Huyu Mama Abdul siku akitolewa kwenye kiti cha taifa, atakuwa kama Mwalimu Mstaafu wa Namanyere,Nkasi uko au kama Mama Ntilie Mstaafu wa Mabibo sokoni.
Ata Swaiba wake Tulia naye atakuwa kama Mama muuza ndizi Mstaafu wa sokoni,Mwanjelwa!
Sent from my V2111 using
JamiiForums mobile app