Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

Bottom line is mtu yeyote hawezi kufanya kazi na binadamu ( hospitali etc) kama hana foundation course ya Anatomy. Hapo ndo hao biotechnologists na microbiologist wa UD na SUA wanapofeli. Simple as that

Sent From Galaxy S9
Uko sahihi wanalack foundation ya anatomy, nadhani pia kuna baadhi ya kozi za kuwaandaa wawe wataalamu wa maabara hospitalini hawasomi kama Good clinical & laboratory practice (GCLP), medical laboratory practices, laboratory management ambayo hii itamuwezesha awe na uelewa laboratory work path flow kuanzia sample collection, analysis & result reporting.

Pia mambo kama professionalism and ethics kama mtaalamu wa afya ambapo itaongelea mambo kama confidentiality za taarifa za wagonjwa. Na muhimu zaidi ni junior & senior rotations in labs na mambo mengine mengi yapo hapo katikati.

Kiufupi wao hawajaandaliwa wawe wanafanya kazi kama wataalamu wa maabara za afya mahospitalini.

Nilihitimisha kwenye post yangu ya juu hapo kwamba wanaweza wakawa chini ya wizara ya afya ila sio kufanya kazi hospitalini bali kufanya kazi kwenye taasisi za research zilizo chini ya wizara kama National Institute for Medical research (NIMR) au kwenye NGOs zinazohusika na masuala ya research kama ifakara health institute (IHI) bila kuwasahau (MDH).
 
Uko sahihi wanalack foundation ya anatomy, nadhani pia kuna baadhi ya kozi za kuwaandaa wawe wataalamu wa maabara hospitalini hawasomi kama Good clinical & laboratory practice (GCLP), medical laboratory practices, laboratory management ambayo hii itamuwezesha awe na uelewa laboratory work path flow kuanzia sample collection, analysis & result reporting.

Pia mambo kama professionalism and ethics kama mtaalamu wa afya ambapo itaongelea mambo kama confidentiality za taarifa za wagonjwa. Na muhimu zaidi ni junior & senior rotations in labs na mambo mengine mengi yapo hapo katikati.

Kiufupi wao hawajaandaliwa wawe wanafanya kazi kama wataalamu wa maabara za afya mahospitalini.

Nilihitimisha kwenye post yangu ya juu hapo kwamba wanaweza wakawa chini ya wizara ya afya ila sio kufanya kazi hospitalini bali kufanya kazi kwenye taasisi za research zilizo chini ya wizara kama National Institute for Medical research (NIMR) au kwenye NGOs zinazohusika na masuala ya research kama ifakara health institute (IHI) bila kuwasahau (MDH).
Lakini hata huku kwenye researches sio zote zinahusisha Microbiology au Biotechnology peke yake.

Kuna protocols nyingine zinatakiwa kufanywa na mtu ambaye ana knowledge ya Medicine. Kwahiyo hakuna sehemu ambayo wanaweza kuingia wakawa wao pekee.

Ndio maana hata idara za Microbiology na Molecular Biology huku hospital wamejaa Medical Labs na MDs. Wao kitu kinachohusisha medicine ni ngumu kupata kwa sababu hawapo flexible.

My point is, wajenge hoja zao tu bila kuwahusisha watu wa Medicine.
 
Original Thread by maroon 7

Wakuu nimekutana na habari hii kutoka gazeti la The citizen kuhusu maabara ya kisasa iliyogharimu zaidi ya Tsh 2 Billion kwa ufadhili kutoka Uturuki lakini cha kusikitisha inamiaka karibu miwili eti bila matumizi na badala yake sampuli zinapelekwa India licha ya maabara hiyo kutoa majibu sawasawa na yale ya India.

Tena bila aibu viongozi wa Muhimbili wanasema kabisa sample kupelekwa kwenye hiyo maabara na nyingine inapelekwa India na majibu kurudi yaleyale. Mtaalam kutoka Uturuki Prof Fatmahan Atalar ambae anasimamia mradi huo kuhakikisha wataalamu wetu wanajua kutumia maabara hiyo amelalamika hali ya kushangaza ya wataalamu wetu kukwepa kabisa kujifunza na kutumia maabara hiyo achilia mbali kupeleka tu sampuli hapo licha za juhudi zake binafsi kuzunguka idara zote kuwahamasisha lakini wote wanakacha.

Cha kushangaza zaidi hata reagents tu kuhudumia hiyo maabara hawataki kununua hali iliyopelekea mtaalam huyo kutoka Uturuki kutumia pesa yake binafsi kiasi cha shilingi milioni 140 ambazo aliahidiwa kurudishiwa lakini kapigwa changa la macho.
Maabara hiyo ya aina yake inaweza kuokoa maisha ya watu wengi afrika mashariki na kati kwa mujibu wa Prof huyo.

Waziri wa afya anapaswa kutoa tamko juu ya nini hasa kimepelekea hii hali na kwanini baada ya The citizen kuanika hii ndio waseme sasa wataanza kuitumia?

My take
Shida kubwa madaktari huwa hawapendi kujifunza zaidi na huwa wanafikiri kuwa wao ni superior kuliko wengine wakati hizi kada zinachangamana na kusaidiana ili kuleta matokeo mazuri

Nadeclare Interest kuwa Mimi ni daktari nimefanya MD MUHAS ila pia nimefanya Msc hapo UDSM Department of Molecular biology and Biotechnology. Magonjwa mengi sasa ili uweze kubaini ni kimelea gani kasababisha lazima utumie advanced biotechnological tools. Sasa iweje wizara ishindwe kuwathamini hawa wataalam au kisa wamejaza washauri ambao ni ma MD tu?

Sh2 billion lab stands idle for nearly 2 years
Mkuu hii post ni mhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu kama ingewezekana tafadhari waombe mods uandikie Uzi wake unaohusiana na hiyo maabara
 
Lakini hata huku kwenye researches sio zote zinahusisha Microbiology au Biotechnology peke yake.

Kuna protocols nyingine zinatakiwa kufanywa na mtu ambaye ana knowledge ya Medicine. Kwahiyo hakuna sehemu ambayo wanaweza kuingia wakawa wao pekee.

Ndio maana hata idara za Microbiology na Molecular Biology huku hospital wamejaa Medical Labs na MDs. Wao kitu kinachohusisha medicine ni ngumu kupata kwa sababu hawapo flexible.

My point is, wajenge hoja zao tu bila kuwahusisha watu wa Medicine.
Hiyo ndio sababu nchi za kiafrika mpaka sasa zinasubiria chanjo toka Ulaya, hao MD'S na Medical Labs sidhani kama wanauwezo wa kugundua dawa. Haya ndio yale ya kulinganisha Chemistry na laboratory Science and Technology. Nchi za ulaya Laboratory Science huwezi iona hii.
 
Hiyo ndio sababu nchi za kiafrika mpaka sasa zinasubiria chanjo toka Ulaya, hao MD'S na Medical Labs sidhani kama wanauwezo wa kugundua dawa. Haya ndio yale ya kulinganisha Chemistry na laboratory Science and Technology. Nchi za ulaya Laboratory Science huwezi iona hii.
Kwani tafiti zote zinahusu kutafuta dawa tu?
 
Bandiko zuri. Labda niulize swali, hivi hawa jamaa mabio+microbioloGist kwanini wasiingizwe kwenye majeshi yetu huko kusaidia mambo ya ulinz na usalama? Maana navoona vita za saivi hakuna anaeshika bunduki ukizingua tu jamaa wanavuta majoho wanajifungia maabara wakitoka huko fulu mtafutano kitaa hapakaliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tobaaa! Tuliosoma degree za Sociology tunakoment wapi??

Everyday is Saturday.................... 😎
 
Unapozungumzia tafiti katika uwanja wa MEDICINE sio dawa peke yake, Kuna Vaccine, kuna diagnostic techniques/tools, etc. Ntakupa mfano mdogo. Kabla ya kupatikana kwa HIV viral load technique, monitoring ya HIV patients ilikua ikifanyika kwa njia ya CD4 Cell counting kupitia research ikaonekana si njia bora na jee unajua kua HVL sio bora pia?? Unajua Biotechnology imekuja na njia ipi mpya?? Najua Biotechnology ni kada mpya Tanzania [emoji1241] ndio maana ni ngumu sana watu kuelewa ni nini kutokana na ufinyu wa fikra, japo kwa nchi nyingi zilizoendelea hao watu wanathaminika kuliko Daktari kuliko any medical personnel (Find out about Biotechnology in USA ).

Shida ni elimu yetu hatufunguliwi dunia tunalishwa madesa tunabaki tunajua sayansi imeishia hapo ukizingatia Watanzania wengi hawana utamaduni wa kujifunza.

Wapo wachache wanaelewa kwa sababu wanapenda kujifunza vitu vipya. Mfano huyu hapa chini ni MD ila alisoma Msc Department of Molecular biology and Biotechnology #UDSM amekiri ukweli.

Let's change with technology hivi swali dogo Tu jaman kwanini Wizara haitaki Biotechnology isajiliwe chini Ya wizara ya afya?
Kumbuka hii ni Tanzania tuuu hakuna nchi yeyote ambayo Biotechnology ina restrictions zaidi ya Tanzania [emoji1241] binafsi sijawahi kuona na ni Aibu kwa Taifa, kutuma sample SA kufanya DNA profiling while TZ watalamu wapo tena hadi professors.
20200408_224529.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepanik MD..hoja hujibiwa kwa hoja..sio hasira utaleta vioja...

#MaendeleoHayanaChama
Kelele nyingi hamna any logical point hapo ndugu researcher.. au kwa sababu nyie bio technologist hamruhusiwi kufanya kazi kwenye hospitali za binadamu ndo kinachokusumbua? Usiringe sana na hiyo biotechnology yako. Hao wote uliowataja hapo unaosema hawajui chochote wanaweza wakaenda kupiga masters ya Microbiology molecular and immunology (MMIU ) miaka miwili tu na wakaweza kufanya research. Take several seats.

Sent From Galaxy S9

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawasomi anatomy cause hawatakiwi kudeal na binadamu so usiseme wanapo fail no. Hiyo ndio curriculum yao inavosema, wao ni research labs tu sio hospital labs.kama ni hospital labs basi hatakiwi kumgusa mgojwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapozungumzia tafiti katika uwanja wa MEDICINE sio dawa peke yake, Kuna Vaccine, kuna diagnostic techniques/tools, etc. Ntakupa mfano mdogo. Kabla ya kupatikana kwa HIV viral load technique, monitoring ya HIV patients ilikua ikifanyika kwa njia ya CD4 Cell counting kupitia research ikaonekana si njia bora na jee unajua kua HVL sio bora pia?? Unajua Biotechnology imekuja na njia ipi mpya?? Najua Biotechnology ni kada mpya Tanzania [emoji1241] ndio maana ni ngumu sana watu kuelewa ni nini kutokana na ufinyu wa fikra, japo kwa nchi nyingi zilizoendelea hao watu wanathaminika kuliko Daktari kuliko any medical personnel (Find out about Biotechnology in USA ).

Shida ni elimu yetu hatufunguliwi dunia tunalishwa madesa tunabaki tunajua sayansi imeishia hapo ukizingatia Watanzania wengi hawana utamaduni wa kujifunza.

Wapo wachache wanaelewa kwa sababu wanapenda kujifunza vitu vipya. Mfano huyu hapa chini ni MD ila alisoma Msc Department of Molecular biology and Biotechnology #UDSM amekiri ukweli.

Let's change with technology hivi swali dogo Tu jaman kwanini Wizara haitaki Biotechnology isajiliwe chini Ya wizara ya afya?
Kumbuka hii ni Tanzania tuuu hakuna nchi yeyote ambayo Biotechnology ina restrictions zaidi ya Tanzania [emoji1241] binafsi sijawahi kuona na ni Aibu kwa Taifa, kutuma sample SA kufanya DNA profiling while TZ watalamu wapo tena hadi professors. View attachment 1413205

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ID ya tatu unakuja nayo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawasomi anatomy cause hawatakiwi kudeal na binadamu so usiseme wanapo fail no. Hiyo ndio curriculum yao inavosema, wao ni research labs tu sio hospital labs.kama ni hospital labs basi hatakiwi kumgusa mgojwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafanya research kwa binaadamu hali ya kuwa Anatomy yake huijui??
Note: Research zipo za aina nyingi sana na sio zote za ki medical zinafanywa na biotechnologist.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafanya research kwa binaadamu hali ya kuwa Anatomy yake huijui??
Note: Research zipo za aina nyingi sana na sio zote za ki medical zinafanywa na biotechnologist.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu usichojua ni kua Cell Biology, ndo outcome ya kila field ya medicine. Ndio maana since day one nilisema kuna Molecular level research ambazo Zinawezwa fanywa na Molecular biologist, and chemist only. Kuna research za anatomy anaweza fanya mbobezi wa eneo hilo alie master eneo hilo tu eg. Mtu mwenye Bsc in anatomy. Hakuna kada inayoweza fanya kila kitu kuhusu organism, but mind you talking abt biotechnology ni any invention in biology is biotech na hiyo ndio definition.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu usichojua ni kua Cell Biology, ndo outcome ya kila field ya medicine. Ndio maana since day one nilisema kuna Molecular level research ambazo Zinawezwa fanywa na Molecular biologist, and chemist only. Kuna research za anatomy anaweza fanya mbobezi wa eneo hilo alie master eneo hilo tu eg. Mtu mwenye Bsc in anatomy. Hakuna kada inayoweza fanya kila kitu kuhusu organism, but mind you talking abt biotechnology ni any invention in biology is biotech na hiyo ndio definition.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thus why wakuu wakakuambia uko hata hao watu wa medicine wanaweza kufany research katika maeneo yao. Tofauti na ww ulivyowasema kuwa hawawezi kufany research wao kazi yao kuhudumia wagonjwa tu, hapo ndio unakosea bro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ya msingi kuliko zote ni kwa Wizara ya Afya kutambua mchango wa Biotechnology Tanzania, maana sijawahi kuona nchi nyingine Duniani ambayo inawapa restrictions Biotechnologist (Try to find out).
Na reason why hawapewi nafasi zao ni kua katika maabara hizo za Tafiti wanaofanya kazi ni walewale wanaofanya kazi in Clinical settings, and still wanalazimisha kufanya tafiti ambazo hawakuandaliwa kufanya. Unakumbuka kipindi cha Chikungunya Virus? NIMR waliokua ktk hii project ni Full of MDs while it's a typical Biotechnological research.

Wapo epidemiologist ambao wana MD degrees hao ni sahihi kabisa kuwepo NIMR kwaajili ya epidemiology studies. Hata watu Wa Medical labs zipo kazi wanaweza fanya in Research labs
Ila research ikisha husisha Molecular analysis, au chemical evaluations it's far away difficult for them to carry out.

Medical personnel wakishirikiana vizuri na Researchers Tanzania tuta advance sana kwenye utoaji wa huduma za afya. Tatizo Sisi tunapigana vita kama sio wanasayansi yani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili chaka nililoliingia na olevel yangu ni vumbi 2 nimeambulia, mkisha yamaliza m2pe dawa 2ondokane na hii sinema
 
SHINYA YAMANAKA
MD and Orthopaedic surgeon later Scientist.

Discoverer of Induced Pluripotent Stem Cell (IPS) and Noble prize winner in Medicine and /Physiology

Haya ni sehemu ya maneno ya kwenye Biography yake. Ukiwa makini utagundua kwa nini hapa nchini hatuendelei kwenye field ya afya.

In addition, treating many patients with intractable diseases and injuries such as rheumatoid arthritis and spinal cord injury, I realized that there were many diseases that even talented surgeons and physicians cannot cure. Even now, I recall clearly one female patient who had severe rheumatoid arthritis. There was a photograph of a cheerful woman on her bedside cabinet. I though it must be her sister or something. Learning that it was herself only a few years back, I was shocked that the patient looked totally different because of the disease. Painful and unforgettable bedside experiences finally drove me to switch my goal from becoming a surgeon who would help free patients from pain to becoming a basic scientist who would eradicate those intractable diseases by finding out their mechanisms and ultimately a way of curing them.

FROM SURGEON TO SCIENTIST
As the first step toward my new goal, I became a Ph.D. student in pharmacology at Osaka City University Graduate School of Medicine in 1989, working in Kenjiro Yamamoto’s laboratory. During the next four years, I learned the essentials about how to design and conduct experiments and analyze data from my direct mentor, Katsuyuki Miura. The first instruction he gave me was to read as many papers as possible to help me think about a research theme. A few months later he assigned me to perform an experiment to study the role of a blood lipid named platelet-activating factor in lowering blood pressure in dogs. Miura’s hypothesis was that administering an inhibitor of another lipid, thromboxane A2, which is activated by platelet-activating factor, would prevent the blood pressure from going down. But my experiment showed a completely opposite result. I was so excited with the unexpected outcome that I became totally fascinated by basic science. Miura was also enthusiastic about the findings even though they were against his hypothesis. This study later became my Ph.D. dissertation, published in Circulation Research in 1993. There was an eye-opening moment when Miura told me that scientists have to compete with researchers around the world. When I was a resident, my rivals were other residents at the same hospital. As a scientist, I could win global recognition in a scientific field, albeit a small one, if my findings were published in high-profile journals. His words made me pay keen attention to research abroad.

POSTDOCTORAL FELLOW AT GLADSTONE
At the time, I was astonished by mouse transgenesis and gene targeting, which specifically induce or delete a single gene of interest, because no pharmacological agents could perform such miracles. After finishing my Ph.D. work in 1993, I applied for as many postdoctoral positions as I could in labs doing mouse molecular genetics because I wanted to obtain postdoctoral training and further skills including techniques to make knockout mice. However, it was very natural that a failed surgeon with little experience in molecular biology had a hard time finding a position. A turning point came when I got a fax from Thomas Innerarity at the Gladstone Institute of Cardiovascular Diseases in San Francisco. After a short telephone conversation, Tom was brave enough to give me a postdoctoral position in his lab! Working at Gladstone was one of the best decisions I ever made in my life. Gladstone provided an almost perfect environment for an ambitious new researcher like me thanks to its skillful technicians and the provocative discussions about science I had with enthusiastic colleagues


Source
Google Shinya Yamanaka biography
 
Back
Top Bottom