Uzalendo ni nini?

Uzalendo ni nini?

Habari za Jumapili wananchi wenzangu, nimekuwa nikijiuliza maana halisi ya uzalendo.

Tumekuwa tukisikia viongozi mbalimbali wakisisitiza wananchi kuwa wazalendo, na wakati mwingine wakilalamikia kinachoitwa "kupungua kwa uzalendo."

Kwakuwa JF ni home of Great thinkers iwapendeze kunijibu, je uzalendo ni nini haswa?

a) Je, uzalendo ni kuvaa tai yenye bendera ya taifa?
b) Au uzalendo ni kuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi?
c) Je, ni mambo yapi hayapaswi kufanywa na mzalendo?
d) Je, mzalendo wa taifa letu ana haki zipi?
e) Au uzalendo ni kuzishabikia timu zetu katika mashindano ya kimataifa?
f) Je, uzalendo wetu unapimwaje?
g) Viongozi wetu wanaohubiri uzalendo, wanakidhi vigezo vya kuitwa wazalendo??

Nawakaribisha nipate kufahamishwa kwa kina maana halisi ya uzalendo na mzalendo.
unyonge , umasikini , kutokuhoji chochote , yaani uwe kama hivi .

FB_IMG_1575390800494.jpg
FB_IMG_1575390806699.jpg
FB_IMG_1575390792397.jpg
 
Walioanza kuhubiri uzalendo wa mdomoni wameupa uzalendo tafsiri tofauti, sasa hivi uzalendo kwao ni kujipendekeza kwa rais na kutetea chochote cha serikali.
 
Walioanza kuhubiri uzalendo wa mdomoni wameupa uzalendo tafsiri tofauti, sasa hivi uzalendo kwao ni kujipendekeza kwa rais na kutetea chochote cha serikali.
Uzalendo una namba utasikia mzalendo namba moja na namba mbili!
 
Unamuunga mkono huyu muongo muongo ??
Kupitia vita ya ukraine vs Urusi, ukiwatizama wale wanajeshi wanavyoangushiwa mabomu na drone na kufa, unaamini wale kweli ndio wazalendo.
Sio hawa wengine wakisikia mlio wa baruti tu, wanakimbia; halafu wanasema ni wazalendo.
 
Kupitia vita ya ukraine vs Urusi, ukiwatizama wale wanajeshi wanavyoangushiwa mabomu na drone na kufa, unaamini wale kweli ndio wazalendo.
Sio hawa wengine wakisikia mlio wa baruti tu, wanakimbia; halafu wanasema ni wazalendo.
Usisahau hawa walioko front, kuna watu hawapo front lakini wanawapikia wapate uwezo wa kuwa huko front
 
Kupitia vita ya ukraine vs Urusi, ukiwatizama wale wanajeshi wanavyoangushiwa mabomu na drone na kufa, unaamini wale kweli ndio wazalendo.
Sio hawa wengine wakisikia mlio wa baruti tu, wanakimbia; halafu wanasema ni wazalendo.
Viongozi je ni wazalendo?
 
Back
Top Bottom