Mnalilia katiba ya nchi wakati huo ya chama chenu tu hamfuati...Vihoja vya kilaghai laghai visivyo na maana KATIBA MPYA ndio mpango mzima
Ati uzalendo wa kupanda Ndege wakati amekuwa akiacha kutumia Ndege ya Raisi na kila safari alikuwa anatumia Airbus ya Atcl
Uzalendo wa Rais utapimwa na kutuachia Katiba mpya itakayodumu kwa miaka 50 ijayo na sio kusifiwa kwa kupanda Emirates.
Sina tatizo na Raisi Samia ni mapema sana kujua ni mbaya au mzuri tunampa nafasi bado na anaonekana hana roho mbaya na ni mtu mzuri, ila na wewe punguza kutulisha madini kama tuko Korea kaskazini, watu wengi humu tuna information za kutosha na uelewa wa kutosha, post zako ni burdani usiache kuzipost
Sijui kama unapenda politician kama mkuu wa wilaya akuweke ndani bila mashtaka au warrant? unapenda kuwekwa ndani bila kufunguliwa mashtaka maisha yako yote? kama Chadema wakishika nchi utapenda wao ndio wapange na kusimamia uchaguzi na sio tume huru? ...kuna mengi hiyo ni mifano tuu kwanini katiba mpya inatakiwaMnalilia katiba ya nchi wakati huo ya chama chenu tu hamfuati...
Uzalendo uanzie ndani ya chama ndio wananchi wengine tutawaelewa
๐๐๐๐Mnalilia katiba ya nchi wakati huo ya chama chenu tu hamfuati...
Uzalendo uanzie ndani ya chama ndio wananchi wengine tutawaelewa
Katiba itakuja mama alisema mtulie kwanza kuhusu Katiba,Sijui kama unapenda politician kama mkuu wa wilaya akuweke ndani bila mashtaka au warrant? unapenda kuwekwa ndani bila kufunguliwa mashtaka maisha yako yote? kama Chadema wakishika nchi utapenda wao ndio wapange na kusimamia uchaguzi na sio tume huru? ...kuna mengi hiyo ni mifano tuu kwanini katiba mpya inatakiwa
Itakupa ugali?Vihoja vya kilaghai laghai visivyo na maana KATIBA MPYA ndio mpango mzima
Ati uzalendo wa kupanda Ndege wakati amekuwa akiacha kutumia Ndege ya Raisi na kila safari alikuwa anatumia Airbus ya Atcl
Uzalendo wa Rais utapimwa na kutuachia Katiba mpya itakayodumu kwa miaka 50 ijayo na sio kusifiwa kwa kupanda Emirates.
๐๐๐๐Itakupa ugali.?
Hayo sawa lakini wanasiasa hamtushawishi kama mnayoongea ndio mnatakayotekeleza...Sijui kama unapenda politician kama mkuu wa wilaya akuweke ndani bila mashtaka au warrant? unapenda kuwekwa ndani bila kufunguliwa mashtaka maisha yako yote? kama Chadema wakishika nchi utapenda wao ndio wapange na kusimamia uchaguzi na sio tume huru? ...kuna mengi hiyo ni mifano tuu kwanini katiba mpya inatakiwa
Ugali haunipigi chenga ila HAKI ndio muhimuItakupa ugali?
Ninyi wanufaika wa hii System mbovu ndio mnabwabwaja,sisi Wananchi tunataka kariba mpya.Mnalilia katiba ya nchi wakati huo ya chama chenu tu hamfuati...
Uzalendo uanzie ndani ya chama ndio wananchi wengine tutawaelewa
Ninyi wanufaika wa hii System mbovu ndio mnabwabwaja,sisi Wananchi tunataka kariba mpya.
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ akili yako ingekuwa njema ungejua Watanzania wako 60M sio hiyo takataka yakoAkili ndogo Sana! Siku nyingine utapinga Joe Biden kusafiri na Airforce One! Nyau we!
Hebu angalia stats hizi:
Angola: population 38 million; GDP USD 89bn, GDP per Capita: USD 2900
Tanzania: population: 58 million, GDP USD 63 bn; GDP per Capita: USD 1090
Angola haitegemei korosho mazee ambazo mwendaakhera aliziua!
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ kumbe shida yako ni kunufaika sio ukweli wa kinachosemwaNinyi wanufaika wa hii System mbovu ndio mnabwabwaja,sisi Wananchi tunataka kariba mpya.
Safi, wewe unaakili sanaUzalendo ni kutumia nafasi yako kuongoza kwa haki na kusimamia vizuri sera na sheria za nchi ili wananchi wajiletee maendeleo kila mmoja kwa nafasi yake.sio kiongozi kujinyima kutokufanya baadhi ya mambo maana hayo ni maamuzi yake binafsi.ata Moo dewji anaweza kuamua kujinyima baadhi ya mambo japo anaweza kufanya.Sisi tutapima alitumiaje nafasi aliyoipata kuleta maendeleo nasio vinginevyo.
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ kwani anakwenda kucheki mechiNasikia rais wa Zambia kaenda Marekani na watu watatu!!!
Ndio,Mnalilia katiba ya nchi wakati huo ya chama chenu tu hamfuati...
Uzalendo uanzie ndani ya chama ndio wananchi wengine tutawaelewa
Safi kabisa. Umepiga ngumi ishirini below beltVihoja vya kilaghai laghai visivyo na maana KATIBA MPYA ndio mpango mzima
Ati uzalendo wa kupanda Ndege wakati amekuwa akiacha kutumia Ndege ya Raisi na kila safari alikuwa anatumia Airbus ya Atcl
Uzalendo wa Rais utapimwa na kutuachia Katiba mpya itakayodumu kwa miaka 50 ijayo na sio kusifiwa kwa kupanda Emirates.
China kule kwenye scholarships na nchi zingine yaani wakati Mchina anahangaika kuingiza Yuan 1700 kama chini ya $us 300 kasoro kwa mwezi enzi hizo Angola wanafunzi wake walioko nje amawagei US$ 1000 kwa mwezi.
Zile natural resources zake wanajua kuzigawana aisee zikiwa bado mbichi mbichi
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app