Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Sijawahi kuona akitumia akili... Ni aina ya watu wenye bahat yakupata cheo ila akili ndogo sana... But anyways muache ale maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wanasiasa wa tzKuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.
Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.
Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.
Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?
Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Kama hivyo itaku angalau maana haelewekiHuyo huwa anaongeatu lakini hamaanishi.
Anatengeneza tatizo halafu anawaambia wengine wakalitatue
Watu wana watu wao kwakweli,nizaidi ya MpiliHuyo maza kupigwa kwake chini ni kuamishwa wizara.
Mungu anakuona popote ulipoMimi nampenda Ana sauti nyembamba halafu tamu
Sahihi mkuu. Hebu fikiria waziri kama huyo unategemea nini wizaraniMkuu wa Wilaya ana uwezo gani wa kusimamia hay mambo anayo waagiza? Au anajisahau na kudhani labda anaongea na Wakurugenzi?
Hao uwezo wao ni kufuatilia kuona kama mambo yanafanyika onsite
Ndio maana rushwa nchi hii haitakoma bali inazidi kukomaa.Ni mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,
Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.
Yaani wewe ndiye zuzu kabisa kama hufahamu hilo. Sasa huko wilayani akaulizwe nani, mwenyekiti wa kitongojiKuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.
Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.
Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.
Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?
Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Kichwa cheupe mtu mweusiYaani wewe ndiye zuzu kabisa kama hufahamu hilo. Sasa huko wilayani akaulizwe nani, mwenyekiti wa kitongoji
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Halafu eti mkuu wa wilaya akafuatilie upandaji wa madaraja na malimbikizo.Huyo waziri ni chenga tu mama yetu aangalie hili kiundani mdogo wangu yupo chini ya wizara yake madudu ni mengi madaraja hakuna miaka 6 sasa hakuna daraja ni msoto tu bora liende
Huyo huwa anaongeatu lakini hamaanishi.
Anatengeneza tatizo halafu anawaambia wengine wakalitatue
Anabebwa na Gendar tu
Mkuu ndumba nitazipataje Ili niwe mbunge wa kupitia bila kupingwa?Kinachomsaidia uyo ni ndumba yupo vizuri sana