Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu huyo atabaki kuwa ni mjuzi wa yote kama anapima watu?Huwezi kupangia mungu nini afanye nini aache sawa Eeh, hapa duniani tumeumbwa kwaajili ya kupimwa yupi ni mzuri zaidi katika vitendo sasa unataka mtihani uwe mrahisi bila shetani uta kuwa mtihani huuu.
Nadhani ushaanza kuelewa mafungufu yako. Yako wapi
Hapo inakuonesha kwamba huelewi ulimwengu hata kwa uchache tu.Aisee! Kwani ukitoka njee kwako ukatizama juu angani si ndo mbingu huko kwenye nyota.
Sawa mkuu. binadamu je katokea wapi?Kwa nini swali lako linakuwa "aliye...?".
Huoni kuwa swali lako linalenga kwenye jibu unalolitaka tayari? Huoni swali yako lina bias, kasumba ya kwamba kuna "aliyeumba"?
Sayansi imeshaelezea vizuri kabisa jinsi jua lilivyotokea. Na maelezo hayo hayamuhutaji Mungu.
Wewe umesoma nini kuhusu maelezo ya kisayansi kuhusu jua lilivyotokea?
Tunasoma haya mambo au tunashangaa tu na kusema hii ni kazi ya Mungu?
Mbona vitu vyote vipo mtandaoni? Tatizo ni nini, ni hiki Kiingereza?
![]()
Sun: Facts - NASA Science
From our vantage point on Earth, the Sun may appear like an unchanging source of light and heat in the sky. But the Sun is a dynamic star, constantly changingscience.nasa.gov
Formation
The Sun formed about 4.6 billion years ago in a giant, spinning cloud of gas and dust called the solar nebula. As the nebula collapsed under its own gravity, it spun faster and flattened into a disk. Most of the nebula's material was pulled toward the center to form our Sun, which accounts for 99.8% of our solar system’s mass. Much of the remaining material formed the planets and other objects that now orbit the Sun. (The rest of the leftover gas and dust was blown away by the young Sun's early solar wind.)
Ukumbuke upo kwenye open forum sio msikitini.Nawe acha kudandia gari kwa mbele
Ndio maana mwanzoni nilikwambia huna unachojua zaidi ya Quran uliyo karirishwa na kuaminishwa.سجكلزمشا أمن ننسكامن نا
Ume nichekesha Sana ndo maana nakwamba rudi usome hujuwi tofaut ya Qur'an na kiarab cha kawaidNdio maana mwanzoni nilikwambia huna unachojua zaidi ya Quran uliyo karirishwa na kuaminishwa.
Pengine hata sekondari hukufika.
Ulisoma madrasa tu.
Upeo wako wa kufikiri uko limited huna unachojua nje ya Quran.
Vikiwepo mtandaoni ni lazima viwe vya kweli?Kwa nini swali lako linakuwa "aliye...?".
Huoni kuwa swali lako linalenga kwenye jibu unalolitaka tayari? Huoni swali yako lina bias, kasumba ya kwamba kuna "aliyeumba"?
Sayansi imeshaelezea vizuri kabisa jinsi jua lilivyotokea. Na maelezo hayo hayamuhutaji Mungu.
Wewe umesoma nini kuhusu maelezo ya kisayansi kuhusu jua lilivyotokea?
Tunasoma haya mambo au tunashangaa tu na kusema hii ni kazi ya Mungu?
Mbona vitu vyote vipo mtandaoni? Tatizo ni nini, ni hiki Kiingereza?
![]()
Sun: Facts - NASA Science
From our vantage point on Earth, the Sun may appear like an unchanging source of light and heat in the sky. But the Sun is a dynamic star, constantly changingscience.nasa.gov
Formation
The Sun formed about 4.6 billion years ago in a giant, spinning cloud of gas and dust called the solar nebula. As the nebula collapsed under its own gravity, it spun faster and flattened into a disk. Most of the nebula's material was pulled toward the center to form our Sun, which accounts for 99.8% of our solar system’s mass. Much of the remaining material formed the planets and other objects that now orbit the Sun. (The rest of the leftover gas and dust was blown away by the young Sun's early solar wind.)
Ndyo nna fahamu,Unajua maana ya "Self evident truth". Soma kwanza kisha uje kujenga hoja.
How uwepo wangu unathibitisha uwepo wa Mungu?Labda uniambie wewe nikuthibitishie mara ngapi. Isiwe hujaona ushahidi kwa ujinga wako au unakataa.
Nilikwambia ya kuwa kuwepo kwako wewe kunathibitisha wazi ya kuwa Mungu yupo. Halafu unakuja tena kutaka ushahidi. Una akili kweli kijana ? Lakini kuwepo kwa Ulimwengu na vilivyomo Kuna thibitisha uwepo wa Mungu.
Labda utuambie uthibitisho kwako wewe una sifa gani ? Usiseme hujathibitishiwa.
Wewe na huyo Allah wako mna nini cha utofauti ambacho wengine hawana?Ume nichekesha Sana ndo maana nakwamba rudi usome hujuwi tofaut ya Qur'an na kiarab cha kawaid
Wewe uliefika secondary unanini mpaka sasa..???
Kashapanic huyo.Wewe na huyo Allah wako mna nini cha utofauti ambacho wengine hawana?
Yuko Mungu yupi?Mungu wa kwenye Dini ni uzushi tu hayupo
Mkuu,Kuna jambo limenisukuma sana kuandika huu Uzi.
Mambo ambayo yanaendelea kuhusu uwepo wa mungu.
Kuna baadhi ya watu wa amini hakuna mungu nk.
Ni ingie kwenye point
Uwepo wa mungu una dhihirika kwa alama zake na viumbe vyake.
Hebu tutafakari kama hakuna mungu nani alieumba bahari, jua, mbingu, binadamu, wanyama hivi vitu vimetokea vipi kama hakuna alieviimba.
Leo hii hata ukimchukuwa mtoto mdogo wa miaka mitatu ukamuuliza nani kaumba mbingu atakujibu mungu.
Vipi mtu mzima mwenye akili timamu unashindwa kutambua hilo.
Yapo mambo mengi sana yana thibitisha uwepo wa mungu naweza kesha kuelezea kiufupi, Tufahamu mungu yupo na yeye ndo ametuumba sisi ili tumuabudu yeye tu.
Mimi sijui watu tumetoka wapi.Labda nikuulize na wewe Wanadamu tumetoka wapi,
Vitu vyote duniani asili yake ni nini pls katika majibu yako usiweke hoja yoyote ya kisasnsi...
......... Ni ngumu kutofautisha sayansi na mantiki... Tena kwa vitu ambayo ni empirical /phyisical... Otherwise na wewe hutakuwa na tofauti watu wa imani...
Binadamu hayupo, hiyo ni hadithi ya kuhusu Bin Adam, ambayo inasema Adam alikuwa mtu wa kwanza aliumbwa na Mungu.Sawa mkuu. binadamu je katokea wapi?
Kwanza sahihisha maana yako ya imani. Hilo nakuachia.Imani ni hali ya kuamini au kutegemea jambo fulani pasipo na ushahidi wa moja kwa moja au thibitisho .
Thibitisha Mungu yupo ili niamini Leo vijembe havitakusaidia kudhibitisha.
Sioni hata sababu ya kusema dunia imeumbwa iwe kwa mungu ama kwa sayansi bado hakuna udhibitisho ila miaka ijayo sayansi inaweza fanikisha hilo kwa sababu inakua nakubadilika na kujirekebisha kila siku.
Naweza kuthibitisha kuwa unaamini uongo kwa kuangalia logical consistency.Vikiwepo mtandaoni ni lazima viwe vya kweli?
Kuna / Una ushahidi kuwa hayo ni ya kweli?
Unaweza vipi kuthibitisha kuwa unachoamini wewe ndio kweli na ninachoamini mimi ni uongo?
Ungejua maana yake usingeuliza swali hili tena.Ndyo nna fahamu,
NIeleze how hivyo vitu viwe self evident truth ukihusisha na dhana ya kuumbwa na Mungu?