Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani

Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa tumboni kuzaliwa hadi kufa umetafitiwa na kunyumbulishwa kwa mapana yake na wengi wamepata elimu ya juu kabisa PhD kwenye hili eneo, lakini wakashishindwa kitu kimoja tuu!!! Uwezo wa kumuita marehemu na kuongea naye

Zamani kabla ya dini za kigeni hazijaja Africa tulikuwa kwa kiasi fulani tuna uwezo wa kuwaita marehemu kwa njia ya matambiko na kuwaomba hili au lile, lakini ikumbukwe kwamba hawakuja live bali dalili na ishara kadha zilionyesha uwepo wao na kukubali au kukataa ombi husika

Tumekuwa tunaondokewa na wapendwa wetu na watu tunaowahitaji mno katika maisha yetu, tumekuwa na vipindi vigumu kabisa ambapo tunawahamu na kuwahitaji japo wajitokeze kwa dakika chache tu lakini haikuwezekana kabisa

Mfu ni mfu na hatuna uwezo wowote iwe wa kimwili au wa kiroho kuweza kumuita na kuongea naye lolote, hii ni kwakuwa roho inapotengana na mwili hakuna tena huyo MTU bali kunatokea vitu vitatu visivyoweza kuungana tena na kutengeneza kitu kimoja. vitu hivyo ni roho mwili na nafsi, vitatu hivi ndio vinatengeneza MTU nje ya hapo kuna 'mwili wake', 'roho yake' au 'nafsi yake'

Watu wamejaribu kutoa shuhuda nyingi za kutokewa na marehemu, hili linawezekana kwasababu baada ya kifo kuna roho huwa zinawayawaya duniani, zipo tu na hizi ndizo ambazo hugeuka mizimu mizuri au mibaya

Wakati mmoja tu marehemu anaweza kusikia sauti ya mwanadamu na kuitii ni pale tu anapoandaliwa kwa safari yake ya mwisho kaburini, hasa kwenye ishu ya kumsafirisha au kumvalisha nguo

Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza

Tuna wajuaji wengi Siku hizi wanaojifanya wametokewa na marehemu fulani na kumpa maagizo Fulani hizi kwa asilimia 90 ni story tu kwakuwa hatujakuwa na uwezo wa kuwaita au wao kututokea tu na uchafu wote huu tulionao

Sikia [HASHTAG]#Mshana[/HASHTAG] jr kuna technology wafanyakazi wa space x waliitafiti kuwa roho inavyotoka inawaje walifanya utafiti wa kufunga software fulan ambayo mtu akitoa roho inatoka na ile app so iyo app itakuwa inarudisha feedback nn kinaendelea huko roho ilipo sijuu matokeo yake yaliishia wapi
 
Sikia [HASHTAG]#Mshana[/HASHTAG] jr kuna technology wafanyakazi wa space x waliitafiti kuwa roho inavyotoka inawaje walifanya utafiti wa kufunga software fulan ambayo mtu akitoa roho inatoka na ile app so iyo app itakuwa inarudisha feedback nn kinaendelea huko roho ilipo sijuu matokeo yake yaliishia wapi
Yalishindikana
 
Hakuna ufundi mkubwa zaidi ya kumsogelea na kumwambia taratibu kile unachotaka kumwambia
Kumbuka hatakujibu wala kugeuka au kushtuka lakini akikubaliana na ombi lako utagundua tu tofauti
Kwa mfano kama mikono ilikuwa inakakamaa kwenye kumvalisha mikono hiyo hiyo hulainika


Angali vizuri bwan mshana watu watakuogopa kwa Uzi huu maana adimu kupatika
 
zaburi 146:4 Roho yake hutoka, naye hurudi ardhini; Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.

Muhubiri 9:5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe, wala hawana thawabu tena, kwa sababu kumbukumbu lote kuwahusu limesahauliwa

huo ndio ukuweli wafu hawajui lolote na hawezi kuongea nasi... Wanaongea na wafu huwa wanadanganywa na roho waovu ambao huugiza sauti zao ndio maana pia tunapewa shauri hii
Kumbukumbu 18:10 Asipatikane miongoni mwenu mtu yeyote anayemteketeza motoni mwanawe au binti yake, mtu yeyote anayefanya uaguzi, mtu yeyote anayefanya uchawi, mtu yeyote anayetafuta ishara za ubashiri, mlozi, 11 mtu yeyote anayewafunga wenzake kwa uchawi, mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho, mpiga ramli, au mtu yeyote anayetafuta habari kuhusu wafu


Hii siiamini sana kama wafu hawajui chochote kuna mifano nimeona watu wakitokea watu Kwa ndoto na wakionyesha matukio recent tu, hapo ni kitendawili, mi nilienda masomoni ulaya nikakaa miaka huko wakt narudi niliwanunulia ndugu na marafiki Zawadi lakini nikasahau watoto wamerehemu Shangazi kabisa sikuwakumbuka na huyo Shangazi alifariki nikiwa bado primary school cha ajabu kesho yake ndio narudii bongo nilimuota akiniambia mbona umesahau watoto wangu? Nilikurupuka nikajiuliza maswali mengi sana, rafiki yangu aliniambia before upande ndege kawanunulie Zawadi LA sivyo utapoteza mizigo yote. Nikaenda kununua Zawadi kwa hao atoto since that time sijamuota tena.
Kingine ni wifi yangu huko alipoolewa Dada wa Mme wake alifariki wkt anajifungua. Mama mzazi wa marehemu akachukua mjukuu but after six years marehemu alimtokea WiFi yangu kwa ndoto akamwambia nenda kachukue mwanangu umlee ni wewe ndio naamini utamtunza na kumsomesha vizuri. Ilichukua muda watu kumuamini wifi yangu but hatimaye walimpa mtoto. Na kweli alimlea vizuri na sasa msichana kashamaliza chuo na kuolewa. Na WiFi hakuwahi muota tena. Sasa je hao wafu wanajuaje?? Nikimuangalia wifi yangu kweli ni MTU kwenye roho nzuri sana unaweza mwachia mtoto wako.
 
zaburi 146:4 Roho yake hutoka, naye hurudi ardhini; Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.

Muhubiri 9:5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe, wala hawana thawabu tena, kwa sababu kumbukumbu lote kuwahusu limesahauliwa

huo ndio ukuweli wafu hawajui lolote na hawezi kuongea nasi... Wanaongea na wafu huwa wanadanganywa na roho waovu ambao huugiza sauti zao ndio maana pia tunapewa shauri hii
Kumbukumbu 18:10 Asipatikane miongoni mwenu mtu yeyote anayemteketeza motoni mwanawe au binti yake, mtu yeyote anayefanya uaguzi, mtu yeyote anayefanya uchawi, mtu yeyote anayetafuta ishara za ubashiri, mlozi, 11 mtu yeyote anayewafunga wenzake kwa uchawi, mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho, mpiga ramli, au mtu yeyote anayetafuta habari kuhusu wafu
Unajua kuna vitabu vimeandikwa wakati wa Giza kabla Yesu Kristo hajaleta tumaini kimoja wapo ni Muhubiri .
Kimeandikwa kwa hekima sana ila na watu ambao hawakujua maisha baada ya kifo nini kinatokea
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Unajua kuna vitabu vimeandikwa wakati wa Giza kabla Yesu Kristo hajaleta tumaini kimoja wapo ni Muhubiri .
Kimeandikwa kwa hekima sana ila na watu ambao hawakujua maisha baada ya kifo nini kinatokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Our home for bold arguments and big thinkers.

Illustration file picture shows a man typing on a computer keyboard in Warsaw
REUTERS/KACPER PEMPEL
What frees us could also be our undoing.
BEYOND THE GRAVE
New technology is forcing us to confront the ethics of bringing people back from the dead
By Adrienne MateiJanuary 27, 2017
Imagine you have a close friend you frequently communicate with via text. One day, they suddenly die. You reel, you cry, you attend their funeral. Then you decide to pick up your phone and send them a message, just like old times.

“I miss you,” you type. A little response bubble appears at the bottom of the screen. “I miss you too,” comes the reply. You keep texting back and forth. It’s just like they never left.


The possibility of digitally interacting with someone from beyond the grave is no longer the stuff of science fiction. The technology to create convincing digital surrogates of the dead is here, and it’s rapidly evolving, with researchers predicting its mainstream viability within a decade. But what about the ethics of bereavement—and the privacy of the deceased? Speaking with a loved one evokes a powerful emotional response. The ability to do so in the wake of their death will inevitably affect the human process of grieving in ways we’re only beginning to explore.

In the past year, neuroscientists and philosophers have been speculating about the potential of, let’s say, building a digital duplicate of your grandmother. This copy could exist in a kind of virtual Elysium, able to Skype in to Thanksgiving dinners long after her death. But Hossein Rahnama of Ryerson University and the MIT Media Lab is working on something more immediately realizable than mental duplicates: chatbots crafted from personal data.

“Fifty or 60 years from now, [millennials] will have reached a point in their lives where they each will have collected zettabytes [1 trillion gigabytes] of data, which is just what is needed to create a digital version of yourself,” Rahnama says.

Donning it “augmented eternity,” Rahnama’s AI program builds upon the digital archive a person has left behind: emails, texts, tweets, and even snapchats. He feeds these into artificial neural networks, which are like model brains that understand language patterns and process new information. Thanks to the neural network’s ability to “think” for itself, the person’s “digital being continues to evolve after the physical being has passed on.” In this way, an augmented-eternity bot would keep aware of current events, develop new opinions, and become an entity that is based on a real person rather than a facsimile of who they were at their time of death.

Chatting with ghosts
Rahnama’s augmented-eternity programs are still in development, but another researcher had developed a slightly different kind of working prototype. Eugenia Kuyda, co-founder of Russian AI start-up Luka, launched a program on their app last year that allows the public to engage with Roman Mazurenko, Kuyda’s best friend, who was killed in car accident in 2015. Kuyda’s aim was to use digital-afterlife technology to create a memorial in the form of a chatbot available to anyone interested in talking to Roman. But she had her reservations.

“I was worried: Would I get the tone right, would we be able to do something that will help remember a person, and won’t be in any way offensive to anyone that knew and loved Roman?” she says. “I was afraid to get it wrong, to make it not a beautiful memory for a friend but something creepy and strange.”

In life, Roman had an interest in technology’s ability to “disrupt death”. He was fascinated by the bizarre consequences of being “outlived” by the vast archive of digital information we create in this mortal coil. Kuyda therefore thought Roman was the perfect candidate for this experimental memorial, and went about creating the bot. Once complete, she was amazed and delighted to experience her friend’s wit once again. Romanbot expressed Roman’s insecurities, his poetic perspective, and his self-deprecating sense of humor. The bot was so convincing it even earned a seal of approval from Roman’s mother.

But while chatbots are good at imitating their progenitors’ patterns of speech, they’re not satisfying substitutes for real people. “It’s more like a shadow of a person,” Kuyda says. “At this point, it’s similar to us talking to god, or imagining we’re talking to someone we’ve lost, or even talking to a therapist.“

Fans of the sci-fi show Black Mirror may recognize a similar situation as the premise of a 2013 episode titled “Be Right Back.” In this story, a widow uses a service to collect her dead partner’s digital footprint (texts, emails, photos, audio recordings) to reconstitute him first into a chatbot able to exchange text messages with her, and then ultimately into a realistic android. The narrative suggests that attempts to preserve our loved ones in a digital afterlife will result in painful repercussions. It also raises the question of whether a service able to turn a dead person into a chatbot would be venturing into an ethical gray area, interfering with our ability to process the reality of death.

Grieving the digital dead
Andrea Warnick is a Toronto-based grief counselor and thanatologist who studies the scientific, psychological, and social aspects of death. She sees a potential therapeutic application for digital-afterlife technology—not necessarily in its ability to allow us to chat with lost loved ones, but by facilitating conversations about the dead within their network of bereaved friends and family.

“In modern society, many people are hesitant to talk about someone who has died for fear of upsetting those who are grieving—so perhaps the importance of continuing to share stories and advice from someone who has died is something that we humans can learn from chatbots,” she says.

Warnick says the common advice is people should “move on” after a death. But she feels Western society could benefit from a reminder that just because someone is dead doesn’t mean they’re gone. “However, given our society’s general discomfort with death and grief, I have concerns that they have the potential to be misused as well, possibly leading to situations in which people are further alienated in their grieving process,” Warnick adds.

The hope is that chatbots don’t undermine the importance of human connection and support for those who are grieving; that the vivid and often uncomfortable emotional labor of caring for the bereaved is not wholly outsourced to bots. After all, death may soon be the most apparent thing differentiating humans from advancing AI, and distancing ourselves from its stark reality doesn’t seem like a prescient way to improve our relationship with the meaning of life.

Privacy is also an issue relevant to digital afterlife programs. While Kuyda had faith that Mazurenko would give her Romanbot project his blessing, she also crafted it with far less than a zettabyte of data. This is the amount that Rahmana sees as being crucial for an all-knowing bot to be capable of being all-revealing, too. “We have to consider an individual’s privacy when it comes to passing on virtual profiles,” Rahmana says. “You should be able to own your data and only pass it along to people you trust, so allowing people to engage with their own ancestors would be likely.”

Talking it out
Even as digital afterlife technology advances to offer increasingly accurate simulacrums of our dead, their most significant quality may not be simulating what someone we love might say, but rather their ability to give the illusion of them listening to us instead. “It’s not about what we hear, it’s about what we say,” Kuyda says.

In this way, chatbots can provide the bereaved with a space to express thoughts and feelings about their loved ones both in private and within their communities. In time, this could help normalize conversations about death and the intensity of sorrow.

Talking to someone from beyond the grave may sound creepy. But it may offer some measure of comfort to your loved ones. It’s like the high-tech equivalent of putting together a scrapbook, or writing letters for your kids to open when you pass. Plus, it’s less frightening to think of death when you know you won’t vanish wholly into the void—but remain, in a sense, in the hearts and text conversations of the people you loved the most.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
9-2-750x500.jpeg
235989_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
100% sure,upo sahii kaka
Iko hivi sikuwa anakataa live bali wakati wa kumvisha kama ni koti shati au hata suruali kuna kiungo kimoja hukakamaa kwa mfano kama ni mkono haunyanyuki au haukunjiki, kama ni mguu unajipinda au unakuwa mzito kunyanyua
Hivi vitu vinafanyika kwa namna ya ajabu na ya kipekee kabisa

Vilevile kuna kukosea vifungo au zipu kujichanganya! Yani mnaanza kufunga kifungo cha kwanza vizuri kabisa mkifika mwisho aidha vimepishana au mmeruka matundu, tulishawahi kukosea vifungo Mara SABA
Ni mpaka nilipotumia elimu niliyojifunza kuongea na marehemu kwa upole na kwa kumbembeleza ndio mambo yakawa sawa, na pia ndani ya chumba husika kama yupo mtu alikuwa na ugomvi na marehemu hakuna kitakachokwenda sawa hapo mpaka yule mtu atoke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani

Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa tumboni kuzaliwa hadi kufa umetafitiwa na kunyumbulishwa kwa mapana yake na wengi wamepata elimu ya juu kabisa PhD kwenye hili eneo, lakini wakashishindwa kitu kimoja tuu!!! Uwezo wa kumuita marehemu na kuongea naye

Zamani kabla ya dini za kigeni hazijaja Africa tulikuwa kwa kiasi fulani tuna uwezo wa kuwaita marehemu kwa njia ya matambiko na kuwaomba hili au lile, lakini ikumbukwe kwamba hawakuja live bali dalili na ishara kadha zilionyesha uwepo wao na kukubali au kukataa ombi husika

Tumekuwa tunaondokewa na wapendwa wetu na watu tunaowahitaji mno katika maisha yetu, tumekuwa na vipindi vigumu kabisa ambapo tunawahamu na kuwahitaji japo wajitokeze kwa dakika chache tu lakini haikuwezekana kabisa

Mfu ni mfu na hatuna uwezo wowote iwe wa kimwili au wa kiroho kuweza kumuita na kuongea naye lolote, hii ni kwakuwa roho inapotengana na mwili hakuna tena huyo MTU bali kunatokea vitu vitatu visivyoweza kuungana tena na kutengeneza kitu kimoja. vitu hivyo ni roho mwili na nafsi, vitatu hivi ndio vinatengeneza MTU nje ya hapo kuna 'mwili wake', 'roho yake' au 'nafsi yake'

Watu wamejaribu kutoa shuhuda nyingi za kutokewa na marehemu, hili linawezekana kwasababu baada ya kifo kuna roho huwa zinawayawaya duniani, zipo tu na hizi ndizo ambazo hugeuka mizimu mizuri au mibaya

Wakati mmoja tu marehemu anaweza kusikia sauti ya mwanadamu na kuitii ni pale tu anapoandaliwa kwa safari yake ya mwisho kaburini, hasa kwenye ishu ya kumsafirisha au kumvalisha nguo

Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza

Tuna wajuaji wengi Siku hizi wanaojifanya wametokewa na marehemu fulani na kumpa maagizo Fulani hizi kwa asilimia 90 ni story tu kwakuwa hatujakuwa na uwezo wa kuwaita au wao kututokea tu na uchafu wote huu tulionao
KWA WANAOTAKA KUMUITA MAREHEMU NA KUZUNGUMZANAE WATUMIE NJIA HII HAPA MASHARTI MUWE WATU 3 NA MUWASHE UDI WA KIJITI NA TAA MUTUMIE MISHUMAA MEUPE 3 TA YA KAWAIDA MUIZIME NA KUMUITA MAREHEMU KWA NJIA HIZI HAPA CHINI ANGALIA VIDEO HAPA CHINI.

HOW TO TALK TO THE DEAD!
Do you long to talk to a loved one who has passed away, or learn more about an ancient ancestor? Perhaps you're hoping to reason with a spirit who seems to be haunting your home. People have been talking to the dead for thousands of years using a variety of different methods. Read on to learn how to communicate with unseen spirits on your own or with the help of an outside source.



Part1
Speaking Directly to the Dead

  1. Image titled Talk to the Dead Step 3
    1
    Shift your focus to sharpen your sixth sense.[1]If simply focusing on the image of your dead loved one is not enough form of connection, you could try a more structured method of shifting your focus to a higher realm.
    • Make yourself consciously aware of what it feels like to be yourself in the present moment. Note your location, the time, and your feelings. Otherwise, it may make it difficult to return to your sense afterward.
    • Gradually bring your senses into "soft focus," or a state of being in which you are less aware of the physical details around you.
    • Once your physical awareness goes down, focus on the energy surrounding you in the room. Do not look for it, but merely make yourself open to forces present in the room other than yourself. If you feel any presences, try asking questions. Be aware that any answers you do receive may not come as words, but as images or emotions.

  2. Image titled Talk to the Dead Step 2
    2
    Attempt to talk through the power of your mind.[2]Some paranormal experts believe that the ability to talk to the dead is not limited to professional mediums, but that the capability lies within anyone who can heighten his or her spiritual awareness. It may take time and practice before you can connect to a dead loved one, but it is possible according to this theory.
    • Quiet yourself and clear your mind as though you are preparing to meditate. Sit in a location that is silent and free from distraction. Close your eyes and empty your mind of anxiety and thought.
      Image titled Talk to the Dead Step 2Bullet1
    • Fix an image of your deceased loved one in your mind after you have cleared your mind of any other thoughts. Choose an image that is representative of that loved one according to the relationship you had with him or her. The more significant the image is to you, the easier it will be to establish a connection.
      Image titled Talk to the Dead Step 2Bullet2
    • Ask your deceased loved one a question after you have held that person's image in your mind for several seconds. Keep your mind focused on that image and wait. Do not answer how you believe that person would answer. Instead, be patient until you receive a reply that you can be certain did not come from your own mind.
      Image titled Talk to the Dead Step 2Bullet3

  3. 3
    Ask for a response to simple questions.This technique is not as useful for contacting dead loved ones, but it is a common practice used by paranormal investigators who are attempting to talk with spirits at a location that is haunted or potentially haunted. Go to a room in which the most paranormal activity takes place. Ask basic yes-or-no questions, and request a specific method of answering. The most common two methods of reply are knocking and flashlights.
    • For knocking, instruct any spirits in the room to give one knock for yes or two for no.
      Image titled Talk to the Dead Step 4Bullet1
    • If using a flashlight, go with a flashlight that can be turned on easily, like one with a button on the end. Turn it on and unscrew the front section until the flashlight just barely goes off. Set it down on a flat surface and position it so that it cannot roll away on its own. Gently push on the power button and make sure that the light can flicker on and off. Instruct any spirits in the room to tap on the button once for yes or twice for no.
      Image titled Talk to the Dead Step 4Bullet2

Part2
Enlisting Outside Help

  1. Image titled Talk to the Dead Step 1
    1
    Work with a medium.Mediums are well versed in connecting with spirits of the dead. You can usually contact a medium by searching for one online or in a phone book. If you want to speak to a dead loved one, the medium may ask to meet at your home or may have you come to his or her place of work.
    • If you want a medium to speak to a spirit you believe to be in your home, the medium will need to come to your home. Not every medium will perform the latter service, but most will provide the former.
    • Be wary about the medium you choose to go to. Even those who are not skeptical about the practice of speaking to the dead will usually be willing to acknowledge that not every medium is legitimate. As with anything else, there are scam artists out there. Research a medium before scheduling an appointment with him or her and try to verify that he or she is the real deal. When you meet for your appointment, take note of whether or not the medium is leading you on with questions and having you provide the answers they claim to be offering.

  2. 2
    Look into EVP and EMP technologies.[3]An EVP, or Electronic Voice Phenomena, occurs when a voice that is not audible to the naked human ear gets recorded on a digital recording. A EMP, or Electromagnetic Pulse, can only be registered using an EMP meter. To attempt either option, you should go to a room that is known to have high spiritual energy and ask questions there.
    • When looking for EVP, you can ask just about any question. This is the practice most commonly used when trying to find out a spirit's name or other unknown details. Ask your questions, providing a lengthy pause in between each so that any spirits there have time to answer. Replay the recording and listen carefully for any murmurs or unusual sounds that could translate into answers.
      Image titled Talk to the Dead Step 5Bullet1
    • An EMP is usually limited to yes-or-no questions. The most commonly used EMP meter is a light-up device, which lights up when electromagnetic energy gets high. Ask your questions and instruct any spirits in the room that lighting up the meter once equals a yes, while lighting it up twice equals a no.
      Image titled Talk to the Dead Step 5Bullet2

  3. Image titled Talk to the Dead Step 6
    3
    Conduct a séance.A séance is a gathering of people who communicate with the dead using their collective energy. To perform one, you will need at least three people who are open to the experience. This practice can be used to talk to dead loved ones or wandering spirits. Be warned, however, that you do run a notable risk of contacting a malicious spirit.
    • Set the mood by dimming the lights and lighting candles. Use three candles, or a number of candles divisible by three. You may even light incense.
      Image titled Talk to the Dead Step 6Bullet1
    • Have the participants hold candles around a table to create a circle. Perform a chant to call out to the spirits.
      Image titled Talk to the Dead Step 6Bullet2
    • Alternatively, you may also attempt to call the spirits using a Ouija board.
      Image titled Talk to the Dead Step 6Bullet3
    • Wait for a response, repeating your chant as necessary.
      Image titled Talk to the Dead Step 6Bullet4
    • Once you make a connection, calmly ask your questions.
      Image titled Talk to the Dead Step 6Bullet5
    • Break the séance by breaking the circle and putting the candles out.

Part3
Using Prayer and Other Practices

  1. Image titled Talk to the Dead Step 9
    1
    Say prayers.Not every faith has a practice you can use for praying to or for the dead, but some do. These prayers are often intercessory in nature and take two forms.
    • In the first, you are praying for the deceased loved one to find rest and joy in the afterlife, rather than to them specifically, but it might be with the knowledge that your dead loved one is listening or aware of your prayers.
    • In the second, you are praying to the deceased loved one. You are not asking for salvation from the spirit, but you are asking your loved one to intercede or pray for you from the other side. Some believe that, as a part of the spiritual realm, the spirit of someone who had strong faith in life will be able to make a more ardent plea or prayer for you to a deity from the other side.

  2. Image titled Talk to the Dead Step 7
    2
    Look into mirror gazing.Mirror gazing is a practice some use in an effort to talk to dead loved ones. It is similar to trying to connect to the spirit using your mind, but in this practice, you use a mirror to help establish the connection more clearly.
    • Quiet your thoughts. Go to a silent room where you can be alone and stand in front of a mirror. Close your eyes and rid yourself of anxiety, intense emotion, or unrelated thought.
    • Focus your thoughts on the person you want to speak with. Create an image of that person in your mind. Make the image as clear as possible until you can practically see their features.
    • Open your eyes slowly and look into the mirror. Imagine that the image in your mind will appear in the mirror. Even if the image is blurry or overlaps with your own, you should be able to see the image of your deceased loved one in the mirror.
    • Ask your questions. Do not force answers, but be open to them. Also be aware of the fact that the answers may come as emotions or images rather than words.

  3. 3
    Communicate with the deceased through a possession. Some have found that objects owned by a deceased person are still connected to that person's spirit. Possessions can give you the power to call that person's spirit to you and make it possible to communicate. If you wish to talk with a loved one who has passed away, seek out an item of clothing, a book, or some other personal object that the person used. Take it to the place where the person lived or stayed. Hold the object and initiate a conversation.

  4. Image titled Talk to the Dead Step 8
    4
    Talk without asking for a reply. If you are hesitant or skeptical about talking to dead loved ones using paranormal or supernatural means, you can always talk to the dead without asking for an answer in return.[4] For those who believe in the existence of spirits, it is also a common belief that those spirits may watch over living loved ones. You can talk to a deceased loved one anywhere, or you could choose a location that has special meaning, such as a grave or a place where you shared a memorable experience. Tell the person whatever is on your mind. You can ask questions, but since you are not looking for answers, you do not necessarily need to limit yourself to questions. How to Talk to the Dead
ANGALIA VIDEO HIYO HAPO CHINI ITAKUFUNDISHA NJIA NYEPESI YA KUZUNGUMZA NA MTU ALIYEKUFA ZAMANI NA KUMUULIZA MASWALI UNAYO YATAKA NA ATAKUJIBU.
SCARIEST OUIJA BOARD EVER!! (CONTACTED AN EVIL SPIRIT) | FaZe Rug

 
Iko hivi sikuwa anakataa live bali wakati wa kumvisha kama ni koti shati au hata suruali kuna kiungo kimoja hukakamaa kwa mfano kama ni mkono haunyanyuki au haukunjiki, kama ni mguu unajipinda au unakuwa mzito kunyanyua
Hivi vitu vinafanyika kwa namna ya ajabu na ya kipekee kabisa

Vilevile kuna kukosea vifungo au zipu kujichanganya! Yani mnaanza kufunga kifungo cha kwanza vizuri kabisa mkifika mwisho aidha vimepishana au mmeruka matundu, tulishawahi kukosea vifungo Mara SABA
Ni mpaka nilipotumia elimu niliyojifunza kuongea na marehemu kwa upole na kwa kumbembeleza ndio mambo yakawa sawa, na pia ndani ya chumba husika kama yupo mtu alikuwa na ugomvi na marehemu hakuna kitakachokwenda sawa hapo mpaka yule mtu atoke
Jamaa muongo sana wewe, Mimi najua maiti zinavyovalishwa wala hakuna kibembelezana wala kugomeana
Kiungo kikikakamaa kinalazimishwa na kinakubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom