Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
😂😂 labda anamaanisha ile uwezo wa kumpita mtu kirahisi.
Halafu ukikimbia sasa unakuta hata rpm saaana inagusa tu gari inasepa balaa.
Ivo aani gari haisumbui inakubali tu fasta 🥴
Sema na mechanics nyingine za chombo zitaruhusu rpm itafsiriwe kuwa speed mingii kwenye kona unapunguza saana ila
Eeh kwani mi ndo wa kwanza kuishia katikati!?
Halafu ukikimbia sasa unakuta hata rpm saaana inagusa tu gari inasepa balaa.
Ivo aani gari haisumbui inakubali tu fasta 🥴
Sema na mechanics nyingine za chombo zitaruhusu rpm itafsiriwe kuwa speed mingii kwenye kona unapunguza saana ila
Eeh kwani mi ndo wa kwanza kuishia katikati!?