Uzalishaji wa Cement Tanzania ni takriban mara mbili zaidi ya Kenya

Uzalishaji wa Cement Tanzania ni takriban mara mbili zaidi ya Kenya

Unachekesha sana, unataka ushahidi upi zaidi ya hizo takwimu za 2019 hapo kwenye link hiyo niliokuekea hapo? Mwaka wa 2019 viwanda vya Kenya viliingiza $7.12Billion kwenye uchumi wa nchi ya Kenya, viwonder vya Tz vikaingiza $996Million tu kwenye uchumi wa Tz. Ushuru tu ambao GOK ilitoza viwanda vya Kenya 2019, $1.64Billion ni zaidi ya production yote ya viwanda vya Tz. Sasa hapo kuna nini cha kulinganisha? >>>Kenya Manufacturing sector vs Tanzanian's Hivi huu uzi si ni wewe mwenyewe ndio uliuanzisha? 😀 Alafu ukachemsha kwa kufanya conversion ya KES 712B na kusema ni $712M, badala ya $7.12B, na eti viwanda vya Tz @996M vimezidi viwanda vya Kenya.
Kama utaendelea na tabia yako ya kusema vitu bila ushahidi au kudanganya kwa makusudi ili kutaka kushinda mjadala, nitaanza kukupuuza sitojibu posts zako, punguza ujinga japo kidogo.

Hii hapa ripoti ya dhamani ya manufacturing sector ya Tanzania ya mwaka 2018 ni $4 B, hiyo $969M umetoa wapi?, Tanzania Industry - TanzaniaInvest
Punguza ujinga kaka, unakuwa kama chizi kwanini?
 
Hizo zote ulizotaja ni failed states na hazina uwezo wa kununua millions of tonnes of cement. Mozambique nchi hafifu ambayo wanajeshi wake wanashindwa kuprotect port yao from being taken over by terrorists. Yaani wanamgambo wana nguvu kushinda wanajeshi wa Mozambique. Mozambique is one of the poorest countries in the world. Halafu Djibouti hata usiitaje maana it is one of the poorest countries in the world. Somaliland ni kanchi kadogo hakana purchasing power na pia Somaliland is recognised by two countries only. Hata Tanzania haitambui Somaliland kama nchi. Somaliland ina uchumi mdogo sana. Eritrea ni failed state na wana uchumi mdogo sana na hawawezi kununua cement kwa wingi. Puntland sio nchi na ni region ya Somalia. Comoro, Sychelles na Mauritius ni tiny islands ambazo haziwezi kununua cement nyingi. Nchi ambazo zina purchasing power ya kutosha ni Kenya, Uganda, Drc, Ethiopia, Zimbabwe, Zambia na South Afrika. Kenya, Ethiopia na South Afrika zinajitosheleza kwa saruji. Kwa hivyo zinabakia nchi kama nne tu ambazo zinauwezo wa kununua saruji yenu kwa wingi.
Tony254, wewe ndio hujui biashara kabisaa, Uchumi wa Djibouti unaingia mara 50 kwa Kenya, uchumi wa Msumbiji unaingia mara tatu kwa Kenya, unasema hizi nchi ni masikini sana kufanya nazo biashara haina faida, lakini uchumi wa Kenya unaingia zaidi ya mara Elfu ishirini kwa Marekani, lakini bado Marekani anataka kufanya biashara na Kenya, kamwe Marekani au China hawasemi Kenya ni masikini sana hawawezi kununua bidhaa zetu.
 
Tony254, wewe ndio hujui biashara kabisaa, Uchumi wa Djibouti unaingia mara 50 kwa Kenya, uchumi wa Msumbiji unaingia mara tatu kwa Kenya, unasema hizi nchi ni masikini sana kufanya nazo biashara haina faida, lakini uchumi wa Kenya unaingia zaidi ya mara Elfu ishirini kwa Marekani, lakini bado Marekani anataka kufanya biashara na Kenya, kamwe Marekani au China hawasemi Kenya ni masikini sana hawawezi kununua bidhaa zetu.
Jibu la kiakili sn hili [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndio nauliza watadump wapi hio extra cement? Kenya tayari tunajitosheleza kimahitaji. Wao demand yao ni less than 5 million tonnes ilhali wanazalisha 10 million tonnes na wanapanga kujenga kiwanda cha 7 million tonnes. Yaani capacity ya Tz itakuwa 17 million tonnes in the next few years yet demand yao ni less than 5 million. So I was just saying that Kenya tusiwakubalie hawa watu wadump cement yao huku. Itaua industries zetu coz TZ cement will be cheaper and will bring competition to our local industries. We already have anti-dumping regulations, we just need to apply them. TZ is producing far more cement than they need coz their goal is to export the surplus to other African countries. Our local tyre industry was killed by importation of cheap Chinese tyres. Yana tyre closed because of competition from chinese tyres.

Wacha saruji izalishwe kwa wingi na Nyerere Hydro ikikamilika gharama za uzalishaji zitakuwa chini kabisa hivyo ujenzi wa nyumba bora na za kisasa utashika kasi na hiyo ziada tutauza nje mtake msitake maana mteja anaangalia unafuu wa bidhaa siku zote. Ila nimefurahi sana kusikia Yana Tyre imekufa, maaana ni Yana hiyo hiyo iliyosababisha kifo cha General Tyre Arusha.... hahah malipo ni hapa hapa...
 
Sorry tz nadhan mikoa yenye bei ndogo ni 14,000/=( 32.5R) ambayo sasa inapanda hadi 14500 kwa cement zenye bei chini kama simba na tembo

Ila mikoa mingine ni zaidi ya 14,000/= sasa mbona kama uwingi wa viwanda kama hautusaidii TANZANIA
Hata mimi sielewi. Kama mchumi, tulifunzwa darasani kuwa uwingi wa bidhaa sokoni inasababisha bei kushuka sasa sijui kwa nini huko TZ bei inapanda ilhali uzalishaji wa saruji nao unaongezeka kila siku. Hata mimi nashindwa kuelewa.
 
Hata mimi sielewi. Kama mchumi, tulifunzwa darasani kuwa uwingi wa bidhaa sokoni inasababisha bei kushuka sasa sijui kwa nini huko TZ bei inapanda ilhali uzalishaji wa saruji nao unaongezeka kila siku. Hata mimi nashindwa kuelewa.

Tony, pia kwenye uchumi ulifunzwa kuwa demand ikiwa kubwa sana bei inapanda sio? Sasa jiulize Tz kuna miradi mikubwa mingapi ambayo inatumia saruji ya ndani. Sio kama kwenu hapo mradi wa hiyo reli ya Chinese class one cement ilitoka China. Hapa bongo miradi yote inatumia saruji ya hapa hapa.
 
Kenya ndio the biggest market in East Africa. Msipouza Kenya mtauza wapi? Hehehe
Living in denial for so long
Screenshot_20200910-050043.png
 
Ni mtu mjinga tu anayeweza kujenga cement plant zinazozalisha zaidi ya mara dufu ya matumizi yake. Afrika hakuna demand ya cement kwa sababu kila nchi inajitosheleza. Hio extra capacity mtapeleka wapi? Siku hizi hakuna nchi yoyote ya Afrika ambayo haijitoshelezi kwa uzalishaji wa saruji.
Anko fatiliaga habari... Juzi tu cement imepanda kidogo sababu ya soko la rwanda yaani wananunua cement yetu hadi makampuni yanaongeza bei afu we unasema nchi znajitosheleza???
 
Kenya saruji unapata kwa pesa ya Tanzania elfu kumi na nne. Kwa pesa ya Kenya mia saba tu.
In average saruji ni cheaperTanzani ukilinganisha na Kenya, tatizo lililojitokeza ni Kiwanda cha Dangote kuzalisha chini ya uwezo wake kutokana na upungufu wa makaa ya mawe.
 
Textile Kenya tunaexport to USA kupitia Agoa ambayo TZ mlikataa kutia saini. Tunawashinda kwenye textile na ukitaka data sema nikuletee ya Kenya na wewe ulete ya TZ. Mafuta, Kenya inaimport na kuuzia wafanyabiashara wengine wa nchi za EAC ikiwemo UG na Rwanda.
Leta data
 
Hiki walichonunua ni tofauti na hicho kipya wanachojenga ambacho kitakua kikubwa kuliko vyote katika ukanda huu, hiki kipo katika kitongoji cha Amboni karibu na mapango ya Amboni, hiki kilianzishwa enzi za Nyerere, hicho kipya kinajengwa katika Kijiji cha Mtimbwani, umbali wa kilometer kama kumi kutoka kilipo hiki cha Amboni kuelekea Mombasa, na umbali wa Kilometa kama sita kutoka Chongoleani linapoishia Bomba la mafuta toka Uganda.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wanalijenga sehem strategic
 
Tony254, wewe ndio hujui biashara kabisaa, Uchumi wa Djibouti unaingia mara 50 kwa Kenya, uchumi wa Msumbiji unaingia mara tatu kwa Kenya, unasema hizi nchi ni masikini sana kufanya nazo biashara haina faida, lakini uchumi wa Kenya unaingia zaidi ya mara Elfu ishirini kwa Marekani, lakini bado Marekani anataka kufanya biashara na Kenya, kamwe Marekani au China hawasemi Kenya ni masikini sana hawawezi kununua bidhaa zetu.
Kwhyo kw akili yako marekani kenya ndio tegemeo lake katika biashara, we jomba bana..
Yani marekani eti awe hajui km kenya ni nchi maskini sana kwake..
 
Ndio nauliza watadump wapi hio extra cement? Kenya tayari tunajitosheleza kimahitaji. Wao demand yao ni less than 5 million tonnes ilhali wanazalisha 10 million tonnes na wanapanga kujenga kiwanda cha 7 million tonnes. Yaani capacity ya Tz itakuwa 17 million tonnes in the next few years yet demand yao ni less than 5 million. So I was just saying that Kenya tusiwakubalie hawa watu wadump cement yao huku. Itaua industries zetu coz TZ cement will be cheaper and will bring competition to our local industries. We already have anti-dumping regulations, we just need to apply them. TZ is producing far more cement than they need coz their goal is to export the surplus to other African countries. Our local tyre industry was killed by importation of cheap Chinese tyres. Yana tyre closed because of competition from chinese tyres.
6m ton, acha kujifanya hujaona hilo.
 
Back
Top Bottom