Hao wauwaji ndo wameleta vitabu na kuaminisha watu kwamba wao ni taifa teule, mala Mungu wao ni Mungu wa dunia nzima na propaganda kibao za dini.Just imagine, Watoto wasio na hatia yeyote ile wala ufahamu wowote ule wanakufa kwa vita na majanga ya asili mbalimbali yaliyopo duniani.
Halafu una ambiwa, Mungu ni mwema sana mwenye huruma na upendo na huokoa watu kwenye shida na vita.
Maelfu ya watoto wamekufa huko Gaza lakini Mungu anaye daiwa ni mwema, mwenye huruma na upendo AMESHINDWA KUWA OKOA watoto hawa...
Yani kama huyo Mungu yupo ni mkatili sana na Muuaji mkubwa sana.
Murderer God. View attachment 2835493
Cha kufanya ni kuachana na huo utapeli wao wa dini zao.