Mwanakwetuuu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2022
- 1,011
- 2,283
hizo shule ambazo wanaombea kura!!hawapeleki watoto waoMtoto wako akisoma St Mary's huwezi kuwa mzalendo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizo shule ambazo wanaombea kura!!hawapeleki watoto waoMtoto wako akisoma St Mary's huwezi kuwa mzalendo?
unyonge , umasikini , kutokuhoji chochote , yaani uwe kama hivi .Habari za Jumapili wananchi wenzangu, nimekuwa nikijiuliza maana halisi ya uzalendo.
Tumekuwa tukisikia viongozi mbalimbali wakisisitiza wananchi kuwa wazalendo, na wakati mwingine wakilalamikia kinachoitwa "kupungua kwa uzalendo."
Kwakuwa JF ni home of Great thinkers iwapendeze kunijibu, je uzalendo ni nini haswa?
a) Je, uzalendo ni kuvaa tai yenye bendera ya taifa?
b) Au uzalendo ni kuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi?
c) Je, ni mambo yapi hayapaswi kufanywa na mzalendo?
d) Je, mzalendo wa taifa letu ana haki zipi?
e) Au uzalendo ni kuzishabikia timu zetu katika mashindano ya kimataifa?
f) Je, uzalendo wetu unapimwaje?
g) Viongozi wetu wanaohubiri uzalendo, wanakidhi vigezo vya kuitwa wazalendo??
Nawakaribisha nipate kufahamishwa kwa kina maana halisi ya uzalendo na mzalendo.
Uzalendo ndio huu??? 😃😃😃😃😃unyonge , umasikini , kutokuhoji chochote , yaani uwe kama hivi .
View attachment 2435520View attachment 2435521View attachment 2435522
YesUzalendo ndio huu??? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nini hiki ulichoandika...!??Ni lazima kwanza uwe mwanajeshi uliye tayari kuifia Nchi yako!
Unamuunga mkono huyu muongo muongo ??Hasa wale wanaoenda 'frontline'; wako tayari kufa kwa ajili ya nchi.
Kupitia vita ya ukraine vs Urusi, ukiwatizama wale wanajeshi wanavyoangushiwa mabomu na drone na kufa, unaamini wale kweli ndio wazalendo.Unamuunga mkono huyu muongo muongo ??
Utailindaje nchi Yako?Nini hiki ulichoandika...!??
Uzalendo ni lazima uwe mwanajeshi!?
Hatari sana hii...
Usisahau hawa walioko front, kuna watu hawapo front lakini wanawapikia wapate uwezo wa kuwa huko frontKupitia vita ya ukraine vs Urusi, ukiwatizama wale wanajeshi wanavyoangushiwa mabomu na drone na kufa, unaamini wale kweli ndio wazalendo.
Sio hawa wengine wakisikia mlio wa baruti tu, wanakimbia; halafu wanasema ni wazalendo.
Kuna wengine wakipangwa 'front' wanatafuta namna ya kukimbiaUsisahau hawa walioko front, kuna watu hawapo front lakini wanawapikia wapate uwezo wa kuwa huko front
That does not justify kuwa hakuna asiye mwanajeshi akawa mzalendoKuna wengine wakipangwa 'front' wanatafuta namna ya kukimbia
Wengi ni wasaka tongeThat does not justify kuwa hakuna asiye mwanajeshi akawa mzalendo
Viongozi je ni wazalendo?Kupitia vita ya ukraine vs Urusi, ukiwatizama wale wanajeshi wanavyoangushiwa mabomu na drone na kufa, unaamini wale kweli ndio wazalendo.
Sio hawa wengine wakisikia mlio wa baruti tu, wanakimbia; halafu wanasema ni wazalendo.