eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Nyie pigeni kelele? Haya malalamiko wewe unaita kelele?YAANI MBURURA MMOJA TU AISHINDE SERIKALI KLWELI??MNAJIDANGANYA HAPO HAKUNA KESI ISHJATUPILIWA MBALI VIGEZO HAVIJAKIDHI NA DP WORLD WANAENDELEA NA KAZI NYIE PIGENI KELELEEEE MPAKA MCHOKE
Nimeshuhudia kuna mashabiki wa Simba kindakindaki walikuwa washakata na tiketi lakini wakaghairi kwenda kwa ajili ya mambo hayoJana ndio maana events ya Mpira ikatekwa kisiasa.
Kikwete alikua akienda uwanjani,hajawahi kuteka tukio.
Magufuli alienda uwanjani,hakuwahi kuteka tukio.
Wa sasa hata mechi zakawaida za ligi,vijana wanaebeshwa picha na mabango ya Mama.
Jana kuna tukio la hovyo likafanyikwa la maigizo ya albino,huku wahusika kwenye stage wakiwa wamevaa fulana za Mama,sijui wahusika wanaona ufahari!!
Mbona umeshindwa kujibu hoja zake?Uongo huo....
Kungekuwa hakuna MAHAKAMA nisingelipwa HAKI yangu ya UVAMIZI WA ENEO LANGU...
Mahakama ndiyo iliyoona nina HAKI pamoja na mtuhumiwa kuniapiza kuwa atashinda kwa sababu ya PESA ZAKE....
Tunadanganyana sana [emoji26]
Siipokei....ni ya uongo....mhimili wenyewe ushajidogosha kabla tena Kwa taarifa yako ni yeye ndio alipiga simu kwa Jaji ahairishe
Habari hiyo nakuhabarisha
Nimeshuhudia kuna mashabiki wa Simba kindakindaki walikuwa washakata na tiketi lakini wakaghairi kwenda kwa ajili ya mambo hayo
Kuna mtu aliwatonya kuwa wanaenda kumpa kiki bi tozo wee na hivi hawamfagilii wakasema uwanjani hawaendi na tiketi wanatupa wala hawagawii mtu bure.
Nilicheka sana.
Sasa walipangaje tarehe 7/8 na wakati walikuwa wanajua kuna 8/8 au bi tozo asingekuja Jaji angemaliza leo?Siipokei....ni ya uongo....
Mihimili huwa inashirikiana katika mambo mtambuka ya ndani ya ALMANAC ya shughuli za kitaifa....
Sherehe za 8/8 ziko ndani ya ALMANAC....
Ndio kumeathiri pakubwa maana kama hukumu ingetoka kabla hajatembelea wananchi wa huko jinsi walivyo kama hawamkubali kiongozi wanagoma kuhudhuria au kurusha mawe kama walivyomfanyia Kikwete pale Tunduma na hakuwahi kutembelea tena Mbeya hadi anaondoka madarakani.Salam wakuu,
Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.
Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!!
Kwanini hisia hasi?! Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).
Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?!).
Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.
Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?!!
Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?!!
Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?!!
Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?!!
Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.
Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!!
N ndio maana wana maendeleo,tazama mikoa yote yenye raia wanaojitambua huwa ina maendeleo makubwa!!Ndio kumeathiri pakubwa maana kama hukumu ingetoka kabla hajatembelea wananchi wa huko jinsi walivyo kama hawamkubali kiongozi wanagoma kuhudhuria au kurusha mawe kama walivyomfanyia Kikwete pale Tunduma na hakuwahi kutembelea tena Mbeya hadi anaondoka madarakani.
Mbeya na Tunduma iwanamisimamo isiyoyumba kusimamia wanachokiami ni sahihi.
Mbona bandari ya Kigoma na Mwanza hazipo kwenye huo mkataba wa DPW?.Salam wakuu,
Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.
Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!!
Kwanini hisia hasi?! Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).
Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?!).
Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.
Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?!!
Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?!!
Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?!!
Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?!!
Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.
Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!!
Wapuuzi hawa, watashindwa mapema sana hiyo Jumatano.Kwahiyo na nyie wazalendo uchwara hukumu itakayowafrahisha ndio mtaikubali? Vinginevyo ni serikali imebebwa? Msikae na hukumu mfukoni mtazidi kuumia na kuumiza maisha yenu bure tu
Bandari za Kigoma, (ziwa Tangaynyika) Mwanza (ziwa Victoria/Nyanza), Ruvuma (ziwa Nyansa) zote hizo zimo ila zimetajwa kwa tafsida (bandari zilizoko kwenye bahari na maziwa yote)Mbona bandari ya Kigoma na Mwanza hazipo kwenye huo mkataba wa DPW?.
Hawa wawekezaji wanakwenda kutumia asilimia nane tu ya eneo la bandari. Wanategemewa kuleta ufanisi ambao ndio unapungua pale bandarini.
Na kukawekwa kipengele kua Tanzania hairuhusiwi kumpa uwekezaji mtu/kampuni nyingine bila ya idhini ya waarabu!!Bandari za Kigoma, (ziwa Tangaynyika) Mwanza (ziwa Victoria/Nyanza), Ruvuma (ziwa Nyansa) zote hizo zimo ila zimetajwa kwa tafsida (bandari zilizoko kwenye bahari na maziwa yote)
Rostamu alishasema SIMU MOJA TUWaulize mahakamani kama hiyo inaweza kuwa sababu
Basi wanajua matokeo. Na hasa ni yale ya kuitupilia mbali kesi.Salam wakuu,
Wengi wanajua kuwa leo Mahakamani hapo Mbeya kulipaswa kusomwa hukumu ya kesi inayovuta masikio na hisia za watu wengi, ambayo imetunguliwa na mawakili wa nne wakujitegemea dhidi ya Jamhuri (AG) na Bunge pia kupitia Katibu wa Bunge.
Historia ya kuibuka kwa shauri hili inajulikana,kuahirishwa kwa hukumu za kesi pia sio jambo geni Ila kwa hii inaleta hisia hasi!!
Kwanini hisia hasi?! Kwanza wengi tunajua kua rais Samia anatuhumiwa kuhusika na mkataba tata ulioibua kesi hii na moja kwa moja inasemwa ameuza Mali za Tanganyika kwa wajomba(waarabu wa Dubai).
Kumekuwa na jitihada kubwa sana kwa serikali ya Samia kutetea na kuhakikisha Jambo hilo linaendelea na Ni zuri (japo watu wanahoji,kama ni zuri kwa nini hakujumuisha na bandari za Zanzibar anapotokea?!).
Kesho Mbeya rais arashiriki maadhimisho ya 8-8 na kwa kawaida Mbeya ni mji ambao hauna nidhamu ya kinafiki,kama mtakumbuka hapo Mbeya rais Kikwete aliwahi kupopolewa Mawe kwenye msafara wake, Magufuli aliwahi kuzomewa pia huko awali.
Kuahirishwa kwa hukumu ya kesi husika siku moja kabla ya raisi kuwa Mbeya kwenye maadhimisho ni kuepusha aibu na fedheha ya kuzomea?!!
Kuahirishwa kwa hukumu,ni kua hukumu imeshapangwa na watawala wanahofia itapokewa kwa hasira na kuzua heka heka?!!
Hukumu itasomwa siku moja ama 2 baada ya Rais kuwa ameshaondoka Mbeya,je ujio wake hapo kesho ndio sababu?!!
Kwenye japo la mahakimu wanne,mmoja kukosekana hakuzuii watatu waliobaki kutokusema hukumu,kwa nini ihairishwe?!! Ujio wa raisi?!!
Binafsi inatoa taswira tayari kua hukumu hiyo ni ya kubumba,kama ni ya haki basi ingeendelea tu.
Kwenye familia ama maisha yetu,ukiwa unatenda ama unataka kutenda jambo la fedheha,husubiri kwanza umma utulie usikutane na heka heka, naona ndio haya!!
Kesi zipi?Tarehe 10 itadhigirika hii,Mama si alishatoa angalizo hataki serikali iwe inashindwa kesi!!
Kumbe ndo fundo lilipo!!Tarehe hizi zinaleta mfanano wa aajabu kwenye mkataba huu:
10/08/2023 Mahakama
10/06/2023 Bunge
25/10/2022 Serikali
Raia nasi tuchague tarehe yetu