SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Hivi Sabaya kumbeni mkenya?Uchama usikupofushe macho hao Bado ni watanzania wenzetu
eKwa nchi inayojitambua na raia wenye akili wanaopenda maendeleo hufanya kazi usiku na mchana ,
Ila kwa watu wenye akili za kimaskini kama wewe huona usiku ni muda wa wachawi , usiwe mpumbavu badilika
Mapambano ya kudai haki hayana muda maalumusiku usiku kama wachawi. Kwanini wasitembee mchana ili hata wakihujumiwa wananchi waone.
Haki halafu mkiambiwa mnaunga mkono ushoga mnarukaMapambano ya kudai haki hayana muda maalum
Ndio faida za kukimbilia amshaamsha zisizo na tija usikuMsafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Safari za usiku Tena hiyo Kaliua siyo nzuri.Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
acha uzwazwa wanapambania haki ya nani. hivi kuna mapumbavu km wewe bado?Poleni sana wapambania haki
KARMA YA JPM NA SABAYA INAWARUDIDaah kumbe na jf bado kuna watu machizi yaan tofauti za chama zinakufanya uwe na chuki na wenzako mpaka kuwaombea kifo huu ni us*nge
Watu wema mnapataje ajali?Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Nyie mbona mnafurahia vifo vya watu wengine malipo ni hapa hapa dunianiUchama usikupofushe macho hao Bado ni watanzania wenzetu
Nyie mbona mnafurahia vifo vya watu wengine malipo ni hapa hapa dunianiDaah kumbe na jf bado kuna watu machizi yaan tofauti za chama zinakufanya uwe na chuki na wenzako mpaka kuwaombea kifo huu ni us*nge
Wewe nae ni mpuuzi pro maxUpumbavu ni sifa kama ilivyo ufupi au unene (Mwalimu Nyerere). Wewe naona unaishi kikamilifu kwa kadiri ya sifa yako.
Nina hakika wenye akili watakupuuza kama unavyopuuzwa kwenye upuuzi mwingine ambao huwa unauweka hapa jukwaani.
HawajielewiWatu wema mnapataje ajali?
Wema hawafi kwa hiyo ndugu zako walikufa walikuwa watu wabayaUtaumia sana! Wema hawafi! Pamoja na ujuha wako, hilo unalijua! Na mfano unao!
NothingKARMA YA JPM NA SABAYA INAWARUDI