Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walikuwa wanasubiri amri kutoka kwa captain DhlomoIvi jamn wale askali waliokuja kutoa msaada walikuwa sahii kusimama nje muda wote ule
acha tu nimemmind uyu pastor fake mpuuzi tu huyu et maamaa nyooooMxo kapigwa leo vitasa na ayanda mxo kaniangusha Sana
Huyu ayanda snitch kinoma kamchomea utambi mxo kwa manzuza.
Team mxo tutarudi na moto mkali pastor mpenda mademu ajiandae.
Kwetu umeme wa January Makamba ulikatika ulirudi karibu saa mbili tafadhali tujuze yaliyojiri!acha tu nimemmind uyu pastor fake mpuuzi tu huyu et maamaa nyoooo
Mnoko tu saivi ndo anajidai ety mama siku zote alikuwa wapi?acha tu nimemmind uyu pastor fake mpuuzi tu huyu et maamaa nyoooo
Acha jmn yule ni mama ake lzm mshtuko utakuwepo[emoji2]pastor atamaliza mademu wote wa kwamashuMnoko tu saivi ndo anajidai ety mama siku zote alikuwa wapi?
Hajui kinachoendelea ila anajifanya anajua kila kitu mpuuzi huyu pastor malaya,
Amguse tu demu wangu sibahle namuua yaaniAcha jmn yule ni mama ake lzm mshtuko utakuwepo[emoji2]pastor atamaliza mademu wote wa kwamashu
Mi pia nilicheka, akaona wanamuangalia atoe comment ya kiumeJana nilicheka gc alivyojiita princess[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaa
Wamemvua upostor kwasababu ya umalaya au?Nimeangalia tena marudio yote vizuri
Ayanda amezingua hizi sio tabia za kiume kabisa
Sawa mangcobo ni mama yake lakini vipi kwa mxo? Mxo na mangcobo ndo wana Bond kubwa zaidi na wanaelewana maana amenyonya maziwa ya mama huyu, na hata amekua akilelewa na huyu mama,
Ayanda alisemaga hawezi kulelewa na mama muhalifu sasa sasa hivi ndo anajifanya ana upendo mbaya zaidi anampush mxo mbali kabisa huu ndio umama, mxo alifanya yote haya kwa ajili ya mangcobo anampenda huyu mama mnoo..!
Binafsi mimi nimemkubali mxo kwenye scenario hii hata xulu huko jela atakuwa anajivunia Sana.
Ayanda ni mchungaji anawajudge wengine dhambi zao badala ya kuwasaidia lakini yeye amesahau ni malaya na muharibifu wa wanawake he is a womanizer..!
Nb: nimeangalia trailer kidogo ayanda wamemvua uchungaji, wamelirudisha lile li pastor nkosi na pia kamtolea mxo mabegi na nguo nje..!
Nadhani itakuwa sababu ya ugomvi maana wakati anapigana na mxo watu walikuwa wanachukua video kwa simu zaoWamemvua upostor kwasababu ya umalaya au?
OkyNadhani itakuwa sababu ya ugomvi maana wakati anapigana na mxo watu walikuwa wanachukua video kwa simu zao
Kwan hii tunaweza dumu nayo kwa miaka mingapiKuna watu wanaondoka kwenye hii tamthila kama ayanda, mxo, sma, mastermind ila namna wanavyowaondo haifurahishi
hapo sina jibu ila tunaangalia ya nyuma sana kama sio 2015 mwishoni itakuwa 2016Kwan hii tunaweza dumu nayo kwa miaka mingapi
Na bado inaendelea huko kwao?hapo sina jibu ila tunaangalia ya nyuma sana kama sio 2015 mwishoni itakuwa 2016