Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako kagari ukikapata Tanzania uta enjoy maana watashangaa mbona gari ndogo ila inachanganya haraka na ukitaka kuifata hauwezi kuikuta labda uruke...Golf 10 ina balaa sana na ina mapumziko ya kutosha sana ndani..Haka kagari kwa ambao hawakajui watakadharau ila nawashauri watu hili ni lichuma la kwenda mbio zipo na balance ikiwa barabarani.
Hiyo inaitwa acceleration; uwezo wa gari kubadili kasi; the higher the acceleration the faster it can move in a short time hence the ability to overtake easily.😂😂 labda anamaanisha ile uwezo wa kumpita mtu kirahisi.
Halafu ukikimbia sasa unakuta hata rpm saaana inagusa tu gari inasepa balaa.
Ivo aani gari haisumbui inakubali tu fasta 🥴
Sema na mechanics nyingine za chombo zitaruhusu rpm itafsiriwe kuwa speed mingii kwenye kona unapunguza saana ila
Eeh kwani mi ndo wa kwanza kuishia katikati!?
Vipi vipuri, mafundi na unywaji wa mafuta?
Hako kagari ukikapata Tanzania uta enjoy maana watashangaa mbona gari ndogo ila inachanganya haraka na ukitaka kuifata hauwezi kuikuta labda uruke...Golf 10 ina balaa sana na ina mapumziko ya kutosha sana ndani..
Vipi vipuri, mafundi na unywaji wa mafuta?
Hako kagari ukikapata Tanzania uta enjoy maana watashangaa mbona gari ndogo ila inachanganya haraka na ukitaka kuifata hauwezi kuikuta labda uruke...Golf 10 ina balaa sana na ina mapumziko ya kutosha sana ndani..
SA vina bei ila vipo vingine Yard bei nzuri tuu kama hiki...Mkuu nimeenda kuka google kanauzwa bei mkasi sana [emoji16] labda upate mdogo wake wakiba golf gti
Wajapani wanauza bei ghari sana Golf ya 2013 wanauza usd elfu kumi wakati hiyo hela unaweza kupata hiyo hiyo ya 2017 au 2018 SA ukitembea kidogo na hela yao ilivyoshuka hiyo usd ni Rand nyingi...View attachment 2544779
Cheki hiyo ni bei tu ya hao
Hawa Golf sijui walifikiri nini kwenye huo mwendo...View attachment 2544780
Hiyo ni gti tu inasoma 300 engine cc ndogo lakini mwendo wa kufa mtu
SA vina bei ila vipo vingine Yard bei nzuri tuu kama hiki...
Wajapani wanauza bei ghari sana Golf ya 2013 wanauza usd elfu kumi wakati hiyo hela unaweza kupata hiyo hiyo ya 2017 au 2018 SA ukitembea kidogo na hela yao ilivyoshuka hiyo usd ni Rand nyingi...
Hawa Golf sijui walifikiri nini kwenye huo mwendo...
Japan wanaangalia soko la Afrika lipoje wao hata gari ya 1997 wanauza bei tuu kama ipo kwenye demand kubwa ila SA nachopenda wao wanaenda na Model gari ya zamani haina nafasi labda zile Luxury car tuu Porsch na ndugu zake...Ndo nimeshangaaa hadi golf ya 2004 wanauza bei
Mkuu apo umeitaja gari yangu pendwa ya Voltz, naomba maelezo zaidiAchana na mambo ya rpms..hiyo ni uwezo wa engine kuzunguka..
Speed ni matokeo ya engine kuzunguka..
Tunaangalia matokeo sio process..
Hata usome sana ila huna uwezo wa kugeuza kisomo kutatua changamoto zako inakuwa ni bure..!
Diesel engines hazina uwezo wa kurev
Petrol engines zina revs sana
LC200 1vd max rpms 6000 top speed 240kph..!
Voltz 2zz max rpms 9000 top speed 180kph..!
Landcruiser anapiga ngumi chache ila nzito...
Voltz anapiga ngumi nyingi nyingi ila nyepesi..!
Ni Toyota..Mkuu apo umeitaja gari yangu pendwa ya Voltz, naomba maelezo zaidi
Sijui Kama unaelewa ulichoandikaWengi wetu utasikia ile gari inakimbia sana, ni kweli gari lazima kukimbia ila ushawai kujiuliza mnaweza kuwa spidi sawa ila ukashangaa anakupita bila kutegemea.
Utengenezaji wa magari kuna vitu vingi vinaangaliwa ili kufanya gari kukimbia ila kinachowezesha ni injini.
Injini kila siku zinavozidi kutengenezwa zinasumbukiwa RPM ili wewe kukusaidia gari lako kwenda vizuri.
Nini maana ya RPM(Revolutions per minute):
is a unit of rotational speed or rotational frequency for rotating machines.
Wajuzi wa magari na mafundi nataka mtueleze
View attachment 2521539
Yani wewe ndo zero brainKuna kitu mtoa mada mmeshindwa kumuelewa japo mmkembilia ujuwaji msiojua.
Anaposema RPM na KMH basi kiwango kikubwa kinachoangaliwa kwenye kusuma KMH ni RPM ndio maana dash ya speed zote zinaweza kuwa sawa ila ikakupita.
Kuna siku ilishwai shindanishwa tesla na bugat.
Kilichokuwa akiangaliwi speed je RPM zinapishana vipi.
Ila ukiwa mjinga tanzania ndio ili, watu kubisha wasichokijua.
Mrudi mashuleni mda mwengine ndo nyie hata kufanya utafiti mnakuja na kende zenu kufikiria.
Jamaa yupo sawa labfa ufikishaji wazoView attachment 2522972
Sijui nicheke sijui nilie au basiKuna kitu kinaita Horse power mnaweza kuwa sawa Speed bt mwenzio ana horse power kubwa automatical atakupita tuh.
E.G. Ist atembee 80km/r then Altezza atembee speed 80km/r na wote waanze pamoja eneo moja. Unafkir nani atakae mpita mwenzie[emoji1][emoji2][emoji3]