Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Horse power yake ndo muhimu cc 2000 yenye 130hp kamwe haiwezi fika hio speedbila hata kuhangaika na gari ina Cc2000 tu.
Hadi uiboost iwe na hp za kutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Horse power yake ndo muhimu cc 2000 yenye 130hp kamwe haiwezi fika hio speedbila hata kuhangaika na gari ina Cc2000 tu.
1.9TDI kwenye Audi au VW ina horsepower 130.Horse power yake ndo muhimu cc 2000 yenye 130hp kamwe haiwezi fika hio speed
Hadi uiboost iwe na hp za kutosha
Hicho kinakula gari.nyingi.sana ambazo unaweza kuwa unaamini kwamba zina mbio.
Mjerumani anatengeneza gati chassis nzito.... Halafu zinakuwa chini. Balance lazima iwepo ya kutosha.
Unajua vitu ila umekosa kuona vitu vyenyewe halisi hizo gari zinakimbia kweli sio kwamba wanadanganya...
Hizo Golf Gti na R series wezi wa SA walikua wanazitumia sana maana kukamatwa ilikua tatizo baada ya hapo walikua wanatumia Ford Focus baada Serikali ya kaburu kujua hivyo na wao polisi wakapewa hizo R series mpaka Golf 10 wanazo hao Crime prevention zimewekwa Antenna juu zinakimbia balaa wao kuwakamata wezi huko freeway dk chache tuu huku wakitumia chopa kuelekeza...Namletea link hapa benz e class inaachwa jamaa anarekodi hiyo golf inasoma 257 anasema hazifiki 300[emoji23]
130hp then ufike 260Kph..!!!?1.9TDI kwenye Audi au VW ina horsepower 130.
Inatoboa 260kph bila shida.
Hizo golf zinazofika 320kph hata hazifiki 300hp.
Hizo Golf gti na R series wezi wa SA walikua wanazitumia sana maana kukamatwa ilikua tatizo baada ya hapo walikua wanatumia Ford Focus baada Serikali ya kaburu kujua hivyo na wao polisi wakapewa hizo R series zimewekwa Antenna juu zinakimbia balaa...
Video za 1.9tdi zimejaa mtandaoni mkuu. Halafu hii ni diesel.130hp then ufike 260Kph..!!!?
Sio rahisi aisee.. Actually Haiwezekani..
Kumbuka IST ina 150hp..
Dashboards zinabandikwa tuu..
518i
520i
525i
530i
535i
540i
Zote dashboard inasoma 260kph..ila hazina uwezo sawa..!
OK.. Naomba ushare link..!Video za 1.9tdi zimejaa mtandaoni mkuu. Halafu hii ni diesel.
Maana ni engine common sana ya Audi na VW.
Hivi unajua kuwa speed ni unit? Ukiona gari imeipita nyingine ni matokeo ya kuwa hiyo gari inatembea speed zaidi ya nyingine. Au ndio yale ya kilo moja ya chuma ni nzito kuliko kilo moja ya pamba?Kuna kitu kinaita Horse power mnaweza kuwa sawa Speed bt mwenzio ana horse power kubwa automatical atakupita tuh.
E.G. Ist atembee 80km/r then Altezza atembee speed 80km/r na wote waanze pamoja eneo moja. Unafkir nani atakae mpita mwenzie[emoji1][emoji2][emoji3]
kilo moja ya pamba na mchanga mi ipi nzito zaidi??Kuna kitu kinaita Horse power mnaweza kuwa sawa Speed bt mwenzio ana horse power kubwa automatical atakupita tuh.
E.G. Ist atembee 80km/r then Altezza atembee speed 80km/r na wote waanze pamoja eneo moja. Unafkir nani atakae mpita mwenzie[emoji1][emoji2][emoji3]
OK.. Naomba ushare link..!
Wengi wetu utasikia ile gari inakimbia sana, ni kweli gari lazima kukimbia ila ushawai kujiuliza mnaweza kuwa spidi sawa ila ukashangaa anakupita bila kutegemea.
Utengenezaji wa magari kuna vitu vingi vinaangaliwa ili kufanya gari kukimbia ila kinachowezesha ni injini.
Injini kila siku zinavozidi kutengenezwa zinasumbukiwa RPM ili wewe kukusaidia gari lako kwenda vizuri.
Nini maana ya RPM(Revolutions per minute):
is a unit of rotational speed or rotational frequency for rotating machines.
Wajuzi wa magari na mafundi nataka mtueleze
View attachment 2521539