johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Amiri jeshiAnayeitwa mzalendo namba moja naye ni mwanajeshi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amiri jeshiAnayeitwa mzalendo namba moja naye ni mwanajeshi?
Wa jeshi gani..??Dr Mwigullu Nchemba, Halima Mdee, Zitto Kabwe, Bulaya hawa ni Wanajeshi kama hutaki Nuna!
Jeshi ni kigezo cha lazima uwe mzalendo!Wazalendo ni jeshi pekee??
Jeshi letu WananchiWa jeshi gani..??
JWTZ..!!?? Unaoelekea ndo unaoneka wazi unachemka..!!Jeshi letu Wananchi
Wakati wa Vita ndio utawajua wa jeshi ganiAtuambie, Kama kuna jeshi jipya?
Ingekuwa ulishazaliwa wakati wa Vita ya Kagera hili lisingekusumbuaJWTZ..!!?? Unaoelekea ndo unaoneka wazi unachemka..!!
Uraiani kuna Wafia Vyama tuKwa upande Fulani nakubaliana na wewe maana jeshi wanafundishwa kulipenda na kulilinda taifa! Na hawashabikii chama chochote (kwa mujibu wa katiba), Uraiani huku mzalendo anatambulikaje?
The power of FAKE ID..!! Nilichmba handaki mwenzio pale nyuma ya nyumbani kwetu..!!! Na tuliwapokea wanajeshi walifanikiwa kurudi nyumbani.. Wengine walifia pale LUKUMBURU wakiwa wanarudi Songea.!! Walikatiza mitaa ya Zambia pale Lizaboni tulijipanga wote kuwashangilia..!! Hivyo kuhusu kuzaliwa wakati ule ondoa shakaIngekuwa ulishazaliwa wakati wa Vita ya Kagera hili lisingekusumbua
Tatizo la Vijana wa Leo badala ya kuwahi JKT nyie mnakimbilia UVCCM halafu mnajidanganya kuwa ni Wazalendo
JWTZ..!!?? Unaoelekea ndo unaoneka wazi unachemka..!!
Wazalendo wa kweli wanapatikana jeshini tu! Over 😃😃Ingekuwa ulishazaliwa wakati wa Vita ya Kagera hili lisingekusumbua
Tatizo la Vijana wa Leo badala ya kuwahi JKT nyie mnakimbilia UVCCM halafu mnajidanganya kuwa ni Wazalendo
Kwahiyo JKT kwa mujibu wa sheria umekwenda?The power of FAKE ID..!! Nilichmba handaki mwenzio pale nyuma ya nyumbani kwetu..!!! Na tuliwapokea wanajeshi walifanikiwa kurudi nyumbani.. Wengine walifia pale LUKUMBURU wakiwa wanarudi Songea.!! Walikatiza mitaa ya Zambia pale Lizaboni tulijipanga wote kuwashangilia..!! Hivyo kuhusu kuzaliwa wakati ule ondoa shaka
Bila Shaka yoyote!Wazalendo wa kweli wanapatikana jeshini tu! Over 😃😃
Sasa niwe nimezaliwa miaka hiyo nisiende?Kwahiyo JKT kwa mujibu wa sheria umekwenda?
😃😃😃😃Mzalendo wa mataifa manne?Uzalendo WA nchi naonaga kama Utopoli fulani hivi. Maana mipaka kaiweka mzungu angeamua kukata kata kona wakati anaichora mimi Mkurya WA tz labda Leo ningekuwa mkenya na ningembiwa niwe mzalendo huko.
Kuna mtu alizaliwa akiwa Ussr then ghafla akawa raia WA Yugoslavia then kabla hajanywa Chai akawa raia WA Czechslovakia kabla msosi WA mchana akawa raia Raia WA Slovakia.
Yaani jamaa amekuwa mzalendo kwa nchi 4[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na Hana uhakika kama hiyo Slovakia itabaki hivyo hivyo.
Haiwezekani wote tupite jeshini, na haiwezekani kuwaona wananchi kwamba siyo wazalendo!!Sasa niwe nimezaliwa miaka hiyo nisiende?
By the way, wale ambao hawakupita system za shule na JKT inamaana hawawezi kuwa wazalenda? Waza hili, wote mnasoma darasa moja lakini mmoja anakuwa wa kwanza na mwingine anakuwa wa mwisho..!!
Kwa bwana johnthebaptist kwake yeye, mtu ambaye hajapita jesho lolote (Mgambo, JKT, Magereza, JWTZ, Police, Uhamiaji etc) hapa Tanzania, hawezi kuwa mzalendo..!! Huku ni kulishana matango poriHaiwezekani wote tupite jeshini, na haiwezekani kuwaona wananchi kwamba siyo wazalendo!!