Jagiya
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,206
- 1,828
😅kumbe hadi shetani anakushinda 😅Ndio ni Mimi
Sema tu shetani huwa ananiingiza majaribuni ..😇😇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅kumbe hadi shetani anakushinda 😅Ndio ni Mimi
Sema tu shetani huwa ananiingiza majaribuni ..😇😇
[emoji23][emoji23][emoji23]Utamwambiaje "ailavyuu" jambakuzi yule akati watakatifu na single tupo?
Hivi una nini lakini?😁😁😅kumbe hadi shetani anakushinda 😅
Nimeshangaa sana yaani 😁😁[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakusalimu tu mkuu😆😆Hivi una nini lakini?😁😁
Ipo YouTube ila iko mbele sana kwa kama miaka minne hivihv uktaka mwendelezo wake bila kusublia itv unaipata kwenye app gan.shida nyngne itv hawaonyeshi ipo sehem ya ngap kwaiyo hata ku search YouTube inakuwa shida
Vp kwenye app ya itv wanaonesha ??Ipo YouTube ila iko mbele sana kwa kama miaka minne hivi
Unakuwa kama unaangalia series nyengine
namuonea huruma manzuza hatua aliyofikia kiukweli imeniuma 😭i hope yatapita tu na ilo lipastor mwisho wake utafika tusafi sana lipastor feki limeanza kumtamani nombuso na hivi wanakaa nyumba moja, na limewakosesha ushindi kwaya yetu imekuwa ya mwisho.. astafighulah huyu mwanaharamu huyu, wahedi, kenya uganda kabisa 😈
Maskini mama nzunza kaenda kucheat..! Ili tu mwanae apate dawa, hii moment inauma sana, naona hili swala kafikisha kwa dhlomo kupitia shida alizolia pale labda atalivalia njuga maana limemfikia, dhlomo hana pesa kabisa katoa jiwe tano tu Wallet haina kitu. Jagiya mumeo huyo 😁😁
Mk sasa anaanza kuonesha uhalisia wake kabisa.
Vera ginger , Eminem jr Agogwe
bonge la pisiiMywangu. Nimekufa nimeoza kwako
View attachment 1918367
dhlomo ni rafiki wa kweli wa pastornamuonea huruma manzuza hatua aliyofikia kiukweli imeniuma 😭i hope yatapita tu na ilo lipastor mwisho wake utafika tu
Dhlomo anaroho nzur sana we umemuonaje Its Pancho
aiiish No senkyu😝Senkyuu.. Take your man lady 😂😂
View attachment 1918581
haa kumbe uyo hafai kabisa mshenz mmoja huyuhalafu huyu nombuso ni kichwa maji kabisa
Wenzie wameondoka yeye kashikilia kubaki mule akae na lile jambazi pastor.
Yaani anaonesha kanogewa na maisha ya town hivyo hataki kula msoto na kina ayanda. Ngoja abakwe nyau huyu na liupara lake kama goti la mguuni
hapana hapanadhlomo ni rafiki wa kweli wa pastor
Hii ndio maana halisi ya akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki,
Anyway mpee tu mzee huyo yupo singo mtatrend wala hatuwacheki 😂😂😂
li pastor Leo lilimkuta amevaa taulo tu lenyewe lina singlendi.haa kumbe uyo hafai kabisa mshenz mmoja huyu
mtchew!! uyu nombuso hafai hata kidogo sio wakutolewa mahari wala kubebeshwa mimba huyu mpuuzi sanali pastor Leo lilimkuta amevaa taulo tu lenyewe lina singlendi.
Likamshika shika akaondoka likamwambia usimwambie mtu..
Mpumbavu huyu sijui anajikuta nani