Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Nimeangalia tena marudio yote vizuri
Ayanda amezingua hizi sio tabia za kiume kabisa
Sawa mangcobo ni mama yake lakini vipi kwa mxo? Mxo na mangcobo ndo wana Bond kubwa zaidi na wanaelewana maana amenyonya maziwa ya mama huyu, na hata amekua akilelewa na huyu mama,

Ayanda alisemaga hawezi kulelewa na mama muhalifu sasa sasa hivi ndo anajifanya ana upendo mbaya zaidi anampush mxo mbali kabisa huu ndio umama, mxo alifanya yote haya kwa ajili ya mangcobo anampenda huyu mama mnoo..!
Binafsi mimi nimemkubali mxo kwenye scenario hii hata xulu huko jela atakuwa anajivunia Sana.
Ayanda ni mchungaji anawajudge wengine dhambi zao badala ya kuwasaidia lakini yeye amesahau ni malaya na muharibifu wa wanawake he is a womanizer..!

Nb: nimeangalia trailer kidogo ayanda wamemvua uchungaji, wamelirudisha lile li pastor nkosi na pia kamtolea mxo mabegi na nguo nje..!
ayanda n mnafki sanaa sanaaa mpuuz huyu anajidai kujua uchungu wa mama mwishoni.... alafu alivyokua anamnyima mxo kwenda hospitali alifikiria nn.. anajidai kumlaumu mxo wakati ajui kisa na mkasa mfyuuu
 
ayanda n mnafki sanaa sanaaa mpuuz huyu anajidai kujua uchungu wa mama mwishoni.... alafu alivyokua anamnyima mxo kwenda hospitali alifikiria nn.. anajidai kumlaumu mxo wakati ajui kisa na mkasa mfyuuu
Amezingua Sana big time kwanza manzuza akiamua kumtimua ayanda hashindwi.
Hata ungekuwa wewe anakuzuia usiende hospital usingekubali
 
Wenzetu wako mbali Sana dah
Screenshot_2022-02-21-13-46-36.jpg
 
Kwan hii tunaweza dumu nayo kwa miaka mingapi
Kwa hizi season 7 kuna episodes 1645 so ukigawanya hapo hizo episodes ambazo zinaoneshwa kila siku Itv kwa siku 365 za mwaka unapata miaka 4 so itatuchukua miaka 4 ili kuwafikia wenzetu ambao wapo season 7[emoji23][emoji23]
IMG_20220221_135040_036.JPG
 
Amezingua Sana big time kwanza manzuza akiamua kumtimua ayanda hashindwi.
Hata ungekuwa wewe anakuzuia usiende hospital usingekubali
kabisaa... anaanzaje kunizuia kwa mfano tungezichapa tu hivyo hivyo
 
Yule mama ayanda au mama mchungaji ni muigizaji maarufu Kwa Jina la sarafina... Sasa kazeeka jmm
 
Yule mama ayanda au mama mchungaji ni muigizaji maarufu Kwa Jina la sarafina... Sasa kazeeka jmm
Sasa jamani toka Sarafina itoke inakaribia miaka thelathini yani miaka mingi kuliko miaka aliyokuwa nayo kipindi anaigiza hiyo Sarafina yenyewe, bado tu awe kijana, ila bado sio mzee ni mmama wa makamo
 
Sijajua kwa Ayanda lakini Manzunza na Sma watapigwa risasi kanisani na ndio utakuwa mwisho wao, Mastermind naye watamuondoa kwa kumuua lakini Mabuza atarudi kwenye episode za mbeleni.
Usituletee spoilers..... (kutuambia nini kitatokea)
 
Back
Top Bottom