scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Ni hatariMsumbiji useme dear. Malawi mbna cha mtoto.
Kitu msumbiji hapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatariMsumbiji useme dear. Malawi mbna cha mtoto.
Kitu msumbiji hapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiwooooooh dear.Nyumbii
Bombiiii
Kwa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si anawajua wenzie kwa ulozi. UwiiiiDuh kumbe ndio maana Mwigulu amewaambia wajadili uganga mambo ya fedha waachane nayo
Mama akeAlitoa kafara ya kumuua Mme wake ndo maana anaendelea kuaminiwa kichawi
Na ndo yeye alikutana na gwiji mwenzie Joseph, alivyo mchokonoa Jose akarudisha pigo, jenista alianguka chooni kwake.Nasikia huyu mama ni mloz ile mbaya.Kila anayejitokeza jimboni kwake ,analiwa kichwa.Ni Mwalimu wa shule ya msingi tu .Hana chochote cha zaidi.
Wasomi wapo sana, kila wakijitokeza yeye anawapiga kipapai.Mlongo wenu akipita huu uzi anaweza Zimia.
Ila siyo mbaya, 2015 Coca ukagombee aisee
Huko Songea hamnaga watu wengine wasomi?,, [emoji1787]
MnoooNi hatari
Kama ni kweli basi mganga wake fundi🙌Wasomi wapo sana, kila wakijitokeza yeye anawapiga kipapai.
Joseph alimshindwa ndo wakagawana jimbo, Joseph akachukua upande wa madaba.
Hapo sahivi rumors zinasema mama majaliwa 2025 naye anagombea, jenister kwa hofu anataka wagawane jimbo, yeye achukue upande wa tarafa ya muhukuru, mama majaliwa achukue upande wa Peramiho.
Kazi ipoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hee😳Mama ake
Kaká ake
Wote hawa kawa zamisha ardhini.
Ila watanzania🙌🤣🤣🤣Anachokiweza Jenista ni kuvaa vilemba na kuweka kitenge begani, sijui kwanini asikishonelezee hapo begani kiwe cha kudumu maana anatumia muda mwingi kukiweka sawa kuliko muda wa kazi, na creativity ni 0