rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kwa wiki naweza kuangalia Mara mbili Mara nyingi naangalia marudio jumamosi usikuHata hapo pia sikuona pia
Nilikuta ile juzi tayari nombuso analia kuhusu mimba kutoka basi
Kama wewe unafuatilia deile labda huna kazi sio mbaya wengine tuna shughuli na ndo maana hatufuatilii kila siku..
Hatupo hapa kubishana kama unataka it's all good..
Hapo ndio utata mkubwa dada yake Nombuso alitaka kutoa Siri naye alipigwa risasiXulu anajua kuwa Ayanda ni mtoto wake, na Mxo syo wake. Je, kama ndo alim-shoot Nombuso anataka siri abaki nayo yeye tu?
Nahisi yajayo yana msisimko kwelikweli.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ndio hapo sasa labda tulirukishwa mywangu 😀😀🙌🏾🙌🏾ndio naiskia kwake kwakweli.. labda sio ITV hii tunayo angalia, au labda tulirukishwa🤔sjui....
kama xulu alimshoot nombuso... je xulu alijuaje kuwa nombuso anajua siri hiyo..?Xulu anajua kuwa Ayanda ni mtoto wake, na Mxo syo wake. Je, kama ndo alim-shoot Nombuso anataka siri abaki nayo yeye tu?
Nahisi yajayo yana msisimko kwelikweli.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
kweli kabisa maaana aliona ad mda wa kupima dna hosp me skuona. ...kama inarukishwa siangaliii tenaa kwakwelNdio hapo sasa labda tulirukishwa mywangu 😀😀🙌🏾🙌🏾
Yaani hapo hata mmi nahiuliza nashindwa kupta jibu kwa kweli.kama xulu alimshoot nombuso... je xulu alijuaje kuwa nombuso anajua siri hiyo..?
apo tusubiri tujue aliemshoot maana kila tukifikiri vikwazo vinazidi....maswali mengi"inawezekanaje huyu amshoot" "kwann...?" inakanganya kiukweli..Yaani hapo hata mmi nahiuliza nashindwa kupta jibu kwa kweli.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Na majibu ya DNA yanatoka kwa muda gni baada ya vipimo? Maana inaonekana kama majibu yalitoka yakionesha kuwa mimba ilikuwa ya Ayanda kutokana na huzuni alokuwa nayo wakati Nombuso alikwenda kwa Mxo na kumwambia kuwa mimba ya mtoto wao imetoka.kweli kabisa maaana aliona ad mda wa kupima dna hosp me skuona. ...kama inarukishwa siangaliii tenaa kwakwel
Ndio hivyo wengine tunakosa uhondo kumbe, wanatuonesha kidogo ITV matangazo yale na scene zengine wanakata hasa za kunyanduana, tunakosa mengi ndugu mama dhlomo 😀 usiache kutazama.kweli kabisa maaana aliona ad mda wa kupima dna hosp me skuona. ...kama inarukishwa siangaliii tenaa kwakwel
Cha muhimu ni kusubiri itajulikanakama xulu alimshoot nombuso... je xulu alijuaje kuwa nombuso anajua siri hiyo..?
Mbona sikumbuki hii? Labda kama umeme ulikatika halafu uliporudi kipande hicho kimepita.Hilo tukio la kukabidhiwa begi la Sindi sikuliona mkuu, ndo maana nikahoji.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Labda nimekosea translation ya hilo neno, maana kwa waislamu inabidi kuoga mwili mzima kuondoa.Kwamba wakristu wakizini hawapati janaba eeh ila wanapata waislamu tu?
Marudio ya jumamosi na jumapili huwa wanayafyeka sana.Kwa wiki naweza kuangalia Mara mbili Mara nyingi naangalia marudio jumamosi usiku
Kwa jumapili marudi huwa wanaonyesha lakin sasa Mama akiwa live tu au kama kuna michezo ya kuogelea wanakataMarudio ya jumamosi na jumapili huwa wanayafyeka sana.
hi sasa ni pasua kichwaNa majibu ya DNA yanatoka kwa muda gni baada ya vipimo? Maana inaonekana kama majibu yalitoka yakionesha kuwa mimba ilikuwa ya Ayanda kutokana na huzuni alokuwa nayo wakati Nombuso alikwenda kwa Mxo na kumwambia kuwa mimba ya mtoto wao imetoka.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
😄kwakweli wanakatisha tamaa bora niamie kwenye love to death ya saa nne😒Ndio hivyo wengine tunakosa uhondo kumbe, wanatuonesha kidogo ITV matangazo yale na scene zengine wanakata hasa za kunyanduana, tunakosa mengi ndugu mama dhlomo 😀 usiache kutazama.
hahaa umeonaeeCha muhimu ni kusubiri itajulikana
Ila mangcobo anapenda kudeka sana akimuona mumewe.
Kuna sehemu nilisema wakionyesha kapimwa dna, walienda kwa Dr Ayanda alitaka mtoto wake afanyiwe partenity test sijui Kama ninepatia majibu na wakaelezwa wasubiri Hadi mtoto azaliwe baada ya hapo wakionyesha Mama ya Ayanda anawauliza kuhusu hospital Kama pia walipewa picha zozote baadae tunaonyeshwa mama Ayanda akimfariji Nombuso baadae Ayanda anaomba msamaha hivi inashindwa kuunganisha matukio kujua Nini kilitokeakweli kabisa maaana aliona ad mda wa kupima dna hosp me skuona. ...kama inarukishwa siangaliii tenaa kwakwel