Uwepo wa waandishi wa habari makanjanja ni hatari ndani ya jamii/ nchi

Uwepo wa waandishi wa habari makanjanja ni hatari ndani ya jamii/ nchi

Mkuu nowdays kuna jambo mtu anatakiwa kujiuliza, kwa nini waandishi na media kadhaa kubwa zimekuwa nje ya msingi wake?.

Moja ya sababu ni kuwa wamiliki kupitia wakurugenzi wakuu wanahitaji profit, kila mwisho wa mwaka kimahesabu mmiliki anataka kuona faida siyo hasara.

Kwa mantiki hiyo kwenye postmortem watu wanakuna vichwa kujua walaji wanataka nini, kutokea hapo ndipo unakutana na maajabu as yale waliyofanya "wachafu, oh sorry wasafi".

Mtu anajitoa ufahamu kuongea na chizi kwa kumuuliza swali la kijinga chizi anajibu kulingana na uchizi wake. Baadaye anapelekewa mhariri ambaye anaikagua na kusema haifai, anapewa somo na kuambiwa acha iruke tuone reaction ambayo wao inawabeba sababu on that challenge of fight against their members wanaongeza wadau wapya na kupata profit.

Kwa hiyo tatizo sio Waandishi, tatizo lipo Kwa watumiaji wa habari ambao ni Raia.
 
Back
Top Bottom