Uwepo wa Rev. Fr. Charles Kitima kwenye utiwaji saini wa Mkataba wa DP World unahitaji majibu

Uwepo wa Rev. Fr. Charles Kitima kwenye utiwaji saini wa Mkataba wa DP World unahitaji majibu

Tumsifu Yesu Kristu.

Leo tarehe 22.10.2023 umehudhuria kikao cha utiaji saini HGA kwa ajili ya uendeshwaji na uendelezwaji wa Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa wewe ndo uliyekuwa kinara wa kupinga uwekezaji wa DP World hapa Nchini, na leo umehudhuria kikao cha utiaji saini jambo lile lile ulilolipinga kwa nguvu zote, Waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania tunaomba utoe ufafanuzi wa kina tena bila kupepesa macho kuhusu suala hili. Kama ufafanuzi wa kina hautatolewa haraka:-

(1) Binafsi sitatoa sadaka wala mchango wowote ule Kanisani, kwani sitakuwa tena na Imani na Kasisi yeyote yule. Lakini pia nitawashawishi na Waamini wengine kuchukua hatua nilizochukua.

(2) Nitajiuzuru nyadhifa zangu zote katika Kanisa na kuwashawishi wengine kufanya hivyo.

Tunaomba bila kupoteza muda mwingi jitokezeni kutoa maelezo ya kina.
Kwa hiyo RC walikuwa wanakutegemea wewe au? 🤣🤣🤣
 
wamebadilisha vipengele, kwanini wasiende?
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)

7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Haya unayosema yameandikwa wapi?? Mkataba tunaoujua hauna vipengele hivyo!!
 
Serikali ya CCM imeipiga TEC "chenga ya mwili " .Mbinu nzuri ya kupata uungwaji mkono ni kumtumia mkosoaji "critic "

Sasa kanisa na wasomi wake wote wameufyata mbele ya Chama, sijui wataambia nini waumini
 
Ushaabiki na uzandiki ni mwingi sana kwa bongolala. Sisi hatukupinga uwekezaji bali aina ya mkataba. Sijauona huo mkataba uliosainiwa lkn walau sasa wanatamka wazi ukomo wa mkataba na mipaka ya uwekezaji hata hao wa serikali wana ujasiri wa kuitamka. Hicho ndicho tulichokuwa tunakitaka.
Hakika
 
Serikali ya CCM imeipiga TEC "chenga ya mwili " .Mbinu nzuri ya kupata uungwaji mkono ni kumtumia mkosoaji "critic "

Sasa kanisa na wasomi wake wote wameufyata mbele ya Chama, sijui wataambia nini waumini
Hawana aibu lini RC awe na aibu?
 
Tumsifu Yesu Kristu.

Leo tarehe 22.10.2023 umehudhuria kikao cha utiaji saini HGA kwa ajili ya uendeshwaji na uendelezwaji wa Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa wewe ndo uliyekuwa kinara wa kupinga uwekezaji wa DP World hapa Nchini, na leo umehudhuria kikao cha utiaji saini jambo lile lile ulilolipinga kwa nguvu zote, Waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania tunaomba utoe ufafanuzi wa kina tena bila kupepesa macho kuhusu suala hili. Kama ufafanuzi wa kina hautatolewa haraka:-

(1) Binafsi sitatoa sadaka wala mchango wowote ule Kanisani, kwani sitakuwa tena na Imani na Kasisi yeyote yule. Lakini pia nitawashawishi na Waamini wengine kuchukua hatua nilizochukua.

(2) Nitajiuzuru nyadhifa zangu zote katika Kanisa na kuwashawishi wengine kufanya hivyo.

Tunaomba bila kupoteza muda mwingi jitokezeni kutoa maelezo ya kina.
Kumbe wewe ndiye uliyekuwa umepewa Mzigo na Akina Nshomile ili Uwashawishi wenzako watoe Waraka. Lakini Usichokijua hata Ushauri wa TEC wote umechukuliwa na kufanyiwa kazi ndiyo maana Mkataba saizi ni Miaka 30.
NB: TEC tunawajua na wanaelewa kuwa Serikali imechukua maoni. Sema labda lengo lako la kukwamisha Mkataba limekwamaaa kwa maslahi yako lakini siyo ya Nchi. Wale waliotoa changamoto zilizopo kwenye Mkataba zimefanyiwa kazi kwa Maslahi ya pande zote mbili kwa Maslahi ya nchi na siyo tumbo lako
 
Kama ambavyo walitangaza waraka wa kupinga mkataba wa bandari, watangaze tena kwanini wamebadili gia angani?
Huo mgongo hawana, kondo wao watawashutukia bure, jopò kondo walishalushwa sumu wanawaona kama miungu yao.
 
Kwani tuongelea waraka au maneno yako.Waraka ulihitumishwa kwa kuupinga ule mkataba ndio maana serikali imesema ilizingatia sana maoni ya wadau kwenye huu mkataba.Japo wazo la wazawa na kujijengea uwezo wetu linabaki kuwa Bora kuliko la kutafuta wanaoweka na kuchukua.
tec wepesi hawana uwezo wa kuzuia mambo ya serikali.
 
Back
Top Bottom