Uwezo wa Jenista Mhagama unatia mashaka

Uwezo wa Jenista Mhagama unatia mashaka

Mzalendo120

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
2,410
Kuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.

Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.

Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.

Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?

Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
 
Uzuri MaSamia anafuatilia humu kwa ukaribu wake, na alishampiga mkwara kwa ofisi yake ya utumishi wa umma kuchelewesha mchakato.

Atapigwa chini kama Ndaki na team yake yote kwa kushindwa kazi.
Nifundi sana wakupiga kiswahili. Anakua na tabia yakujifanya mnyenyekevu lakini wizara hiyo imeshinda.
Waliowengi wanatamani Mchengerwa arudi
 
Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.

Labda kama nakosea Kusoma..... Hapo Umeandika Wakasimamie Upandishwaji Madaraja watumishi na sio Uongezwaji Mishahara watumishi. Ni Vitu Viwili tofauti hapo, Bajeti ya Kupanda Daraja watumishi huwa Ipo na Ni bajeti ya Mwaka Husika wa Fedha, Ambapo watumishi wenye sifa Stahiki wa Kada Mbalimbali hupandishwa madaraja kutegemea na Ikama.

Uongezwaji wa Mishahara sasa Hii tumezoea kusubiria Mei Mosi jusikia tamko Rasmi kwamba ndugu zetu watumishi wanaongezewa mshahara kwa asilimia ngapi ambayo hii Ipo Kikatiba na Inapaswa kufanyika kila tarehe 1 Julai yaani Mwaka Mpya wa Fedha Wa Serikali unapoanza.

Nakubali kurekebishwa nilipokosea.[/QUOTE]
 
Kuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.

Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.

Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.

Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?

Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Mkuu wa Wilaya ana uwezo gani wa kusimamia hay mambo anayo waagiza? Au anajisahau na kudhani labda anaongea na Wakurugenzi?
Hao uwezo wao ni kufuatilia kuona kama mambo yanafanyika onsite
 
Huyu Jenista ni Mwanasiasa na wala sio mtendaji sijui hata watu wa jimbo lake wanamchuaje mtu kama huyu. Alitoa maagizo ya kushughulikia wale waliogoma kuwa wakui wa Wilaya nikajisemea huyu JM ni tatizo.
Ni mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,

Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.
 
Kuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.

Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.

Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.

Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?

Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Lugha za kisiasa tu hizo mkuu. Ukizielewa haziwezi kukuumiza. Wewe unadhani anazungumza asichokielewa?
 
Kuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.

Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.

Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.

Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?

Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Si anajua kuwa watumishi ni team kondoo?
 
Back
Top Bottom