Uwezo wa Jenista Mhagama unatia mashaka

Uwezo wa Jenista Mhagama unatia mashaka

Hakika huyu mama,kichwani hayupo poa,kipindi kile ,BUNGE bado linaakili,Lissu na SUGU(Mbilinyi),walishawahi mtikisa kwa hoja nzito juu ya kuanzishwa na kuboreshwa kwa MFUKO wa VIJANA,(uliokuwa chini ya Wizara yake,ya Kazi ,Ajira na Vijana) kwa kupitishwa sheria yake mahsusi,sasa namna alivyokuwa anajibu hizo hoja za akina Lissu,AIBU nilikuwa naona mimi!

Nadhani KATIBA MPYA ILIYO BORA inaweza kuja kuziba mianya ya watu dhaifu kama huyu bi mdada kupenya,kwa kuimarisha vetting system na mwisho kuthibitishwa na BUNGE.
 
Ni mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,

Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.
Wakunyuba mwenzangu pole kule kwetu ruvuma sijui Kuna shida gani mimi kwangu namtumbo tulikuwa na yule mtoto wa kawawa yan shida tupu kazi kupiga pesa maendeleo wala hakuna
 
Huyo katika mawaziri mafundi wa kwenda na upepo ndio huyoo au ukishindwa muite bendera fata upepo.Bingwa la kufuata upepo hilo li madam.Bure kabisa.
 
Niliwahi kusikia....au basi, simu ya mwanasheria wangu haipatikani.
 
Anasura ya kich......awi hivi, ndiye aliye waunguza watumishi wa Umma kwa kikokotoo cha wastaafu cha 25% ya kiinua mgongo wakati wa The late Dr Magufuli. Ch......awi sana hili na mawigi yake kama manyoya ya mbuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakunyuba mwenzangu pole kule kwetu ruvuma sijui Kuna shida gani mimi kwangu namtumbo tulikuwa na yule mtoto wa kawawa yan shida tupu kazi kupiga pesa maendeleo wala hakuna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sisi Ruvuma viongozi wanajua kupiga pesa tyuuh. Sio kutumikia wananchi, ila mda wa uchaguzi sasa wanavyohonga wananchi kwa tisheti, khanga na kofia. Uwiiiiih
 
Huyo katika mawaziri mafundi wa kwenda na upepo ndio huyoo au ukishindwa muite bendera fata upepo.Bingwa la kufuata upepo hilo li madam.Bure kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀😀Nishai hilo libibi Magufuli alivyokuwa mkali na lenyewe likawa likali .Samia kaja na upole limeshabadili rangi lifatilie linajifanya poleee kumbe tapeli la madaraka.
 
Ni mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,

Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.
Tyuu
 
Msumbiji useme dear. Malawi mbna cha mtoto.
Kitu msumbiji hapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akiwa kanisani pale Matogoro Songea siti yake ni ya mbele kabisa na kabla ya misa kuisha lazima apite mbele anapiga blaa blaa zake, so akitoka hapo anaenda kilingeni kujiimarisha[emoji3][emoji3] maana wangoni ni mafundi siyo mchezo
 
Back
Top Bottom