Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #1,301
Any Update kwa leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
japo sjaikuta mwanzo....Any Update kwa leo?
ai lavyuu 😀😀japo sjaikuta mwanzo....
mxo na zweli wakiwa kwa lily nje wakiongea.. mxo akihitaji kampan ya zweli(kwenda kufichua ukweli wa zakes) ila zweli akionekana kusita na kusema ni mambo ya kifamilia ila mxo akamsihi na wakakubali na kuingia ndani. Wakiwa ndani wanakutana na gc akiwa na thobile wametoka kuwaremba bi harus mtarajiwa na mwanae wa kike na kuwauliza kina mxo mbna amjajiandaa vp ai wakapotezea apo mxo na zweli wakapanda kwa lily na kumwambia kua zakes kachapwa ela zile lily kwa haraka akapiga sm kwa zakes na kuuliza na akaambiwa asijali kwan katuma vijana wa kufatilia
Kanisani kila mtu anasubiri maharusi awaonekani kusubiri na kusubiri kwaya kuimbwa waapi amna mtu pastor kachoka kasepa
Shishanyama ile gang ya kina mxo imepoz apo wanakunywa kwa raha zao na wanaropoka kuhusu dili lote kumbe sbu kawaona na kuwaskia... ghafla akachomoka ad workshop kumtafuta zakes akaambiwa kaenda kufunga ndoa sbu anashindwa afanyeje akachomoka kwa spidii
Kurud kwa wanaharus mangcobo anataka kuwafukuza kina mxo na kusema ni hasira zako maana umpend zakes mxo kamwambia huyu jamaa alipanga kutuzunguka aibe pesa sisi ndio tukajua tukamuwahi na pesa hizi apa.... zakes yupo kimya mangcobo haamini adi alipo sikilizishwa tape huhue likanuka mangcobo akaanza mtimua zakes ndio zakes kutoa risasi na kuwatisha(apo akiwa yupo ayanda maana alipoondoka kanisani alienda huko kwa wanaharusi) nimeandika rafu rafu tu hope mtaelewa tu..
mwisho
😍😍ai lavyuu 😀😀
mbona waguna nn shidaDu...
sanaaaAseeh hii kitu inatupa arosto Sana
Mumeo naskia anataka kurudiana na mkewesanaaa
haaa sjaskia hiyooMumeo naskia anataka kurudiana na mkewe
Zulu na Pastor Midletse wao Nafikiri ndio mwisho wao pia .Hawaibuki tena.steerings wanaendelea kwisha!So mangcobo ameenda hivyo mhhh???
Aseeh mbona mapema wamemaliza? Au mambo ya mikataba? Ndo wamuondoe?
Mkuu unaamka usiku Sana,naona hii Ngoma imeandikwa saa 9 na madakika usiku!So mangcobo ameenda hivyo mhhh???
Aseeh mbona mapema wamemaliza? Au mambo ya mikataba? Ndo wamuondoe?
OK muendelezo...Mangcobo ajafa nahisi ni mshtuko akazimia ila aliamka ndio akapelekwa hospital aliekufa n zakes
Jackal Its Pancho
Aaah daah nilishtuka Sana nilikuwa nawaza hapa ile chura yake tungeiona wapi?Mangcobo ajafa nahisi ni mshtuko akazimia ila aliamka ndio akapelekwa hospital aliekufa n zakes
Jackal Its Pancho
Zakhe hajajipiga katika kunyang'anya silaha ikalipua na kuwapiga wote wawili!Aaah daah nilishtuka Sana nilikuwa nawaza hapa ile chura yake tungeiona wapi?
Hope limeacha ujinga hili mama maana kupigwa ukuni kidogo na pesa zinaingia akadata matokeo ndo haya
Zakes alijipiga mwenyewe au?
Kwahiyo mazakazaka kaenda na maji huku mapholoba kabaki?Zakhe hajajipiga katika kunyang'anya silaha ikalipua na kuwapiga wote wawili!
Huyo aliyebaki pia hali ni Tete muda wowote anaweza Kwenda jongomeoKwahiyo mazakazaka kaenda na maji huku mapholoba kabaki?