Abu Huraira (god be pleased with him) relates that the messenger of God (peace be upon him) said ;God does not look at your bodies and your shapes, He looks at your heart; (Muslim) So hiyo wala hainipi shida endelea kuamini unacho kiaminiWewe kama hujui Kiingereza maana yake asilimia kubwa ya vitabu na websites z8iazoelezea hoja za kutokuwepo Mungu huwezi kuzisoma.
Kimsingi, kwangu , katika habari hizi, huna tofauti sana na mtu asiyejua kusoma.
Mbinguni ni wapi!?... Tuanzie hapo... Hakuna kinachoitwa mbingu!... Bali kuna anga(atmosphere) lililojaa mabilioni ya sayari... Ikiwemo hiiMbinguni
Suhendra naomba nikuulize. Mungu, ni nini/nani? Yuko wapi? Anafanya nini!Kwanza INA bidi ufahamu kwamba mungu ametakasika na kila sifa ya mapungufu. Haja wahi kukosea kwa lolote lile
Hapa duniani tupo katika mtihani wa majaribio yule ambae atafaulu atapelekwa peponi ambae atafeli atapelekwa Motoni
Allah ametupa akili na maarifa tofauti na wanyama ukifanya dhambi nafsi yako lazima ikusute kwa masaasi uliyo Fanya hiyo ni dalili yakuwa binadamu tuna utashina uelewa
Shetani wala sio msaidizi wa mungu tambua kwanza hilo
Utofauti wa imani unachangiwa na utofauti wa uwelewa kati ya mtu mmoja na mwingine
Mtume Muhammad hakujuwa kusoma wala kuandika ni hekima ya Allah ili kuepusha mkanganyiko wa dini ya kiislam
Hebu fikiria wee mwenywe ange kuwa anajuwa kusoma na kuandika si mngesema Qur'an ametunga Muhammad hiyo ni hekma ya Allah na ndo mana Qur'an watu wameshindwa kuibadirisha kwa sababu ni maneno ya mungu direct.
Wewe ndo umeharibu kabisaaaaa, mjinga mkubwa(ni utani lakini si kwamba nimekutukana). Mfano mimi ni sehemu ya mungu,na yupo ndani yangu.Mungu yupo kweli... ila sio mungu wa kwenye quran wala biblia, MUNGU yupo ndan yako, wewe ni sehem yake na huna haja yakwenda kumuomba mahali maalum ila popote wkt wowote.. tatz ata hao wanaokubali kuwa mungu yupo bado hawajamjua vzur wao kama wao ila wamekaririshwa.. haitakiwi ukaririshwe unatakiwa umjue, cku ukijijua vzur ww n nini ndiyo siku utakayomjua mungu ni nan
Pole sana mkuuMungu yupo kweli... ila sio mungu wa kwenye quran wala biblia, MUNGU yupo ndan yako, wewe ni sehem yake na huna haja yakwenda kumuomba mahali maalum ila popote wkt wowote.. tatz ata hao wanaokubali kuwa mungu yupo bado hawajamjua vzur wao kama wao ila wamekaririshwa.. haitakiwi ukaririshwe unatakiwa umjue, cku ukijijua vzur ww n nini ndiyo siku utakayomjua mungu ni nan
Msizidishe mkakufuruMbona Ujajiuliza uyo Mungu wako alitokea vipi Kama nae Hakuna aliemuumba[emoji848]
Hujajibu hoja yoyote hapa zaidi ya kubwabwaja........msome tena mleta mada kwa utulivu halafu urudie kujibu, na kwa nini ufikiri ni lazima Mungu awe ameumbwa kwa sababu ya kufanya uumbaji wa kustaajabisha ikiwemo binadamu na viumbe hai wengine.Kama vilivyo complex hivi vyote vyenye high order hivi ulivyovitaja, bahari,jua, watu, wanyama, ni lazima viwe vimeumbwa na higher intelligence, basi complexity haiwezi kutokea bila kuumbwa na higher intelligence.
Sasa, hapo hapo linakuja swali, kwa kanuni hiyo hiyo ya kwamba kilicho complex hakiwezi kuwepo tu, ni lazima kiwe kimeumbwa, hata Mungu wako naye atahitaji juwa aneumbwa, na aliyemuumba naye atahitaji kuwa na muumba, hivyo hivyo, bila mwisho.
Kwa hiyo, ukisema kuwa bahari, jua, watu ni lazima vimeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea tu, kimsingi hapo unasema Mungu hayupo, labda hujaelewa tu kwamba unajenga hoja kwamba Mungu hayupo.
Ni hivi.
Ama, hivi vitu complex ni lazima viwe vimeumbwa, ama si lazima.
Kama si lazima viwe vimeumbwa, hapo Mungu hahitajiki, kwa sababu kama ulivyosema, unatumia dhana ya kwamba Mungu kaumba kudhihirisha Mungu yupo. Kama vitu hivi si lazima viwe vimeumbwa, basi Mungu hahitajiki.
Kama ni lazima viwe vimeumbwa, basi huyo unayemuita Mungu naye ni lazima awe kaumbwa, na kama ni lazima awe kaumbwa, huyo si Mungu.
Sijui hata kama una uwezo wa kuelewa hizi hoja.
Watu ni wa ajabu sana, Na hawafikirii sawasawa kama huyu mleta mada Sahendra.Mbona Ujajiuliza uyo Mungu wako alitokea vipi Kama nae Hakuna aliemuumba[emoji848]
Mwambie awaokoe watoto, akina mama na watu wote wa gaza.Kuna jambo limenisukuma sana kuandika huu Uzi.
Mambo ambayo yanaendelea kuhusu uwepo wa mungu.
Kuna baadhi ya watu wa amini hakuna mungu nk.
Ni ingie kwenye point
Uwepo wa mungu una dhihirika kwa alama zake na viumbe vyake.
Hebu tutafakari kama hakuna mungu nani alieumba bahari, jua, mbingu, binadamu, wanyama hivi vitu vimetokea vipi kama hakuna alieviimba.
Leo hii hata ukimchukuwa mtoto mdogo wa miaka mitatu ukamuuliza nani kaumba mbingu atakujibu mungu.
Vipi mtu mzima mwenye akili timamu unashindwa kutambua hilo.
Yapo mambo mengi sana yana thibitisha uwepo wa mungu naweza kesha kuelezea kiufupi, Tufahamu mungu yupo na yeye ndo ametuumba sisi ili tumuabudu yeye tu.
Na wewe kwa nini ulazimishe kwamba Dunia iliumbwa?Hujajibu hoja yoyote hapa zaidi ya kubwabwaja........msome tena mleta mada kwa utulivu halafu urudie kujibu, na kwa nini ufikiri ni lazima Mungu awe ameumbwa kwa sababu ya kufanya uumbaji wa kustaajabisha ikiwemo binadamu na viumbe hai wengine.
Kama Mungu yupo na alitaka tusimkufuru, Aliumbaje binadamu wenye uwezo wa kumkufuru?Msizidishe mkakufuru
Mungu kama yupo na angekuwa na ukuu kweli na nguvu kweli, Asinge ruhusu kiumbe chochote kile au Binadamu yeyote yule amkufuru.Kwanini kumekua na wimbi kubwa sana mnaekosoa uwepo wa Mungu au kudhihaki Mungu sio chochote? Uzuri Mungu sio mwingi wa hasira kama binadamu bali huchukizwa na yule asienenda kwa nyia zilizo nyofu,tuamini ipo siku hakika atajidhihirisha kwenu ili mumfahamu ya kuwa yeye yupo na anawezo wa kufanya lolote, wakati wowote na kwa vile inavyompendeza.
Hutumii akili wewe, Mungu muumbaji anawezaje kuumbwa......hapo ndo mnapokwamia na huyo mwenzenu kiranga.Na wewe kwa nini ulazimishe kwamba Dunia iliumbwa?
Kwa nini?
Hivi wewe unafikiri sawasawa kweli?
Hakuna ulazima wa kwamba Dunia iliumbwa.
Kama ulazima huo upo, Hata huyo Mungu lazima awe ameumbwa.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo muumbaji, Maana kitavuruga muundo mzima wa ulazima awepo muumbaji.