ntabyoye
Member
- Jul 2, 2015
- 45
- 14
Wakati fulani nilikuwa mkuu wa msafara wa kumsinfikiza mrehemu tulipata hitilafu kibao. Fikiria umbali wa km 90 mnasafiri kwa masaa 12. Mpaka dereva alivyoongea na mrehemu akimuuliza kwamba hutaki tukupeleke kweni? Ndiyo safari yetu ikawa nyepesi. Kwa hiyo hayo mambo yapo.