SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Pole zao. Wajue kuna 'poetic justice' waache kusingizia na kubeza Jamii. Sijui watasingizia nini safari hii. Maagizo kutoka juu??
Dola??
wu unaweza kuwasikia wakidai ni umasikini wa Barabara kwa sababu ni nyeusi, kuwa haiendi popote /imesimama/imelala na haishiriki katika uchumi. Yaani watailetea ubaguzi na siajabu wakaiita 'tabora gang'. Masafi ya chadema my foot!
Dola??
wu unaweza kuwasikia wakidai ni umasikini wa Barabara kwa sababu ni nyeusi, kuwa haiendi popote /imesimama/imelala na haishiriki katika uchumi. Yaani watailetea ubaguzi na siajabu wakaiita 'tabora gang'. Masafi ya chadema my foot!