Uzalendo wa Rais Samia kwa Taifa

Uzalendo wa Rais Samia kwa Taifa

Vihoja vya kilaghai laghai visivyo na maana KATIBA MPYA ndio mpango mzima

Ati uzalendo wa kupanda Ndege wakati amekuwa akiacha kutumia Ndege ya Raisi na kila safari alikuwa anatumia Airbus ya Atcl
Uzalendo wa Rais utapimwa na kutuachia Katiba mpya itakayodumu kwa miaka 50 ijayo na sio kusifiwa kwa kupanda Emirates.
Mnalilia katiba ya nchi wakati huo ya chama chenu tu hamfuati...
Uzalendo uanzie ndani ya chama ndio wananchi wengine tutawaelewa
 
Sina tatizo na Raisi Samia ni mapema sana kujua ni mbaya au mzuri tunampa nafasi bado na anaonekana hana roho mbaya na ni mtu mzuri, ila na wewe punguza kutulisha madini kama tuko Korea kaskazini, watu wengi humu tuna information za kutosha na uelewa wa kutosha, post zako ni burdani usiache kuzipost

😍😍😍😍
 
Mnalilia katiba ya nchi wakati huo ya chama chenu tu hamfuati...
Uzalendo uanzie ndani ya chama ndio wananchi wengine tutawaelewa
Sijui kama unapenda politician kama mkuu wa wilaya akuweke ndani bila mashtaka au warrant? unapenda kuwekwa ndani bila kufunguliwa mashtaka maisha yako yote? kama Chadema wakishika nchi utapenda wao ndio wapange na kusimamia uchaguzi na sio tume huru? ...kuna mengi hiyo ni mifano tuu kwanini katiba mpya inatakiwa
 
Sijui kama unapenda politician kama mkuu wa wilaya akuweke ndani bila mashtaka au warrant? unapenda kuwekwa ndani bila kufunguliwa mashtaka maisha yako yote? kama Chadema wakishika nchi utapenda wao ndio wapange na kusimamia uchaguzi na sio tume huru? ...kuna mengi hiyo ni mifano tuu kwanini katiba mpya inatakiwa
Katiba itakuja mama alisema mtulie kwanza kuhusu Katiba,
 
Vihoja vya kilaghai laghai visivyo na maana KATIBA MPYA ndio mpango mzima

Ati uzalendo wa kupanda Ndege wakati amekuwa akiacha kutumia Ndege ya Raisi na kila safari alikuwa anatumia Airbus ya Atcl
Uzalendo wa Rais utapimwa na kutuachia Katiba mpya itakayodumu kwa miaka 50 ijayo na sio kusifiwa kwa kupanda Emirates.
Itakupa ugali?
 
Sijui kama unapenda politician kama mkuu wa wilaya akuweke ndani bila mashtaka au warrant? unapenda kuwekwa ndani bila kufunguliwa mashtaka maisha yako yote? kama Chadema wakishika nchi utapenda wao ndio wapange na kusimamia uchaguzi na sio tume huru? ...kuna mengi hiyo ni mifano tuu kwanini katiba mpya inatakiwa
Hayo sawa lakini wanasiasa hamtushawishi kama mnayoongea ndio mnatakayotekeleza...

Walioko madarakani wanatumia udhaifu wa katiba kubaki madarakani na wasio na madaraka nao wanataka kuidhoofisha katiba watumie udhaifu huo kuingia madarakani...

Kabla hamjatuvisha wananchi agenda ya katiba mpya, tuonyesheni namna mnavyo comply kwenye katiba zilizopo vinginevyo tunashindwa kuelewa maslahi yenu ni yapi
 
Akili ndogo Sana! Siku nyingine utapinga Joe Biden kusafiri na Airforce One! Nyau we!
Hebu angalia stats hizi:
Angola: population 38 million; GDP USD 89bn, GDP per Capita: USD 2900

Tanzania: population: 58 million, GDP USD 63 bn; GDP per Capita: USD 1090

Angola haitegemei korosho mazee ambazo mwendaakhera aliziua!
🚮🚮🚮🚮 akili yako ingekuwa njema ungejua Watanzania wako 60M sio hiyo takataka yako
 
Uzalendo ni kutumia nafasi yako kuongoza kwa haki na kusimamia vizuri sera na sheria za nchi ili wananchi wajiletee maendeleo kila mmoja kwa nafasi yake.sio kiongozi kujinyima kutokufanya baadhi ya mambo maana hayo ni maamuzi yake binafsi.ata Moo dewji anaweza kuamua kujinyima baadhi ya mambo japo anaweza kufanya.Sisi tutapima alitumiaje nafasi aliyoipata kuleta maendeleo nasio vinginevyo.
Safi, wewe unaakili sana
 
Vihoja vya kilaghai laghai visivyo na maana KATIBA MPYA ndio mpango mzima

Ati uzalendo wa kupanda Ndege wakati amekuwa akiacha kutumia Ndege ya Raisi na kila safari alikuwa anatumia Airbus ya Atcl
Uzalendo wa Rais utapimwa na kutuachia Katiba mpya itakayodumu kwa miaka 50 ijayo na sio kusifiwa kwa kupanda Emirates.
Safi kabisa. Umepiga ngumi ishirini below belt
 
🚮🚮🚮🚮 nenda na wewe
China kule kwenye scholarships na nchi zingine yaani wakati Mchina anahangaika kuingiza Yuan 1700 kama chini ya $us 300 kasoro kwa mwezi enzi hizo Angola wanafunzi wake walioko nje amawagei US$ 1000 kwa mwezi.

Zile natural resources zake wanajua kuzigawana aisee zikiwa bado mbichi mbichi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom