Uwoya amnyima penzi dogo janja tangu Ndiku afe.

Uwoya amnyima penzi dogo janja tangu Ndiku afe.

Kwa habari za kunyapia nyapia ni kwamba Irene Pancras Uwoya (Sheila Abdul) aanza kumchukia dogo janja kiasi cha kuyumbisha penzi lao na mbaya zaidi amekuwa akimnyima penzi dogo janja na mara nyingi hupenda kumkwepa kwepa janjaro na kiasi fulani anahisi kama janjaro ndo chanzo cha mumewe kipenzi Hamadi Kataut kufariki.

Dogo janja mara kwa mara akitafutwa kujibu suala hili la kunyimwa penzi na uwoya amekuwa akibabaika sana na muda mwengine hupenda kujibu nje ya mada ili asiendelee kuulizwa.
wewe aje khanith mmoja anakuuliza habari ya mgegedo wako na mkeo utamjivu nini?hao wanaoulizia wakapimwe akili hawana adabu hata kidogo !mwanamme hanyimwi anaweza kuringishiwa tu lakini kubandua utabandua tu
 
Mmejuaje? Kama sio umbea . 2, Dogo inasekana ana tango sio kibamia. 3, wanatia fitna ili wachukue hasa mashangingi wa Dar
 
Mmejuaje? Kama sio umbea . 2, Dogo inasekana ana tango sio kibamia. 3, wanatia fitna ili wachukue hasa mashangingi wa Dar
Umbea kwa kwenda mbele [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata wewe pia mbeya mwenzetu
 
Kama we mwandishi wa habari basi chukua tuzo aisee. We hizi habari za chumbani tena uvunguni milango na mageti yakiwa yamefungwa umezipataje
 
Back
Top Bottom