Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Yaani aliyeanzisha mada anajua vyote anavyosema vimeshapingwa kwenye manyuzi kibao na ufafanuzi ushatolewa ila anataka na yeye aone raha ya kubishana na atheists. Mi nishasemaga ukiona mtu wa dini yupo kwenye hizi threads Imani yake imeshapungua by more than 50% coz up to that point ushajua vitabu vya dini ni vya watu tu na sio vya Mungu, argument za existence of Mungu wa dini nyingi no illogical na impossible to exist . Yaani humu ndani mtu anajikosha tu eti jua bahari sijui miwa...sukari serious.. Yaani waalimu wa geography na science walikuwa wanafundisha tenzi za rohoni class au..
Mleta mada, Anadhani pengine yeye ndio wa kwanza kumtetea huyo Mungu..😅

Analeta imani zake JF, Anadhani humu ni msikitini au kanisani...
 
Wewe ndo hujielewi unauliza vitu vya kijinga
Mfano mdogo Tanzania kuna makabila mangapi kwanini kila jamii isiongee lugha yake site twazungumza kiswahili litafakari hilo kwanza utapata jibu
Halafu mungu hapangiwi binaadam ni سمعنا وأعطعنا "Tumesikia na Tunatii"
Nakwambia hivi..👇

Huyo Allah ni Mpumbavu sana.

Huyo Allah alikuwa hajui kwamba Duniani kuna watu wa lugha mbalimbali ashushe Quran kwa lugha zote za watu wote duniani apate kueleweka?
 
Wapo humu kwa sababu wana personal conflict na imani zao mkuu.
Ndo hivyo mi naona atheism itakuwa kuwa kitu normal tu bongo ..watu wengi Wana act Wana Imani mbele za watu ila in real sense Wana doubts nyingi .. tutafika tu
 
Yaani aliyeanzisha mada anajua vyote anavyosema vimeshapingwa kwenye manyuzi kibao na ufafanuzi ushatolewa ila anataka na yeye aone raha ya kubishana na atheists. Mi nishasemaga ukiona mtu wa dini yupo kwenye hizi threads Imani yake imeshapungua by more than 50% coz up to that point ushajua vitabu vya dini ni vya watu tu na sio vya Mungu, argument za existence of Mungu wa dini nyingi no illogical na impossible to exist . Yaani humu ndani mtu anajikosha tu eti jua bahari sijui miwa...sukari serious.. Yaani waalimu wa geography na science walikuwa wanafundisha tenzi za rohoni class au..
Ninge kuwa na juwa hilo kwamba na mpigia mbuzi gitaa wala nisinge poteza muda wangu
 
Kama vilivyo complex hivi vyote vyenye high order hivi ulivyovitaja, bahari,jua, watu, wanyama, ni lazima viwe vimeumbwa na higher intelligence, basi complexity haiwezi kutokea bila kuumbwa na higher intelligence.

Sasa, hapo hapo linakuja swali, kwa kanuni hiyo hiyo ya kwamba kilicho complex hakiwezi kuwepo tu, ni lazima kiwe kimeumbwa, hata Mungu wako naye atahitaji juwa aneumbwa, na aliyemuumba naye atahitaji kuwa na muumba, hivyo hivyo, bila mwisho.

Kwa hiyo, ukisema kuwa bahari, jua, watu ni lazima vimeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea tu, kimsingi hapo unasema Mungu hayupo, labda hujaelewa tu kwamba unajenga hoja kwamba Mungu hayupo.

Ni hivi.

Ama, hivi vitu complex ni lazima viwe vimeumbwa, ama si lazima.

Kama si lazima viwe vimeumbwa, hapo Mungu hahitajiki, kwa sababu kama ulivyosema, unatumia dhana ya kwamba Mungu kaumba kudhihirisha Mungu yupo. Kama vitu hivi si lazima viwe vimeumbwa, basi Mungu hahitajiki.

Kama ni lazima viwe vimeumbwa, basi huyo unayemuita Mungu naye ni lazima awe kaumbwa, na kama ni lazima awe kaumbwa, huyo si Mungu.

Sijui hata kama una uwezo wa kuelewa hizi hoja.
Kwa mbali kama nakuelewa hivi
 
Kwa mbali kama nakuelewa hivi
Taratibu tutaelewana tu mkuu, atakayeelewa ataelewa, anayejikatalisha kufuatilia logic naye ni haki yake kutoelewa.

Ila nashangaa inakuwa vipi watu wanashindwa kuelewa logic hii ambayo iko wazi kabisa.
 
Nakwambia hivi..👇

Huyo Allah ni Mpumbavu sana.

Huyo Allah alikuwa hajui kwamba Duniani kuna watu wa lugha mbalimbali ashushe Quran kwa lugha zote za watu wote duniani apate kueleweka?
العنىة لله عليه
 
Why huamini in Yahweh au Yesu? Coz hoja hizo hizo Kama nani kaumba jua au nani kawapaka rangi ndege unaweza kuzitumia kusema Yesu au Yahweh ndo Mungu. So why u ain't convinced on the existence of other gods ambao watu billion wanawaamini kuwa ndo muumba wa kila kitu?
Answer: the same reason wewe huamini miungu mingine isipokuwa Allah coz umekaririshwa na Maza yako tokea utotoni ambapo ungeweza kuamini chochote. The same reason na sisi hatuamini Allah.
 
Kuna jambo limenisukuma sana kuandika huu Uzi.

Mambo ambayo yanaendelea kuhusu uwepo wa mungu.

Kuna baadhi ya watu wa amini hakuna mungu nk.

Ni ingie kwenye point

Uwepo wa mungu una dhihirika kwa alama zake na viumbe vyake.

Hebu tutafakari kama hakuna mungu nani alieumba bahari, jua, mbingu, binadamu, wanyama hivi vitu vimetokea vipi kama hakuna alieviimba.

Leo hii hata ukimchukuwa mtoto mdogo wa miaka mitatu ukamuuliza nani kaumba mbingu atakujibu mungu.

Vipi mtu mzima mwenye akili timamu unashindwa kutambua hilo.

Yapo mambo mengi sana yana thibitisha uwepo wa mungu naweza kesha kuelezea kiufupi, Tufahamu mungu yupo na yeye ndo ametuumba sisi ili tumuabudu yeye tu.
Sawa Mungu yupo, lakini anatumiwa dini Gani kutufikishia ujumbe wake?
Nawasihi mfike pale uwanja wa maonyesho Saba Saba tarehe 16-17 December 2023 kuisikiliza Mdahalo wa Mwl Francis Ndacha na Dr. SULE

View: https://www.youtube.com/live/MjV6HoXEAIs?si=LA4NBzAi2a2F6QMn
 
Hii ni Nini? Sidhani Kama bongo mmefika stage ya kuwa na religious debate...serikali yetu inategemea dini ili iendelee kuongoza...
Serikali haina dini lakini viongozi wake ndio wana dini hahahahaha.

Bora nikae kimya
 
Serikali haina dini lakini viongozi wake ndio wana dini hahahahaha.

Bora nikae kimya
Uwongo...serikali inatumia dini kutawala watu... Jiulize kwa Nini sakata la bandari, ushoga, n.k yote yalihubiriwa makanisani na misikitini...bila dini hii nchi ni ngumu sana kumobilize watu kufata agenda fulani..
 
Mpokee yesu atajithibitisha mwenyewe katika maisha yako
Hiyo ni kauli ya imani, si kauli ya fact.

Hujathibitisha kwamba atajithibitisha.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujaondoa contradictions zilizopo katika Biblia.

Hujatatua the problem of evil.
 
Angekuwepo ata usinge taka nidhibitishe kutokuwepo kwake, thibitisha wewe unaesema yupo ? Mungu mwenye upendo mueza wa yote angekuwepo kweli hata hii isingekuwa mjadala tena.
Nimecheka sana, kutumia kwako "nge" kunaonyesha huna ushahidi na huwezi kutetea hoja yako. Yaani unaishi kwenye dhana.

Sasa ushasema ni muweza wa yote, halafu mbele unakanusha uwezo wake ? Hii akili ya wapi ?

Amekuwa muweza wa yote ndio maana anayafanya mpaka yale ambayo akili yako inaona sio sawa, huu ndio uwezo ulio kamilika.
 
Back
Top Bottom