katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
- Thread starter
-
- #141
ujanielewa nimesema sifa hizo anazo ila sio kwa levo ya mess cr7Naamini umeanza ushabiki ukubwani, kabla ulikua unashabikia mchezo mwingine. Haiwezekani useme ronaldinho hakuwa na sifa ulizotaja.
Usikasirike, ni vitu vya kawaida.
Gaucho is overrated
japo umepotea ila twende tuDuh..
Dinho hawezi kucreate chance? Labda nikuwekee sawa sentence yako uelewe, kucreate chance ndio assists...
Sina la ziada mkuu, sina la kuongea tena ktk uzi huu.
vitu anavofanya gaucho uwanjan messcr7 wanam-double mkuuNaamini umeanza ushabiki ukubwani, kabla ulikua unashabikia mchezo mwingine. Haiwezekani useme ronaldinho hakuwa na sifa ulizotaja.
Usikasirike, ni vitu vya kawaida.
ChiefMnaosema hakuna kama gaucho mnatumia kigezo gani?
Mmefika mbali mpaka kumlinganisha Gaucho na Messi/Ronaldo
Hivi Gaucho ukitoa control ya mpira iliopitiliza (hata mimi namkubali kwa hili) ana kipi kuwapita watu hao wawili?
Hapa naongelea uwezo binafsi ambao hauna msaada wa timu usitaje makombe
Mfano
- Speed
- Dribble speed
- Shoot power
- Free kick
- Solo goals
- Na vingine vitokanavyo na uwezo kipaji binafsi
Gaucho anamzidi Messi/Ronaldo nini kati ya hivyo?
akiwa na mpira hata kufunga hattrick kwa granada ni mbinde afu 😆😆😆unasema malaika wanatuliaMtafute mtu anaitwa Gang Chomba atakusimulia kuhusu huyo kiumbe adimu...Mwenyewe humuita Saint Gaucho!
Inasemekana Gaucho akiwa na mpira hata malaika hutulia na kufuatilia kutaka kujua atafanya nini...inasemekana lakini!
Hakuna mechi ya Barca iliwahi kunipita wakati huyo kiumbe bado akilisakata kabumbu wakati huo nikiwa mpenzi wa Real Madrid...Naaam Gaucho alifanya nikapenda kuangalia mpira!
ona kituko huyu yani chance create anasema ni assist sijui assist iwe niniDuh..
Dinho hawezi kucreate chance? Labda nikuwekee sawa sentence yako uelewe, kucreate chance ndio assists...
Sina la ziada mkuu, sina la kuongea tena ktk uzi huu.
Hatrick ndio kithibitisho cha ubora? Basi Chirwa ni bora kuliko gaucho,akiwa na mpira hata kufunga hattrick kwa granada ni mbinde afu [emoji38][emoji38][emoji38]unasema malaika wanatulia
Ndugu yangu umesoma titles za hizo video??nimekuwekea karibia vigezo vyote ulivyosema kila kigezo na video zake, freekick goals 66, dribbling skills, solo goals nk unataka nini tena?Ukiweka hoja mezani Kwa ajili ya ushindani wa hoja usiamue kuwa kichwa ngumu, wenzako wakija na hoja zenye mashiko badili mtizamo, vinginevyo utaonekana umekuja kubisha tu.Ukiamua kubisha tu Hakuna anayeweza kubadilisha uamuzi wakoukitaja vitu naomba unitajie hivo vitu hata viwili ili tujue ivo vitu ni muunganiko wa vitu gani ?
usiongee tu quality ,ya vitu, vitu gani?
unamaanisha alikua na uwezo wakufunga ila afungi makusudi? auChief
Lau utatulia vzr,huenda ukanikubali
Gaucho,alicheza mpira kama starehe hususan kuwafurahisha Mashabiki zake,hakuwa uwanjani kwa ajili nyengine
Ila
Kwa uwezo wake,anaweza kufanya lolote hata kuwazidi hao uliowataja mara 10 yao
Ana uwezo
Ana uwezo
Ana Uwezo
Usimfananishe Gaucho na wafua nepi ww Chalii.....
sasa kuna faida gani kukaa na mpira mguuni usio faida?Hatrick ndio kithibitisho cha ubora? Basi Chirwa ni bora kuliko gaucho,
unamaanisha alikua na uwezo wakufunga ila afungi makusudi? au
furah ya mashabiki ni ipi kubwa kati ya ushindi na tobo ?
Mkuu mpira si kufunga tu.. Gaucho alikua anaupa mpira utamu wa kipekee akiwa uwanjani! Ni mchezaji pekee aliwahi kupata standing ovation pale Santiago Bernabeu offcourse Messi nae alituvuruga pale ila Gaucho aliwafurahisha wapenzi wa Madrid pale pale nyumbani kwao wakasimama na kumpa heshima yake!akiwa na mpira hata kufunga hattrick kwa granada ni mbinde afu 😆😆😆unasema malaika wanatulia
Huyu Mfungua uzi huenda amemaliza Darasa la Saba mwaka 2015Mkuu mpira si kufunga tu.. Gaucho alikua anaupa mpira utamu wa kipekee akiwa uwanjani! Ni mchezaji pekee aliwahi kupata standing ovation pale Santiago Bernabeu offcourse Messi nae alituvuruga pale ila Gaucho aliwafurahisha wapenzi wa Madrid pale pale nyumbani kwao wakasimama na kumpa heshima yake!
Pengine umekuja kuhadithiwa tu yaliyojiri wakati Gaucho akiwa uwanjani..ila sisi wengine tulimuoana , tukamfuata na kuendelea kufurahia kipaji kile adimu
Huyu Mfungua uzi huenda amemaliza Darasa la Saba mwaka 2015
Maana anaongea kama hana meno vile.....
Vijana mlioanza kuangalia mpira enzi za Messiah na CR7 mna shida sana... Ulimuangalia hata the Phenomenon enzi zake akiwa barca kabla hajenda italy?ujanielewa wewe haina haja ya kumuangalia ytube
na tumemshuhudia wote
ukitoa danadana ronadinyo unaweza msajili kwenye timu yako?
mbele ya messironaldo
ikitoa danadana messironado wanafanya yote ya gaucho mara tatu zaidi
unaweza taja ambacho kawazidi ukitoa kuweka mpira mgongoni?