Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Hizo ni tabia za kichawa halafu sisi wanaume tukiona mwanaume anasifia ujinga na unafki tunaanza k
Mashaka ni kitu kisicho na uthibitisho,
Mimi huwa nakuwa na mashaka mwanaume kama emar anapoanza kuonea wivu wanaume wenzake, mara nyingi huwa si wazima!

Turudi kwenye mada acha mambo ya mashaka.
 
Mkuu,

Asante sana kwa kunijulisha hili.

Liko wazi sana lakini wengi wanajibaraguza kutoliona.

HIstoria ya hapa JF imeonesha kuwa kadiri muda unavyokwenda, mwanga wa ujuzi unamulika ujinga wa imani na kutupa ukweli unaothibitishika vizuri zaidi kimantiki.

Mimi ni mshika mwenge tu, miongoni mwa wachache wasiochoka wa miaka ya zamani.

Kuna kizazi cha kuhoji kinakuja, watu wa imani wakishindwa kujibu maswali ya Kiranga, watakuwa na kazi kubwa sana kujibu maswali ya kizazi kipya.

Ninachoweza kusaidia zaidi jamii ni kunyumbulisha na kutafsiri haya mambo kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.

Nimegundua mambo mengi hayaeleweki kwa sababu ya lugha tu.
Yeah ukweli lugha nako ni tatizo.

Bible tu ukiisoma ya kiswahili unaweza pata maana ambayo wewe ukaelewa tofauti kabisa na atakae soma ya lugha ya kingereza.

Lakini kitu ambacho nimegundua kwenye jamii yetu ni kwamba wafuasi wengi wa imani ni mbu mbu, yaani mbu mbu tena wa kiwango cha aibu mno.

Wale wanaoonekana kuhoji, wanakuwa hawapewi majibu yanayo jitosheleza au wanapuuzwa kabisa na kuambiwa toka hapa mtu wa shetani wewe.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao nikiwauliza watu wa imani yangu napuuzwa na kuonekana nashindana na Mungu.
 
Eti mtoto wa miaka mitatu ukimuuliza ameumbwa na nani atasema Mungu??😂😂😂 when mtoto uyu uyu anajazwa na hayo mambo na wazazi wake cnc kuzaliwa. Ni sawa sawa useme mtoto wa miaka 3 ameanza kuongea kiswahili Bongo😂😂😂 huoni dini inarithishwa tu?
 
Yeah ukweli lugha nako ni tatizo.

Bible tu ukiisoma ya kiswahili unaweza pata maana ambayo wewe ukaelewa tofauti kabisa na atakae soma ya lugha ya kingereza.

Lakini kitu ambacho nimegundua kwenye jamii yetu ni kwamba wafuasi wengi wa imani ni mbu mbu, yaani mbu mbu tena wa kiwango cha aibu mno.

Wale wanaoonekana kuhoji, wanakuwa hawapewi majibu yanayo jitosheleza au wanapuuzwa kabisa na kuambiwa toka hapa mtu wa shetani wewe.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao nikiwauliza watu wa imani yangu napuuzwa na kuonekana nashindana na Mungu.
Cognitive dissonsnce ya watu inawalazimisha ku dismiss maswali, hata kama wanaona ni ya muhimu.

Wanaona kama wakiya dismiss ndiyo maswali yataondoka.

Huwa naweka hundreds of contradictions hapa, kutoka kwenye Quran na Bible.

Watu anazipita tu.
 
Kiranga anaujua mziki wa waislamu, hana hoja za kushindana na waislamu huyo asieamini uwepo wa Mungu, mzee wa contradiction, mzee wa kukopi na paste 😁.... Kisai njoo huku sheikh
Sishindani na Waislamu.

Waislamu wameambiwa kuna watu fulani wasibishane nao, kwani Allah kashawafanya mioyo yao iwe mizito, kawaziba macho na masikio, na atawapa adhabu kali.

Waislamu wanajua kwamba hawatakiwi kujibizana nami. Atakayejibizana nami hata Uislamu haujui.

Ndiyo maana huwezi kukuta nabishana na Mzee Mohammed Said kuhusu haya mambo. Mzee Mohammed Said anaujua Uislamu na hawezi kubishana na mimi.

Ni nyie vifulambute tu msiosoma hata hiyo Quran mnaojishaua hapa.

Unataka kubishana na mtu wakati Quran ishakukataza. Kitabu chako mwenyewe cha dini hukijui, una ki contradict.

Namulika ujinga kwa mwanga wa ujuzi.

Huyo Kisai nimemtoa ignore list kwa ombi maalum, kaja anakataa mantiki, anakataa sayansi.

Nikamwambia hivi, basi usitumoe mantiki ya lugha wala teknolojia ya kisayansi ya JF na internet.

Tumia njia zako zisizotumia sayansi ya JF na internet au mantiki ya alphabet na lugha kuwakilisha mada zako.

Nikamrudisha ignore list.

Na wewe ukishadadia mashindano ya ligi na wajinga wanaokataa mantiki kwa style ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa" inayoonesha hujui kufikiri, na hujafikia viwango vya kujadiliana nami, nitakupeleka ignore list vilevile.

Sina tatizo kumpeleka mtu yeyote ignore list ili kuondoa mizozano ya kijinga isiyo na tija na iliyo chini ya viwango.
 
Kiranga anaujua mziki wa waislamu, hana hoja za kushindana na waislamu huyo asieamini uwepo wa Mungu, mzee wa contradiction, mzee wa kukopi na paste 😁.... Kisai njoo huku sheikh
Huyo Hana hoja, Jana tu nikampa nafasi ya kujadiliana nae, akawa anaruka ruka tu. Maswali hajibu na hii ndio tabia yake. Nikampa tena nafasi aelezee hiyo logic ya kwenye "Alphabet" kituko alichokiandika ni balaa, akazijaalia "Alphabet" kuwa ni kitu chenye ufahamu chenye kuweza kufanya jambo fulani kwa dhati yake. Sasa mtu hata kutunga sentensi yenye kuleta maana napo anashindwa.


Ndio maana nikampa sharti la kujibu kila swali nitakalo muuliza, sababu najua huwa Hana uwezo wa kujibu maswali yetu, akashindwa akatumia mbinu yake Ile Ile.
 
Huyo Hana hoja, Jana tu nikampa nafasi ya kujadiliana nae, akawa anaruka ruka tu. Maswali hajibu na hii ndio tabia yake. Nikampa tena nafasi aelezee hiyo logic ya kwenye "Alphabet" kituko alichokiandika ni balaa, akazijaalia "Alphabet" kuwa ni kitu chenye ufahamu chenye kuweza kufanya jambo fulani kwa dhati yake. Sasa mtu hata kutunga sentensi yenye kuleta maana napo anashindwa.


Ndio maana nikampa sharti la kujibu kila swali nitakalo muuliza, sababu najua huwa Hana uwezo wa kujibu maswali yetu, akashindwa akatumia mbinu yake Ile Ile.
Kuulizana kwamba mungu yupo au hayupo inathibitsha kuwa huyo mungu muweza wa yote hayupo, kwann watu hawajadilini kuhusu uwepo wa upepo au baridi au joto?
 
Wasomi wengi wa vitabu, hii mada haiishii....facts ni nyingi mnooo.....FEAR & ENVY
 
Huyo Hana hoja, Jana tu nikampa nafasi ya kujadiliana nae, akawa anaruka ruka tu. Maswali hajibu na hii ndio tabia yake. Nikampa tena nafasi aelezee hiyo logic ya kwenye "Alphabet" kituko alichokiandika ni balaa, akazijaalia "Alphabet" kuwa ni kitu chenye ufahamu chenye kuweza kufanya jambo fulani kwa dhati yake. Sasa mtu hata kutunga sentensi yenye kuleta maana napo anashindwa.


Ndio maana nikampa sharti la kujibu kila swali nitakalo muuliza, sababu najua huwa Hana uwezo wa kujibu maswali yetu, akashindwa akatumia mbinu yake Ile Ile.
Yaani umepuuzwa kwasababu hauna hoja za kueleweka , yaani nikama mjinga anatetea ujinga wake, na hastuki yani
 
MI NAONA YUPO,HAWA MAJINI MAPEPO WACHAFU ,WACHAWI MBONA WAPO. BINADAMU NI ROHO ILIYO UVAA MWILI HUU WANYAMA VIVYO HIVYO KWA MUNGU PIA NI ROHO YENYE UKUU NDANI YAKE PIA HUWEZI MUONA KWA MACHO HAYA YA NYAMA.
 
Qur'an pekee ndo haina mapungufu
koran ipi mkuu. korani ambayo mtume alikuwa akipokea/akiletewa aya anawapa watu wazihifadhi, kisha wengine wakafa ( watu mia tatu) kabla ya kuziandika
korani ambayo inasema mtume ndo muislam wa kwanza, kisha inasema hata Adam alikuwa muislam
kaa kwa kutulia na hilo likitabu lililotungwa na Wakatolik
 
Kuna jambo limenisukuma sana kuandika huu Uzi.

Mambo ambayo yanaendelea kuhusu uwepo wa Mungu.

Kuna baadhi ya watu wa amini hakuna mungu nk.

Ni ingie kwenye point.

Uwepo wa mungu una dhihirika kwa alama zake na viumbe vyake.

Hebu tutafakari kama hakuna mungu nani alieumba bahari, jua, mbingu, binadamu, wanyama hivi vitu vimetokea vipi kama hakuna alieviimba.

Leo hii hata ukimchukuwa mtoto mdogo wa miaka mitatu ukamuuliza nani kaumba mbingu atakujibu mungu.

Vipi mtu mzima mwenye akili timamu unashindwa kutambua hilo.

Yapo mambo mengi sana yana thibitisha uwepo wa mungu naweza kesha kuelezea kiufupi, Tufahamu mungu yupo na yeye ndo ametuumba sisi ili tumuabudu yeye tu.
Rudi madrasa ukajifunze vizuri kabla ya kuleta somo la hivyo humu
 
Back
Top Bottom