Uwepo wa rais Mbeya kesho kwenye 8-8 ndio kumeahirisha hukumu ya kesi ya Bandari?

Naona unapenda sana mambo ya LGBT,kawaida ya vijana wanaotumika kuja na lugha ya matusi ili kukera watu wasitoe mawazo yao,tuliona wengine wakimchapa makofi hadi Mzee Warioba kwenye mambo ya katiba mpya!!

Maeneo ya mahakama na maeneo ya 8-8 kwa Mbeya ni sehemu 2 tofauti na siku zote mahakama ziko mbali na maeneo ya mchangayiko kutokana na utulivu kuhitajika.

Kama suala rais Samia kuogopa kuchanganyika,jana mpaka saa moja na usiku mbona alikua temeke uwanjani kwenye mchangayiko?!!

Uzuri unakili kua hukumu imeahirishwa kwa ujio wa rais,huko sio kuingilia uhuru wa mhakama?!!
 
Na kama hiyo ndiyo sababu basi ni dhahiri hukumu hiyo ni handout toka ikulu na wanajua itawaudhi Wazalendo wa kweli.
Galgano unajishusha kaka....

Yaani unataka kusema kuwa vitengo vya DOLA havishirikiani kuweka PROTOKALI SAWA ?!!!

Yaani taasisi hizo zinaishi kwa "TUG OF WAR"?!!! [emoji1787][emoji1787]
 
Ukiona kitu kinatangazwa sana, ujue kina kasoro.
 
Unataka kutolewa HUKUMU yenye kufurahisha MATAKWA ya nafsi yako ?!!

Hebu heshimu MIZANI ya muhimili huo wa dola.....
Tanzania haina mahakma. Ndiyo maana Samia aliposema Mbowe akamatwe, alikamatwa. Aliposema abambikiwe kesi ya ugaidi, alibambikiwa na kuonekana ana kesi ya kujibu. Aliposema nimemtesa imetosha, futeni kesi, alifutiwa kesi.

Marehemu Magufuli aliposema wapinzani wakamatwe na wabambikiwe kesi, walibambikiwa na kuonekana wana hatia. Samia alipoagiza waliobambikiwa kesi na kushtakiwa na kuhukumiwa kufungwa na Magufuli, waachiwe, waliachiwa.

Kinachoitwa mahakama kwa Tanzania, ni idara tu ya ikulu ambayo ikulu inaitumia kwa kadiri inavyotaka.
 
Uongo huo....

Kungekuwa hakuna MAHAKAMA nisingelipwa HAKI yangu ya UVAMIZI WA ENEO LANGU...

Mahakama ndiyo iliyoona nina HAKI pamoja na mtuhumiwa kuniapiza kuwa atashinda kwa sababu ya PESA ZAKE....

Tunadanganyana sana [emoji26]
 
Chadema fanyeni kama mmekosea hivi.. Kesho mkutano Mbeya hahahhh
Mwenye masikio asikie
 
Ukiona kitu kinatangazwa sana, ujue kina kasoro.
Waafrika si wazungu wenye siasa za KILIBERALI....

Hivi tunasahau kuwa makabila yetu yanatupeleka UNYAGONI NA JANDONI?!!!

Tunataka tuwe na siasa za watu ambao hawajui JANDO NA UNYAGO?!!!

Waafrika tumaheshimu WAZAZI NA WAKUBWA....

Ni mila zetu kuheshimu VIONGOZI WETU na kuishi nao pasi na "TUG OF WARS"....ni "status quo" yetu....
 
1. Wameona kama serikali itashinda basi kutakuwa na machafuko
2. Kama serikali itashindwa furaha ya ushindi kwa wananchi itakuwa kubwa kuliko nanenane hivyo watu hawatahudhuria uwanjani.

Namba moja ndio tegemeo.

Hatuuzi bandari hata mahakama wapindishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mizanzibali sasa inakuja kuchukua mbeya.

Jana liliwateka Simba wote.
 
Unachanganya mambo...

Tukio la jana Temeke lilikuwa linajulikana na limeandaliwa vyema....

8/8 ipo....

Unadhani kati ya 8/8 na hiyo kesi ipo iko katika ALMANAC ya mambo ya kitaifa ?!!!

Halafu HAIJAINGILIWA hukumu....bali kumeahirishwa siku ya kutolewa HUKUMU....wapi serikali imeingilia maamuzi ya HUKUMU ?!!

Mbona tunadanganyana kupitia "trivial issues"?!! [emoji1787][emoji1787]
 
Hukumu lazima iegemee upande wa serikali hilo halina ubishi kwa sababu we ukienda kinyume na aliyekuteuwa that means you are not worth to work in that position utatengenezewa zengwe upumzishwe alafu ,utanyan'ganywa nyumba ya bure unayoishi,gari,marupurupu, na maisha ya huko duniani ya Ku hustle jamaa hawayawezi .na waswahili wanasema boss hanuniwi.
 
Acha kuudogosha MUHIMILI wa mahakama....yaani mambo ya ndani ya mahakama aulizwe mkuu wa mkoa mh.Juma Homera?!!!

Yeye anahusika na kusimamia PROTOKALI ya ziara ya mpendwa Rais wetu SSH......
Mhimili wenyewe ushajidogosha kabla tena Kwa taarifa yako ni yeye ndio alipiga simu kwa Jaji ahairishe

Habari hiyo nakuhabarisha
 
Tarehe 10 itadhigirika hii,Mama si alishatoa angalizo hataki serikali iwe inashindwa kesi!!
Tarehe hizi zinaleta mfanano wa aajabu kwenye mkataba huu:
10/08/2023 Mahakama
10/06/2023 Bunge
25/10/2022 Serikali
Raia nasi tuchague tarehe yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…