwanini unakuwa mjinga kiasi hichi?
 
Dogo kisai,
Naona akili hauna yaani unaweza kuthibitisha jamii yoyote kutoka hapa tanzania yenye mfanano na mila za kiarabu kuanzia mavazi, kuswali n.k?

Mpaka sasa allah ameshindwa kujitetea na anayemtetea hana akili kama alivyo yeye.

Ondoa mikanganyiko.
Elewa swali nililo kuuliza, nataka ushahidi wa madai yako. Sio hizi stori.
 
Elewa swali nililo kuuliza, nataka ushahidi wa madai yako. Sio hizi stori.
Unataka ushahidi gani na upo hapa unaongea taarabu mkuu?

Nionyeshe kwamba kwetu nanjilinji kulikuwa na tamaduni za waarabu?

Mpaka sasa upo unampgia debe allah lakini umeshindwa.

Ondoa contradiction dogo usitake kuaminisha umma allah ni mwehu kiasi cha watu wake kushindwa kumtetea.

Twende taratibu.
 
Quran-9:5: Then, when the sacred months have passed, slay the idolaters wherever ye find them and take them captive, and besiege them and prepare for them each ambush….

Aya hii kadhalika iko wazi sana, sababu washirikina ni watu waovu. Haki yao kuuwawa na athari zao ni mbaya katika jamii. Kama walivyo waovu wengine wanao fanya vitendo viovu.
 
Tatizo haliko kwa wasiyoamini kwamba yupo au hayupo shida ipo kwa walio amini lakin wanashaka na uweza wake ,Shaka juu ya uweza wake ndo unafanya watu wasitii maelekezo yake wakiamini hatafatilia kile alichosema
Ukiona MTU ana shaka juu ya uweza wake bado haja amini huyo
 
Utamu wa tendo la Ngono kwichi kwichi na utelezi halafu useme halijaumbwa na fundi fulani?🤔
 
Quran-2:256: There is no Compulsion in religion…. ( hakuna kulazimishana)





Quran-9:29: Fight those who do not profess the true faith (Islam) till they pay the polltax (jiziya) with the hand of humility.
Quran-9:5: Then, when the sacred months have passed, slay the idolaters wherever ye find them and take them captive, and besiege them and prepare for them each ambush….
Quran-47:4: When you meet the unbelievers in the Jihad strike off their heads….
Quran-2:191: And slay (kill) them wherever ye catch them, and turn them out from where they have turned you out such is the reward of those who suppress faith.
Quran-8: 65: O Apostle! Rouse the believers to the fight…(against) unbelievers.

Ondoa contradiction.
Surat Baqar 2:256
Hakuna ruhusu kumlazimisha yeyote kuingia katika dini
Kwa aya na ishara zilizo zagaa Njia ya haki imewekwa wazi kutokana na Njia upotovu.
Basis aliyo ongoka akafuata Imani na akakataa kufuata chochote kisicho ingia akilini, Na kinacho mpelekea kuacha Haki, Basi huyo ameshika Njia madhubuti kabisa ya kumkinga asiingie katika upotovu kama yule mwenye kumkamata baraabara kitakacho mlinda asitumbukie shimoni.

Na m/mungu ni mwenye kuyasikia mnayo yasema, ni mwenye kuyajuwa mnayotenda Na ni mwenye kukulipeni kwa vitendo vyenu
 
Kuingia mtandaoni kuweka link sio sawa ila wewe kutumia Kitabu kilichotungwa na watu ni sawa?

Anayefatilia hii mijadala tulishaona unapwaya wapi, jitafute mdogo wangu.

Kiranga yupo level za dr mambo Amp, nyani ngabu, mama amon, robert heriel,

Ndugu bado sana mweupe na hiyo ni sababu ya kuendekeza udini unatatizika sana.

Pumzika ndugu. Allah asije kukasirika.(joking)

Peace mkuu.
Mwenzio alisema hivyo kwamba Qur'an imetugwa na watu kwa kuwa nae ni mtu nika mwambia nae atunge tuiyone akajibu hawezi, Sasa na wewe kwakuwa unaleta hoja Qur'an imetungwa sasa na wewe nenda katunge uje upost hapa ukishindwa UKOME kuongelea vitu usivyo viweza kufanya
Na kupa week 1 tuu, tafuta na watu wa kusaidie
خابث العمل
 
Mwenzio alisema hivyo kwamba Qur'an imetugwa na watu kwa kuwa nae ni mtu nika mwambia nae atunge tuiyone akajibu hawezi, Sasa na wewe kwakuwa unaleta hoja Qur'an imetungwa sasa na wewe nenda katunge uje upost hapa ukishindwa UKOME kuongelea vitu usivyo viweza kufanya
Na kupa week 1 tuu, tafuta na watu wa kusaidie
خابث العمل
Umeshindwa kuondoa contradiction mpaka sasa.


Umebaki kutetea allah Asiyeweza hata kujisaidia!
Unaacha kuamini Zeus unaamini allah, ukiulizwa Kwanini wako ndo wakweli thibitisha uwezi.

sasa tukusaidie nini? Mwenzake kashindwa huko juu analeta stori za allah kaagiza piganeni yeye allah mpumbavu hawezi kupigana akuagize wewe?
 
Surat Baqar 2:256
Hakuna ruhusu kumlazimisha yeyote kuingia katika dini
Kwa aya na ishara zilizo zagaa Njia ya haki imewekwa wazi kutokana na Njia upotovu.
Basis aliyo ongoka akafuata Imani na akakataa kufuata chochote kisicho ingia akilini, Na kinacho mpelekea kuacha Haki, Basi huyo ameshika Njia madhubuti kabisa ya kumkinga asiingie katika upotovu kama yule mwenye kumkamata baraabara kitakacho mlinda asitumbukie shimoni.

Na m/mungu ni mwenye kuyasikia mnayo yasema, ni mwenye kuyajuwa mnayotenda Na ni mwenye kukulipeni kwa vitendo vyenu
Nenda kasome English course naona unachojibu na kilichonadikwa vitu tofauti.

Halafu urudi hapa.
 
Back
Top Bottom