Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

Wanabodi,

Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla.
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu. Hizi Makala zitafuatiwa na Kipindi cha TV chenye jina hilo hilo ambacho kitaanza kutoka kwenye vituo kadhaa vya TV hivi karibuni baada ya taratibu za udhamini kukamilika, vikiangazia hoja mbalimbali muhimu kwa maslahi ya taifa letu la Tanzania.

Hoja ya Udikiteta Tanzania.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikijadili hoja ya Udikiteta Tanzania. mada ya leo ni kuhusu uzalendo wa ajabu wa Watanzania kuunyamazia uongo unaoenezwa kimataifa kuhusu huu udikiteta Tanzania. Jee Sisi Watanzania, Tuna Uzalendo Gani Kunyamazia Huu Uongo Unaonezwa Kimataifa Kuwa Rais wa Tanzania ni Dikiteta na Tunatawaliwa Kidikiteta?. Au Kwa Kunyamaza Huku Ndio Kukubali Kwenyewe Kuwa ni Kweli Taifa Letu Tanzania Tuko Kwenye Udikiteta?

Kama ni Kweli Tanzania Tuna Udikiteta na Sisi Wenyewe Tumeukubali, Kwa Nini Watuingilie?.
Kama ni kweli rais wetu Magufuli anatenda kinyume cha katiba na sheria, na taratibu za kumshughulikia zipo lakini sisi Watanzania wenyewe tumeridhika naye na utendaji wake huo huo, hivyo hivyo anavyotenda iwe kwa kuvunja katiba au kinyume cha sheria, Watanzania wenyewe tumeridhika na kukubali, who the hell is jirani yasiyomhusu, anayekuja kutusemea kwenye media yao kuwa rais wetu amekosea?. Kama wenyewe tumekubali na tumeridhika, huyu jirani anamsemea nani?!. Kwa nini Watanzania tunanyamasia uongo huu?.

Wiki ijayo, nitakuja na set ya maswali kuhusu hoja za udikiteta ambayo nitayaelekeza kwa Waziri wa Sheria na Katiba. Prof. Palamagamba Kabudi.

Jumamosi Njema.

Paskali
Update
Nitauapdate uzi huu kwa michango michache objective.
Yamepita na wewe sasa subiri mwingine ufanye unafiki kwake.
 
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Kwa nini kusema ukweli juu ya matendo anayofanya Rais, yanayopendeza na yasiyopendeza, ikiwemo kufungia Magazeti na Vyombo vyote vya Habari ambavyo havimsifii, unadai ni kuisema Nchi vibaya?
Je, Ayubu Rioba wa sasa, anao uwezo wa kuendesha mjadala wa namna hiyo?
Paskali, kusema Nchi inatukanwa na kusingiziwa na Vyombo vya Habari vinavyojitambua, dawa yake ni kuvifuata na kukanusha "huo uongo" kwa kukubali kuongea nao na kuelezea uhalisia.
Hili linawezekana?
Hili nimekuwa nikishauri kwa muda mrefu tuu, lakini halifanyiwi kazi, sijui kwa nini?!.
P
 
Wanabodi,

Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla.
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu. Hizi Makala zitafuatiwa na Kipindi cha TV chenye jina hilo hilo ambacho kitaanza kutoka kwenye vituo kadhaa vya TV hivi karibuni baada ya taratibu za udhamini kukamilika, vikiangazia hoja mbalimbali muhimu kwa maslahi ya taifa letu la Tanzania.

Hoja ya Udikiteta Tanzania.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikijadili hoja ya Udikiteta Tanzania. mada ya leo ni kuhusu uzalendo wa ajabu wa Watanzania kuunyamazia uongo unaoenezwa kimataifa kuhusu huu udikiteta Tanzania. Jee Sisi Watanzania, Tuna Uzalendo Gani Kunyamazia Huu Uongo Unaonezwa Kimataifa Kuwa Rais wa Tanzania ni Dikiteta na Tunatawaliwa Kidikiteta?. Au Kwa Kunyamaza Huku Ndio Kukubali Kwenyewe Kuwa ni Kweli Taifa Letu Tanzania Tuko Kwenye Udikiteta?

Kama ni Kweli Tanzania Tuna Udikiteta na Sisi Wenyewe Tumeukubali, Kwa Nini Watuingilie?.
Kama ni kweli rais wetu Magufuli anatenda kinyume cha katiba na sheria, na taratibu za kumshughulikia zipo lakini sisi Watanzania wenyewe tumeridhika naye na utendaji wake huo huo, hivyo hivyo anavyotenda iwe kwa kuvunja katiba au kinyume cha sheria, Watanzania wenyewe tumeridhika na kukubali, who the hell is jirani yasiyomhusu, anayekuja kutusemea kwenye media yao kuwa rais wetu amekosea?. Kama wenyewe tumekubali na tumeridhika, huyu jirani anamsemea nani?!. Kwa nini Watanzania tunanyamasia uongo huu?.

Wiki ijayo, nitakuja na set ya maswali kuhusu hoja za udikiteta ambayo nitayaelekeza kwa Waziri wa Sheria na Katiba. Prof. Palamagamba Kabudi.

Jumamosi Njema.

Paskali
Update
Nitauapdate uzi huu kwa michango michache objective.
Hata bunge lilipotupandishia tozo za simu na mwigulu akatudhiaka,tumenyamaza
kwa hiyo ni kawaida yetu kunyamaza,wewe unayeweza kusema endelea,ukimaliza utujulishe napo tutanyamaza
nani anataka kuvunjwa miguu?
 
Wanabodi,

Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla.
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu, mada ya leo ni kuhusu uzalendo wa ajabu wa Watanzania kuunyamazia uongo unaoenezwa kimataifa kuhusu Tanzania. Jee Sisi Watanzania, Tuna Uzalendo Gani Kunyamazia Huu Uongo Unaonezwa Kimataifa kuhusu Tanzania?. Au Kwa Kunyamaza Huku Ndio Kukubali Kwenyewe Kuwa ni Kweli?
Kwa nini Watanzania tunanyamazia uongo huu?.

Paskali
Wanabodi, kwa uteuzi wa mwanahabari nguli wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, mimi naamini mambo kama haya hayata nyamaziwa, yatajibiwa kikamilifu.

Huyu binti ana uwezo, weledi na exposure, atamsaidia sana Mama Yetu na ataisaidia sana nchi yetu. Tumempata mtu well experienced mwenye good exposureä, mwenye the ability, the capacity na the capabilities za kuwa sio Mkurugenzi Press Release, Mkurugenzi Msemaji wa Rais .
Hongera Zuhura Yunus.
Welcome on Board.
Paskali
 
Mkuu Paskali , heshima yako kwanza.

Naomba nichangie kwanza kwa kusema umuhimu wa katiba mpya ndio unaonekana sasa .

Tanzania why Rais aonekane malaika ?

Kwamba watanzania wanamtukana Rais je ni wazalendo?

Yaani watanzania wamtukanapo rais ndio uzalendo wao unapoanza kuhojiwa?

Je rais akiwatukana watanzania tumuhoji wapi na tumshitaki wapi?

Au pia atakuwa sio mzalendo.

Kwangu naona hiyo ni double standard

Tuweke sheria ya kukata kotekote.

Watu waliambiwa ukimwi nyie, katerero nyie, mto ngono nyie, tetemeko nyie and walikua kwenye disaster was that right?

Only truth shall set you free.
 
Wanabodi, kwa uteuzi wa mwanahabari nguli wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, mimi naamini mambo kama haya hayata nyamaziwa, yatajibiwa kikamilifu.

Huyu binti ana uwezo, weledi na exposure, atamsaidia sana Mama Yetu na ataisaidia sana nchi yetu. Tumempata mtu well experienced mwenye good exposureä, mwenye the ability, the capacity na the capabilities za kuwa sio Mkurugenzi Press Release, Mkurugenzi Msemaji wa Rais .
Hongera Zuhura Yunus.
Welcome on Board.
Paskali
Wewe KILA mtu anayetuliwa unamsifia na kumpamba! Unalenga kufanikisha nini?
 
Mkuu Paskali , heshima yako kwanza.

Naomba nichangie kwanza kwa kusema umuhimu wa katiba mpya ndio unaonekana sasa .

Tanzania why Rais aonekane malaika ?

Kwamba watanzania wanamtukana Rais je ni wazalendo?

Yaani watanzania wamtukanapo rais ndio uzalendo wao unapoanza kuhojiwa?

Je rais akiwatukana watanzania tumuhoji wapi na tumshitaki wapi?

Au pia atakuwa sio mzalendo.

Kwangu naona hiyo ni double standard

Tuweke sheria ya kukata kotekote.

Watu waliambiwa ukimwi nyie, katerero nyie, mto ngono nyie, tetemeko nyie and walikua kwenye disaster was that right?

Only truth shall set you free.
Pia waliambiwa walio upande wa Lowassa ni malofa na wapumbavu!
 
Wanabodi, kwa uteuzi wa mwanahabari nguli wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, mimi naamini mambo kama haya hayata nyamaziwa, yatajibiwa kikamilifu.

Huyu binti ana uwezo, weledi na exposure, atamsaidia sana Mama Yetu na ataisaidia sana nchi yetu. Tumempata mtu well experienced mwenye good exposureä, mwenye the ability, the capacity na the capabilities za kuwa sio Mkurugenzi Press Release, Mkurugenzi Msemaji wa Rais .
Hongera Zuhura Yunus.
Welcome on Board.
Paskali
1643801383785.png
 
Wanabodi,

Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu.

Hoja ya Udikiteta
Jumamosi Njema.
Paskali

Uzalendo wetu unapitia mtihani!.
P
 
Hata Ndugai alikuwa Spika mzuri mpaka alipokubambikia kesi ya kudharau bunge lake "takatifu".
Angekuwa Spika mzuri asingempiga rungu mgombea mwenzake ambae sasa ni marehemu, angekuwa Spika mzuri asingejijengea hofu na kujiwekea kinga! Ya kushitakiwa. Angekuwa Spika mzuri asingeshindwa kuelewa neno " huenda au inawezekana" na kupelekea wewe kufungishwa safari ya utalii wa ndani Bungeni. Kwa kifupi alikuwa Spika kwa sababu Tanzania kila kinachopitishwa na CCM ni bora liende.
Na yule msukuma mkonongo is PROBABLY THE LAST DICTATOR.
 
Back
Top Bottom