Uwepo wa rais Mbeya kesho kwenye 8-8 ndio kumeahirisha hukumu ya kesi ya Bandari?

Uwepo wa rais Mbeya kesho kwenye 8-8 ndio kumeahirisha hukumu ya kesi ya Bandari?

YAANI MBURURA MMOJA TU AISHINDE SERIKALI KLWELI??MNAJIDANGANYA HAPO HAKUNA KESI ISHJATUPILIWA MBALI VIGEZO HAVIJAKIDHI NA DP WORLD WANAENDELEA NA KAZI NYIE PIGENI KELELEEEE MPAKA MCHOKE
Nyie pigeni kelele? Haya malalamiko wewe unaita kelele?
 
Jana ndio maana events ya Mpira ikatekwa kisiasa.

Kikwete alikua akienda uwanjani,hajawahi kuteka tukio.

Magufuli alienda uwanjani,hakuwahi kuteka tukio.

Wa sasa hata mechi zakawaida za ligi,vijana wanaebeshwa picha na mabango ya Mama.

Jana kuna tukio la hovyo likafanyikwa la maigizo ya albino,huku wahusika kwenye stage wakiwa wamevaa fulana za Mama,sijui wahusika wanaona ufahari!!
Nimeshuhudia kuna mashabiki wa Simba kindakindaki walikuwa washakata na tiketi lakini wakaghairi kwenda kwa ajili ya mambo hayo

Kuna mtu aliwatonya kuwa wanaenda kumpa kiki bi tozo wee na hivi hawamfagilii wakasema uwanjani hawaendi na tiketi wanatupa wala hawagawii mtu bure.

Nilicheka sana.
 
Uongo huo....

Kungekuwa hakuna MAHAKAMA nisingelipwa HAKI yangu ya UVAMIZI WA ENEO LANGU...

Mahakama ndiyo iliyoona nina HAKI pamoja na mtuhumiwa kuniapiza kuwa atashinda kwa sababu ya PESA ZAKE....

Tunadanganyana sana [emoji26]
Mbona umeshindwa kujibu hoja zake?
 
mhimili wenyewe ushajidogosha kabla tena Kwa taarifa yako ni yeye ndio alipiga simu kwa Jaji ahairishe

Habari hiyo nakuhabarisha
Siipokei....ni ya uongo....

Mihimili huwa inashirikiana katika mambo mtambuka ya ndani ya ALMANAC ya shughuli za kitaifa....

Sherehe za 8/8 ziko ndani ya ALMANAC....
 
Kuna mambo ya hovyo sana Karia na TFF yake,siasa kuletwa uwanjani
Nimeshuhudia kuna mashabiki wa Simba kindakindaki walikuwa washakata na tiketi lakini wakaghairi kwenda kwa ajili ya mambo hayo

Kuna mtu aliwatonya kuwa wanaenda kumpa kiki bi tozo wee na hivi hawamfagilii wakasema uwanjani hawaendi na tiketi wanatupa wala hawagawii mtu bure.

Nilicheka sana.
 
Siipokei....ni ya uongo....

Mihimili huwa inashirikiana katika mambo mtambuka ya ndani ya ALMANAC ya shughuli za kitaifa....

Sherehe za 8/8 ziko ndani ya ALMANAC....
Sasa walipangaje tarehe 7/8 na wakati walikuwa wanajua kuna 8/8 au bi tozo asingekuja Jaji angemaliza leo?
 
Salam wakuu,

Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.

Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!!

Kwanini hisia hasi?! Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).

Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?!).

Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.

Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?!!

Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?!!

Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?!!

Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?!!

Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.

Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!!
Ndio kumeathiri pakubwa maana kama hukumu ingetoka kabla hajatembelea wananchi wa huko jinsi walivyo kama hawamkubali kiongozi wanagoma kuhudhuria au kurusha mawe kama walivyomfanyia Kikwete pale Tunduma na hakuwahi kutembelea tena Mbeya hadi anaondoka madarakani.

Mbeya na Tunduma iwanamisimamo isiyoyumba kusimamia wanachokiami ni sahihi.
 
Ndio kumeathiri pakubwa maana kama hukumu ingetoka kabla hajatembelea wananchi wa huko jinsi walivyo kama hawamkubali kiongozi wanagoma kuhudhuria au kurusha mawe kama walivyomfanyia Kikwete pale Tunduma na hakuwahi kutembelea tena Mbeya hadi anaondoka madarakani.

Mbeya na Tunduma iwanamisimamo isiyoyumba kusimamia wanachokiami ni sahihi.
N ndio maana wana maendeleo,tazama mikoa yote yenye raia wanaojitambua huwa ina maendeleo makubwa!!
 
Kwahiyo na nyie wazalendo uchwara hukumu itakayowafrahisha ndio mtaikubali? Vinginevyo ni serikali imebebwa? Msikae na hukumu mfukoni mtazidi kuumia na kuumiza maisha yenu bure tu
 
Salam wakuu,

Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.

Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!!

Kwanini hisia hasi?! Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).

Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?!).

Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.

Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?!!

Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?!!

Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?!!

Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?!!

Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.

Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!!
Mbona bandari ya Kigoma na Mwanza hazipo kwenye huo mkataba wa DPW?.

Hawa wawekezaji wanakwenda kutumia asilimia nane tu ya eneo la bandari. Wanategemewa kuleta ufanisi ambao ndio unapungua pale bandarini.
 
Kasome mkataba, mkataba unasema Bandari zote za baharini ba kwenye maziwa!!

Kama hazipo,Lissu na Mbowe wasingekita kambi kanda ya ziwa!!
 
Mbona bandari ya Kigoma na Mwanza hazipo kwenye huo mkataba wa DPW?.

Hawa wawekezaji wanakwenda kutumia asilimia nane tu ya eneo la bandari. Wanategemewa kuleta ufanisi ambao ndio unapungua pale bandarini.
Bandari za Kigoma, (ziwa Tangaynyika) Mwanza (ziwa Victoria/Nyanza), Ruvuma (ziwa Nyansa) zote hizo zimo ila zimetajwa kwa tafsida (bandari zilizoko kwenye bahari na maziwa yote)
 
Bandari za Kigoma, (ziwa Tangaynyika) Mwanza (ziwa Victoria/Nyanza), Ruvuma (ziwa Nyansa) zote hizo zimo ila zimetajwa kwa tafsida (bandari zilizoko kwenye bahari na maziwa yote)
Na kukawekwa kipengele kua Tanzania hairuhusiwi kumpa uwekezaji mtu/kampuni nyingine bila ya idhini ya waarabu!!
 
Salam wakuu,

Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.

Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!!

Kwanini hisia hasi?! Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).

Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?!).

Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.

Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?!!

Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?!!

Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?!!

Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?!!

Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.

Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!!
Basi wanajua matokeo. Na hasa ni yale ya kuitupilia mbali kesi.
 
Ukienda Mahakamani uwe tayari kupokea hukumu kulingana na hoja ulizoishawishi mahakama ili ikupe ushindi hoja hizo ni lazima ziwe nzito kushinda za mpinzani wako.

Sasa katika kufuatilia kesi hiyo si inaonekana wazi kwamba ushindi unaelekea wapi?
 
Back
Top Bottom