Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Just imagine, Watoto wasio na hatia yeyote ile wala ufahamu wowote ule wanakufa kwa vita na majanga ya asili mbalimbali yaliyopo duniani.Mwambie awaokoe watoto, akina mama na watu wote wa gaza.
Kwa hiyo akitunyima hiyo pumzi na uwezo wa kuziishi Kesho zetu anakuwa sio Mungu tena??anakuwa nani sasa??Mungu yupo na ndiye anayetupa pumzi na uwezo wa kuziishi kesho zetu..
Haya maandiko yana tofauti gani na vitabu vya hadithi?Uthibitisho;
للذي خلق سبع سموت طباقا ماتري في خلق الرحمن من تفوت فارجع البصر هل تري من فطور
Ambae ameumba mingu saba kwa tabaka hutaona tofauti yoyote katika uumbaji wake mwingi wa rehema basi rudisha jicho. Je, utaona ufa wowote?
Rudisha jicho lako mbinguni na tazama kwa makini. Je, pamoja na ukubwa wake na upana wake utaona humo mpasuko au ufa wowote?
Kiufupi tu binadamu ndio kamuumba Mungu na kumfanya awe mkuu ,ni yupo kichwani tu kwa mhusika.Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, si mchoyo wa kuwafunulia watu wajue uwepo wake.
Angekuwepo, angejiweka wazi kwa namna ambayo kila mtu angejua kwa uhakika uwepo wake, kwa namna ambayo, mjadala wowote wa kuwepo Mungu usingewezekana.
Ukiona kuna swali lolote, kuna utata wowote, kuna kitabu, tafsiri, muktadha au sintofahamu yoyote katika kuelewa uwepo wa Mungu huyo, ujue hayupo.
Hapo utapata siasa za watu, saikolojia za watu, hadithi za kutungwa na watu tu.
Watu wananuwezo mkubwa sana wa kutunga hadithi ya uongo na kuifanya ukweli.
Wamelichukua karatasi, wakachora mapichapicha, wanakwambia hii ni noti ya dola 100 za Marekani, ukiwa nazo karatasi hizi 12 thamani yake ninsawa na kazi zote anazofanya Mtanzania wa wastani kwa mwaka mzima.
Tumekubali kwamba karatasi hizo zina thamani kubwa sana.
Hatushindwi kutunga hadithi na kuipa thamani yabukweli ambao haupo.
Tofauti ni kwamba, kwenye kuipa paper money thamani, tunakubali hapa tumeipa thamani tu hii karatasi.
Kwenye Mungu, Mungu naye ni hivyo hivyo tu, watu wamemtunga, wakampa thamani, wakati hayupo.
Ila hawakubali tu hilo.
Usimfundishe Mungu namna anavyowalinda watu wake, halafu wewe, sio ya kwamba Mungu hajaumba watu wema ni wewe uchague kuwa mwema au kubaki kama wewe ulivyo, nyie watu wa sampuli yako ndiyo mnasababisha maafa kama hayaJust imagine, Watoto wasio na hatia yeyote ile wala ufahamu wowote ule wanakufa kwa vita na majanga ya asili mbalimbali yaliyopo duniani.
Halafu una ambiwa, Mungu ni mwema sana mwenye huruma na upendo na huokoa watu kwenye shida na vita.
Maelfu ya watoto wamekufa huko Gaza lakini Mungu anaye daiwa ni mwema, mwenye huruma na upendo AMESHINDWA KUWA OKOA watoto hawa...
Yani kama huyo Mungu yupo ni mkatili sana na Muuaji mkubwa sana.
Murderer God. View attachment 2835493
Ya binadam makagare washalalaaa 😂😂Ya Mungu mengi, ya kuku ni mayai
Mungu kaumbwa na fikra za watu baada ya kujiuliza maswali wanayoshindwa kuyajibu , ndio maana kila jamii ina fikra za Mungu kwa mitazamo tofauti.Wewe tuambie au tuonyeshe ulazima wa Mungu kuumbwa.
Je unajua nini maana ya Mungu ? Yaani yule aliye umba ambaye ni mkamilifu vipi awe ameumbwa ?
Unaamini infinity ina exist ?
إنا هدينه السبل إما شاكرا وإما كفورKama Mungu yupo na alitaka tusimkufuru, Aliumbaje binadamu wenye uwezo wa kumkufuru?
Mungu huyo, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii siku zote pasipo kumkufuru?
Mungu yupo ndani ya kichwa cha muamini ndio , mwamba yupo sahihi.Wewe ndo umeharibu kabisaaaaa, mjinga mkubwa(ni utani lakini si kwamba nimekutukana). Mfano mimi ni sehemu ya mungu,na yupo ndani yangu.
Sawa kabisa. Swali linakuja je,maovu nahotenda mimi,kama ni sehemu yangu si tunashirikiana? Chukulia mfano naiba tikiti la mke wa mtu. Af ni sehemu yangu kumbuka? Si hapo tumekula 50/50??? Mungu gani huyo sasa!!! Muovu kama mimi! Haya,ana nguvu mnazompachika,lakini hawezi kunikemea huku anajua nafanya aliyoyakataza. Si ananiogopa mimi?
Itabaki hivyo hatuwezi potezwa direction kisa kiranga au yoyoteTunaoamini kuna Mungu tuendelee kuamini.