CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
- #61
Kwahio sababu kuna Majambazi zaidi sisi tuendelee kuwa Wezi ?N
Ilakweli,mbona sikuona abiria wengine wanashuka au walipelekwa Terminal 2 baada ya Samia kushuka?
Ndio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio sababu kuna Majambazi zaidi sisi tuendelee kuwa Wezi ?N
Ilakweli,mbona sikuona abiria wengine wanashuka au walipelekwa Terminal 2 baada ya Samia kushuka?
Ndio
😍😍😍😍Huyu jamaa ni kimburu wallah,
9.5bl mkutano mmoja khaaaa!!
China kule kwenye scholarships na nchi zingine yaani wakati Mchina anahangaika kuingiza Yuan 1700 kama chini ya $us 300 kasoro kwa mwezi enzi hizo Angola wanafunzi wake walioko nje amawagei US$ 1000 kwa mwezi.Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya ndege ya TZS 270M kwakupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9,500M kwenye Safari hiyohiyo ya UNGA, Wonders shall never end in Africa
________________________________________
😍😍😍😍Aaaamin aaaamin 🙏
VIVA SAMIA VIVAAAA💪👊
KAZI IENDELEE
#SiempreJMT
Bro per diem per diem bro na kwenda kushangaa maghorofa ya NY..pia Rais SSH angeweza kuhutubia kwa njia ya MTANDAO ili kuokoa gharama zaidi.
..Wako viongozi kadhaa wazalendo wa kweli kwa nchi zao wamehutubia mkutano wa UNGA kwa mtandao na kuokoa fedha nyingi.
So unapoconclude kwamba mama samia ndiye mzalendo namba moja afrika una maana gani? Nikajua kwamba labda umetembea afrika nzima ukaja na hitimisho hilo.....Moja Tanzania,
Reality check, huyo mtu is not clean as you think.😍😍😍😍
Kunawatu wanaugonjwa wakusifusifu hovyo... Wanasifu ujinga Mara wakampokee na vigelegele!! Saingine unakuta hata sio mwanamkeSwala sio utajiri au umasikini,
Kwaakili Tanzania tunashindwa kugharamia safari ya UNGA kwa kiwango cha kifisadi?
Hoja hapa ni UZALENDO wa Mzalendo namba moja Samia Suluhu Hassan,
Ukisoma hiyo Source Watu wa Angola wanalalamika kama uchumi ni huo Why walalamike,
Tukubaliane kwa Sasa Africa, Mzalendo namba Moja ni SAMIA SULUHU HASSAN TU.
Kazi nzuri Mama, hatuna budi kukupa kura za ndio 2025.
#Mama 2025.
😍😍😍😍So unapoconclude kwamba mama samia ndiye mzalendo namba moja afrika una maana gani? Nikajua kwamba labda umetembea afrika nzima ukaja na hitimisho hilo.....
Hamna mwanasiasa mzalendo.....bora hata mrisho mpoto.
Shida iko wapi mkuuKunawatu wanaugonjwa wakusifusifu hovyo... Wanasifu ujinga Mara wakampokee na vigelegele!! Saingine unakuta hata sio mwanamke
Tumezoea kupigwa mpaka wasipotupiga tunawasifu , tumekwisha
Tumezoea kupigwa mpaka wasipotupiga tunawasifu , tumekwisha
Jitahidi walau tu kuwa mzalendoHakuwa na sababu ya kwenda huko, ni mikutano ambayo haina maana zaidi ya kupoteza muda na pesa tuu na hakuna anayesikiliza speech za UN,angetumia zoom ingetosha
Sina tatizo na Raisi Samia ni mapema sana kujua ni mbaya au mzuri tunampa nafasi bado na anaonekana hana roho mbaya na ni mtu mzuri, ila na wewe punguza kutulisha madini kama tuko Korea kaskazini, watu wengi humu tuna information za kutosha na uelewa wa kutosha, post zako ni burdani usiache kuzipostJitahidi walau tu kuwa mzalendo