Uzalishaji wa Cement Tanzania ni takriban mara mbili zaidi ya Kenya

Uzalishaji wa Cement Tanzania ni takriban mara mbili zaidi ya Kenya

Ndio nauliza watadump wapi hio extra cement? Kenya tayari tunajitosheleza kimahitaji. Wao demand yao ni less than 5 million tonnes ilhali wanazalisha 10 million tonnes na wanapanga kujenga kiwanda cha 7 million tonnes. Yaani capacity ya Tz itakuwa 17 million tonnes in the next few years yet demand yao ni less than 5 million. So I was just saying that Kenya tusiwakubalie hawa watu wadump cement yao huku. Itaua industries zetu coz TZ cement will be cheaper and will bring competition to our local industries. We already have anti-dumping regulations, we just need to apply them. TZ is producing far more cement than they need coz their goal is to export the surplus to other African countries. Our local tyre industry was killed by importation of cheap Chinese tyres. Yana tyre closed because of competition from chinese tyres.
Onyesha ni bidhaa gani ya Tanzania ambayo soko lake kuu ni Kenya, sisi hatuiangalii Kenya kama soko, badala yake tunaiangalia kama mshindani wetu katika biashara.

Tanzania masoko yetu makubwa ni DRC, Zambia, Malawi, Rwanda, Burundi, South Africa, Comoro na Zimbabwe. Sasa hivi DRC ndio inaongoza kwa kununua Cement yetu, ikifuatiwa na Comoro, Zambia, Rwanda na Uganda.
 
Hatuzalishi mafuta. Tunaimport kisha tunawauzia wafanyibiashara wa nchi jirani kisha tunapata faida nono. Wacha nikutafutie nakala niliyosoma kuihusu. Lakini pengine unaweza kusema kuwa hio sio kuzalisha bali ni kununua na kuuza. Kama hicho ndicho kigezo chako basi tunaweza kutoa mafuta kwenye hio listi niliyopost.
Nadhani umeelewa tofauti ya kuzalisha na kufanya "trade", faida ya kuzalisha ni kutengeneza ajira za wakulima na kupata pesa za kigeni. Katika cooking oil hiyo tumewazidi kwa mbali Sana.

Kenya textile nako ni hivyo hivyo, Kenya hamzalishi pamba katika kiwango cha kuzalisha nguo, badala yake mnaagiza used clothes, mnazifumua na kutumia nyuzi zake na kufuma nguo mpya, tena mpo na viwanda vichache sana huwezi linganisha na Tanzania
 
Sasa kuuliza ni kosa? Wewe ambaye unatumia akili ungejibu tu swali langu kama liko ndani ya uwezowako kulijibu. sasa majibu yako yanasababisha nikuulize swali lingine - ni nini maana ya supply chain?
Bidhaa inaweza ikazalishwa kwa wingi lakini isifike kwa mlaji katika kiwango kile kinachohitajika, au kikamfikia kwa gharama kubwa kutokana na gharama za mlolongo mzima was usambazaji.

Mfano mzuri ni tofauti kati ya Kenya na Tanzania katika uzalishaji na usambazaji wa umeme na gharama zake, Kenya wanazalisha umeme mwingi zaidi ya Tanzania, lakini Tanzania imesambaza umeme kwa wanainchi zaidi ya Kenya kwa gharama ndogo zaidi ya Kenya.
 
Ndio nauliza watadump wapi hio extra cement? Kenya tayari tunajitosheleza kimahitaji. Wao demand yao ni less than 5 million tonnes ilhali wanazalisha 10 million tonnes na wanapanga kujenga kiwanda cha 7 million tonnes. Yaani capacity ya Tz itakuwa 17 million tonnes in the next few years yet demand yao ni less than 5 million. So I was just saying that Kenya tusiwakubalie hawa watu wadump cement yao huku. Itaua industries zetu coz TZ cement will be cheaper and will bring competition to our local industries. We already have anti-dumping regulations, we just need to apply them. TZ is producing far more cement than they need coz their goal is to export the surplus to other African countries. Our local tyre industry was killed by importation of cheap Chinese tyres. Yana tyre closed because of competition from chinese tyres.
Wameanza kutii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kenya ndio the biggest market in East Africa. Msipouza Kenya mtauza wapi? Hehehe
Eastern coast ina-stretch from Horn of Africa all the way to port Elizabeth and there r around 10 countries including the Islands! Djibouti, Somaliland, Puntland, Eritrea, Somalia, Comorro, Sychelles, Mauritius, Madagascar n Mozambique
 
Ni mtu mjinga tu anayeweza kujenga cement plant zinazozalisha zaidi ya mara dufu ya matumizi yake. Afrika hakuna demand ya cement kwa sababu kila nchi inajitosheleza. Hio extra capacity mtapeleka wapi? Siku hizi hakuna nchi yoyote ya Afrika ambayo haijitoshelezi kwa uzalishaji wa saruji.

Rwanda wana viwanda lakini kampuni zao za ujenzi huagiza cement Tanzania utakalia hivo hivo watu wanachanja mbuga
 
Weka ushahidi wacha kupiga kelele, bidhaa gani muhimu ambayo Kenya imezidi Tanzania, Kama Cement, Sugar, Iron sheets, cooking oil, food and fruits,Tiles and Textile tunawapita kwa mbali?
Unachekesha sana, unataka ushahidi upi zaidi ya hizo takwimu za 2019 hapo kwenye link hiyo niliokuekea hapo? Mwaka wa 2019 viwanda vya Kenya viliingiza $7.12Billion kwenye uchumi wa nchi ya Kenya, viwonder vya Tz vikaingiza $996Million tu kwenye uchumi wa Tz. Ushuru tu ambao GOK ilitoza viwanda vya Kenya 2019, $1.64Billion ni zaidi ya production yote ya viwanda vya Tz. Sasa hapo kuna nini cha kulinganisha? >>>Kenya Manufacturing sector vs Tanzanian's Hivi huu uzi si ni wewe mwenyewe ndio uliuanzisha? 😀 Alafu ukachemsha kwa kufanya conversion ya KES 712B na kusema ni $712M, badala ya $7.12B, na eti viwanda vya Tz @996M vimezidi viwanda vya Kenya.
 
Mbona upatikanaji tatizo hapa Tz?

Kenya mfuko sh. Ngapi kwani
 
Eastern coast ina-stretch from Horn of Africa all the way to port Elizabeth and there r around 10 countries including the Islands! Djibouti, Somaliland, Puntland, Eritrea, Somalia, Comorro, Sychelles, Mauritius, Madagascar n Mozambique
Hizo zote ulizotaja ni failed states na hazina uwezo wa kununua millions of tonnes of cement. Mozambique nchi hafifu ambayo wanajeshi wake wanashindwa kuprotect port yao from being taken over by terrorists. Yaani wanamgambo wana nguvu kushinda wanajeshi wa Mozambique. Mozambique is one of the poorest countries in the world. Halafu Djibouti hata usiitaje maana it is one of the poorest countries in the world. Somaliland ni kanchi kadogo hakana purchasing power na pia Somaliland is recognised by two countries only. Hata Tanzania haitambui Somaliland kama nchi. Somaliland ina uchumi mdogo sana. Eritrea ni failed state na wana uchumi mdogo sana na hawawezi kununua cement kwa wingi. Puntland sio nchi na ni region ya Somalia. Comoro, Sychelles na Mauritius ni tiny islands ambazo haziwezi kununua cement nyingi. Nchi ambazo zina purchasing power ya kutosha ni Kenya, Uganda, Drc, Ethiopia, Zimbabwe, Zambia na South Afrika. Kenya, Ethiopia na South Afrika zinajitosheleza kwa saruji. Kwa hivyo zinabakia nchi kama nne tu ambazo zinauwezo wa kununua saruji yenu kwa wingi.
 
Unachekesha sana, unataka ushahidi upi zaidi ya hizo takwimu za 2019 hapo kwenye link hiyo niliokuekea hapo? Mwaka wa 2019 viwanda vya Kenya viliingiza $7.12Billion kwenye uchumi wa nchi ya Kenya, viwonder vya Tz vikaingiza $996Million tu kwenye uchumi wa Tz. Ushuru tu ambao GOK ilitoza viwanda vya Kenya 2019, $1.64Billion ni zaidi ya production yote ya viwanda vya Tz. Sasa hapo kuna nini cha kulinganisha? >>>Kenya Manufacturing sector vs Tanzanian's Hivi huu uzi si ni wewe mwenyewe ndio uliuanzisha? 😀 Alafu ukachemsha kwa kufanya conversion ya KES 712B na kusema ni $712M, badala ya $7.12B, na eti viwanda vya Tz @996M vimezidi viwanda vya Kenya.
Wacha ujinga wewe, ninekuambia taja bidhaa Kenya inazalisha na kuuza kwa wingi toka viwandani, nani asiyejua kwamba Kenya viwanda vimefungwa badala yake mnaagiza bidhaa toka China na India na kuweka lebal za Kenya, then mna re-export Kama made in Kenya?,
 
Hizo zote ulizotaja ni failed states na hazina uwezo wa kununua millions of tonnes of cement. Mozambique nchi hafifu ambayo wanajeshi wake wanashindwa kuprotect port yao from being taken over by terrorists. Yaani wanamgambo wana nguvu kushinda wanajeshi wa Mozambique. Mozambique is one of the poorest countries in the world. Halafu Djibouti hata usiitaje maana it is one of the poorest countries in the world. Somaliland ni kanchi kadogo hakana purchasing power na pia Somaliland is recognised by two countries only. Hata Tanzania haitambui Somaliland kama nchi. Somaliland ina uchumi mdogo sana. Eritrea ni failed state na wana uchumi mdogo sana na hawawezi kununua cement kwa wingi. Puntland sio nchi na ni region ya Somalia. Comoro, Sychelles na Mauritius ni tiny islands ambazo haziwezi kununua cement nyingi. Nchi ambazo zina purchasing power ya kutosha ni Kenya, Uganda, Drc, Ethiopia, Zimbabwe, Zambia na South Afrika. Kenya, Ethiopia na South Afrika zinajitosheleza kwa saruji. Kwa hivyo zinabakia nchi kama nne tu ambazo zinauwezo wa kununua saruji yenu kwa wingi.
The Chinese know why they chose to build these two massive plants here in Tanzania where limestone reserve is planty and at the coast i.e. Tanga! If they finance all ur project then can u really dare to resist them importing their cement from their plants in Tanzania?
 
The Chinese know why they chose to build these two massive plants here and at the coast! If they finance all ur project then can u really dare to resist them importing their cement from their plants in Tanzania?
Hawezi kurudi amini kwamba [emoji3][emoji3]
 
The Chinese know why they chose to build these two massive plants here in Tanzania where limestone reserve is planty and at the coast i.e. Tanga! If they finance all ur project then can u really dare to resist them importing their cement from their plants in Tanzania?
We will not allow our cement industries to be killed by stupid Tanzanian industries!!
 
Kenya saruji unapata kwa pesa ya Tanzania elfu kumi na nne. Kwa pesa ya Kenya mia saba tu.
Sorry tz nadhan mikoa yenye bei ndogo ni 14,000/=( 32.5R) ambayo sasa inapanda hadi 14500 kwa cement zenye bei chini kama simba na tembo

Ila mikoa mingine ni zaidi ya 14,000/= sasa mbona kama uwingi wa viwanda kama hautusaidii TANZANIA
 
Back
Top Bottom