Uwezo wa Jenista Mhagama unatia mashaka

Uwezo wa Jenista Mhagama unatia mashaka

Sijawahi kuona akitumia akili... Ni aina ya watu wenye bahat yakupata cheo ila akili ndogo sana... But anyways muache ale maisha
 
Anasura ya kich......awi hivi, ndiye aliye waunguza watumishi wa Umma kwa kikokotoo cha wastaafu cha 25% ya kiinua mgongo wakati wa The late Dr Magufuli. Ch......awi sana hili na mawigi yake kama manyoya ya mbuzi.
 
Kuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.

Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.

Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.

Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?

Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Ndio wanasiasa wa tz
 
Mkuu wa Wilaya ana uwezo gani wa kusimamia hay mambo anayo waagiza? Au anajisahau na kudhani labda anaongea na Wakurugenzi?
Hao uwezo wao ni kufuatilia kuona kama mambo yanafanyika onsite
Sahihi mkuu. Hebu fikiria waziri kama huyo unategemea nini wizarani
 
Ni mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,

Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.
Ndio maana rushwa nchi hii haitakoma bali inazidi kukomaa.
Mtendaji mkuu wa kusimamia TAKUKURU nae anatoa rushwa kumbe,kazi ipo
 
Yule mama honestly sijawahi kumuelewa..amekaa mkuda mkuda hivi dizaini.
 
Kuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.

Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.

Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.

Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?

Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Yaani wewe ndiye zuzu kabisa kama hufahamu hilo. Sasa huko wilayani akaulizwe nani, mwenyekiti wa kitongoji

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Huyo waziri ni chenga tu mama yetu aangalie hili kiundani mdogo wangu yupo chini ya wizara yake madudu ni mengi madaraja hakuna miaka 6 sasa hakuna daraja ni msoto tu bora liende
 
Huyo waziri ni chenga tu mama yetu aangalie hili kiundani mdogo wangu yupo chini ya wizara yake madudu ni mengi madaraja hakuna miaka 6 sasa hakuna daraja ni msoto tu bora liende
Halafu eti mkuu wa wilaya akafuatilie upandaji wa madaraja na malimbikizo.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom