Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaaaaNi kuunga mkono
kwani na mtazamo wako wewe unasema nini?Nani huyo aliwahi sema hivyo
Habari wanajamvi. Kama kuna kitu kinanitatiza sana miaka hii ni matumizi ya neno "UZALENDO". nikiwa shule ya msingi niliwahi fundishwa kuwa mzalendo ni "mtu anaeipenda NCHI yake, na kuwa tayari kuipigania na hata kufa kwa maslahi ya nchi yake". Labda kama walimu wangu walinidanganya maana nachokiona leo ni tofauti na nilichofundishwa. Sikuhizi nasikia hawa wanasiasa wetu wakikusikia unaikosoa serikalo au kuwa na maoni tofauti na wao juu ya mambo fulani watasema WEWE SIO MZALENDO. mfano, lissu,zitto na wengineo walipokua wakikemea mambo mbalimbali kama mauaji n.k .. Baadae pia nikasikia UZALENDO ni ile hali ya kuhama toka upinzani na kuiunga mkono SERIKALI iliyopo madarakani. Mnaojua maana ya uzalendo msaada please. Nataka kuelewa.
Habari wanajamvi. Kama kuna kitu kinanitatiza sana miaka hii ni matumizi ya neno "UZALENDO". nikiwa shule ya msingi niliwahi fundishwa kuwa mzalendo ni "mtu anaeipenda NCHI yake, na kuwa tayari kuipigania na hata kufa kwa maslahi ya nchi yake". Labda kama walimu wangu walinidanganya maana nachokiona leo ni tofauti na nilichofundishwa. Sikuhizi nasikia hawa wanasiasa wetu wakikusikia unaikosoa serikalo au kuwa na maoni tofauti na wao juu ya mambo fulani watasema WEWE SIO MZALENDO. mfano, lissu,zitto na wengineo walipokua wakikemea mambo mbalimbali kama mauaji n.k .. Baadae pia nikasikia UZALENDO ni ile hali ya kuhama toka upinzani na kuiunga mkono SERIKALI iliyopo madarakani. Mnaojua maana ya uzalendo msaada please. Nataka kuelewa.